Daraja la Tanzanite kuonesha mechi mbashara usiku wa Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya

Daraja la Tanzanite kuonesha mechi mbashara usiku wa Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Mkwe wa Rais ambaye pia ni Waziri wa Michezo kulifunga daraja la Salander(Tanzanite) ili kupisha kuonesha Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya kati ya Real Madrid Vs Liverpool
--

Waziri Mchengerwa ameyasema haya

“Tunatambua Heineken wamekuwa waki-support michezo na kwa mara ya 1 Tanzania tumefanikiwa kupata bahati na ridhaa na wanatuletea Uefa live pale Tanzanite Bridge kwa ridhaa ya Mh Rais Samia Suluhu”

20220518_163126.jpg
Kwenu studio...
 
Safi sana watu wakale heinken na nadhani nyama choma itakuepo pia
 
Wanajua kutumia tu wenzao walichotolea jasho, hilo daraja Magufuli kalijenga wao kazi yao ni starehe na matusi tu, hakuna kitu kipya wanafanya, bure kabisa wanachoweza ni kutumia fedha za wengine kwa anasa, hii nchi tusipojipanga kuichukuwa (tena) tumekwisha!
 
Wanajua kutumia tu wenzao walichotolea jasho, hilo daraja Magufuli kalijenga wao kazi yao ni starehe na matusi tu, hakuna kitu kipya wanafanya, bure kabisa wanachoweza ni kutumia fedha za wengine kwa anasa, hii nchi tusipojipanga kuichukuwa (tena) tumekwisha!
P
Wanajua kutumia tu wenzao walichotolea jasho, hilo daraja Magufuli kalijenga wao kazi yao ni starehe na matusi tu, hakuna kitu kipya wanafanya, bure kabisa wanachoweza ni kutumia fedha za wengine kwa anasa, hii nchi tusipojipanga kuichukuwa (tena) tumekwisha!
Pole Sana SUKUMA GANG
 
Wanajua kutumia tu wenzao walichotolea jasho, hilo daraja Magufuli kalijenga wao kazi yao ni starehe na matusi tu, hakuna kitu kipya wanafanya, bure kabisa wanachoweza ni kutumia fedha za wengine kwa anasa, hii nchi tusipojipanga kuichukuwa (tena) tumekwisha!
Aisee
 
Back
Top Bottom