CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Team JF,
MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.
#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.
#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Tanzania yangu yapendezaRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Wahuni tuRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Huyu Mama atamaliza mpaka 2030 akioenda kuongeza maisha sawa tu Hawa wenzetu wa Mwendazake walijisahau mpaka wanajikojolea Ukumbini kwa Ndugai walijua ni maishaUchaguzi wa 2025 mbona kama alishashinda, Au sijakuelewa,
Tumuunge mkonoHuyu Mama atamaliza mpaka 2030 akioenda kuongeza maisha sawa tu Hawa wenzetu wa Mwendazake walijisahau mpaka wanajikojolea Ukumbini kwa Ndugai walijua ni maisha
Uko sahihi CM 1774858Tumuunge mkono
Mita 45 ni nusu uwanja mkuuMwenzenu naona aibu! Lol
Hili nalo eti ni daraja la kusifiwa mweee ptuuuu ! Koh! Koh!..koh! Ptuuuuuuuu
Hahahahah hilo ndio daraja la kujisifia hivyo?Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Acheni kujisifu,KWa mwonekano tu tumepigwa, ikipiga mvua ya maana kanasombwa haka kadaraja, KWa mbali naona Kuna ufisadiRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568