Daraja la Tanzanite kuonesha mechi mbashara usiku wa Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya

Kuna gari nimenunua nitafanyia majaribio muda huo katika hilo daraja.

Sasa kwakweeli sidhani kama nitawaelewa maana bila kupita hapo gari itaharibika.
 
Kuna gari nimenunua nitafanyia majaribio muda huo katika hilo daraja.

Sasa kwakweeli sidhani kama nitawaelewa maana bila kupita hapo gari itaharibika.
unafaidika nini kupinga serikali ya awamu hii?
 
Utasikia kesho yake wametangaza vifo baada ya walevi kujitupa majini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…