Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Utajibeba na linajengwa kwa kasi hasaLile la Busisi lisitishwe maana nchi imeingizwa na IMF ktk kundi la nchi zilizoelemewa na mzigo wa madeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajibeba na linajengwa kwa kasi hasaLile la Busisi lisitishwe maana nchi imeingizwa na IMF ktk kundi la nchi zilizoelemewa na mzigo wa madeni.
😁😁😁😁... mpaka utazaa nyumbu mkubwa weweKama kusimamia ndo kumpa mtu sifa basi sifa apewe Samia maana Samia kaanza Urais March 2021 na kwa kipindi chake ndo sehemu kubwa ya daraja imejengwa hadi kumalizika!
Acheni ushamba wa kuabudu mizimu nyie
Ipi Ni sahihi hapo?!DARAJA LA
SURRENDER
SELANDER
SALENDAR
Pengine Nia yao haikua kumaliza foleni Bali kupendezesha mji tu... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Chochote kitakachofanywa na serikali yetu hakitamridhisha kila LAZIMA wa kukosoa wataibuka tuWangepanua hizo barabara bado ungesema wangejenga flyover makutano ya kawawa road njia nne, jifunzeni kupongeza pia
... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Mkuu Niruhusu niendeshe Harambee hapa JF upate nauli ya kufika Japo South, Nairobi, Ethiopia ukajionee maendeleo ya Miundombinu maaana kwa hii Post yako ni wazi huna Edposure kabisa na ni wazi safari zako zinaishie Tunduma, Namanga na Mtukul... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Na Kila jambo kubwa mama analofanya lazima amtaje JPMMtahangaika sana kudiscredit kila alichofanya ila hamtaweza. Miaka mingine mitano mtaendelea kufungua miradi yake...oops miradi ya Jakaya
Wakishua huwezi kuogopa Tozo ya buku 10Kulipia sasa ndo mtihani tunasubiria bei elekezi
Aseeeee[emoji848]Wakishua huwezi kuogopa Tozo ya buku 10
Usipite tu hapo kama unaona halina faida kwako eboo..... ufahari usio na impact kwa wananchi walio wengi! There could be better options with the same resources spent on the project.
Wewe endelea kuchunga ng'ombe. Kama Dodoma tu pameanza kudoda itakuwa daraja la Busisi ambalo liko 14% muda wote huu?.Utajibeba na linajengwa kwa kasi hasa
Kamanda mpaka utazaaWewe endelea kuchunga ng'ombe. Kama Dodoma tu pameanza kudoda itakuwa daraja la Busisi ambalo liko 14% muda wote huu?.
Well said, namna moja ya kupunguza foleni dar ni kujenga barabara ya kutoka kinondoni na kuibukia muhimbili, au maeneo hayo... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Hilo linafahamika, Hayati JPM alikuwa mchapakazi na msimamizi mzuri. Hata JK alikiri na hata kazi zake zinaonekana akiwa Waziri na Rais.Ushajiuliza kwa nini awamu zote za JK, waziri wa ujenzi alikuwa Magu? Then jiuliuze kwa nini alimrudisha Magu wizara ya ujezi baada ya kumpeleka uvuvi kwa kipindi kifupi.
hivi mbona mnajifanya mnajua sana wakati ni vichwa maji tu. kuna mtu aliponda barabara ya kutoka kimara mpaka kibaha, na wengi tu waliponda kutoka morocco mpaka mwenge, anyway kupanga ni kuchagua hapo ndio mawazo yako yalippishia... hela iliyotupwa hapo ingetosha kupanua barabara ya Mwenge hadi Posta Mpya njia nne kila upande; ingetosha kupanua barabara ya Morogoro toka Kimara hadi Posta Mpya njia nne tukasahau foleni completely. Mradi wa Daraja la Selander hautamaliza tatizo lililokuwepo kwa kiwango kikubwa!
Huyo waziri ndo anatoa pesa?unamjua waziri wa ujenzi kipindi cha jk??au ulikuwa vidudu bado??
hata kama unabanwa na haja akisifiwa jpm,bado hata jk wako hatafaa kupewa sifa hii.
Huyo waziri ndo anatoa pesa?
Yeye anatekeleza ilani ya chama ambacho anakitumikia.
Rais ndo kila kitu, ndo vision ya nchi, mawaziri ni vibaraka wa kutekeleza maagizo ya rais.
Huyo magufuli msimkuze sana, hana maajabu yeyote.
Bajeti amepewa ya kusimamia ujenzi wa miundombinu. Hayo maajabu yanatoka wapi? Hela anatoa waziri?
AsanteDARAJA LA
SURRENDER
SELANDER
SALENDAR