ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
relax acha jazba.Poa! na wewe ingia kwa ile nyingine uendelee kutukana ila Samia ndio habari yote
Unazifahamu mita 45 mjomba?Sasa hili nalo lakujisifia kwa level ya Taifa...ilipaswa tarura wilaya husika waishie kujisifia kwa tarura wilaya ya jirani tu....Kuvimba karne hii kwenye uso wa dunia kwa daraja kama hilo nikuchekesha ulimwengu tu...
Huyu mama akili zake zote kwenye uchaguzi 2025. Kaajiri vilaza kibao mitandaoni wamsaidie ujinga mtupuRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Huyu mama akili zake zote kwenye uchaguzi 2025. Kaajiri vilaza kibao mitandaoni wamsaidie ujinga mtupu
Uchaguzi wa 2025 mbona kama alishashinda, Au sijakuelewa,Huyu mama akili zake zote kwenye uchaguzi 2025. Kaajiri vilaza kibao mitandaoni wamsaidie ujinga mtupu
Uliza kwanza gharama yake, ndipo utakimbia. Nenda google halafu tafuta TARURA madaraja au andika jina la daraja hilo.Sasa hili nalo lakujisifia kwa level ya Taifa...ilipaswa tarura wilaya husika waishie kujisifia kwa tarura wilaya ya jirani tu....Kuvimba karne hii kwenye uso wa dunia kwa daraja kama hilo nikuchekesha ulimwengu tu...
Kumbe ndo wanavyofanyahaya ingia kwenye ile ID nyingine ujijibu mwenyewe.
Kwani na wewe ni "ID" ?Kumbe ndo wanavyofanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]haya ingia kwenye ile ID nyingine ujijibu mwenyewe.
Ndio mlianza kujenga lini? Uswahili ili uwe mtamu, lazima uwe na maneno mengiRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Hongera Rais SamiaRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Pitia kule TARURANdio mlianza kujenga lini? Uswahili ili uwe mtamu, lazima uwe na maneno mengi
InaunganishaHivi ni tabora au ruvuma?
Chadema hovyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umeshajibu inatosha😁😁😁haya ingia kwenye ile ID nyingine ujijibu mwenyewe.