DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Siku zote maskini ataendelea kuwa maskini asipokubali kujifunza mazuri kwa tajiri🤔Nakubaliana nawe shithole countries tuna safari ndefu!
Usafiri unachochea uchumi kuboresha huduma, Sisi tunafunga daraja!?
Beberu anatucheki na kuchekaaa maana tunachekesha!
halafu jamaa anasema eti tumeongea na serikali imekubali hii ni aibu kwa taifaNakubaliana nawe shithole countries tuna safari ndefu!
Usafiri unachochea uchumi kuboresha huduma, Sisi tunafunga daraja!?
Beberu anatucheki na kuchekaaa maana tunachekesha!
Endelea kuwa useful!Wewe sie ni useless
Yap.Wasiotumia bia watagawiwa karanga na mihogo.heinkenn sio
Mazuri ni kufunga daraja??Siku zote maskini ataendelea kuwa maskini asipokubali kujifunza mazuri kwa tajiri🤔
Wajanja wameweka na karoyal tua Kwa mbaaliHili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya uefa limekaaje kitaalam mbna kama haliko sawa hivi
Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho .
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya hanasa .
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
TanzaniteAti nini?!! Hii habari haiwezi kuwa ya kweli, daraja lipi hilo linafungwa?!!
Wangepeleka Taifa, Karume, Leaders najua Kawe tatizo kubwa ni usalama! Vibakahalafu jamaa anasema eti tumeongea na serikali imekubali hii ni aibu kwa taifa
Wameamua kubadili mazingira ili iwe tofauti na sehemu zilizozoeleka.Wangepeleka Taifa, Karume, Leaders najua Kawe tatizo kubwa ni usalama! Vibaka
Wanaonesha Royo TuaNdio uone ujinga wa sie watanzania....mbona wao hawaonyeshi mechi zetu kwenye madaraja yao....alafu wakituita manyani tunalalamika