Daraja la Wami liitwe Samia na Flyover ya Kurasini iitwe Mwinyi

Daraja la Wami liitwe Samia na Flyover ya Kurasini iitwe Mwinyi

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,
20221010_104404.jpg

Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.

CgyT85AXEAABtHY.jpg

Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Liendelee kuitwa daraja la Wami ili kuuenzi mto Wami maana una manufaa kuliko hawa wanasiasa uchwara.
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Mwambie Samia wako nae ajenge afu aite.

Sio aite kwa jenz za wenzake.

Mwinyi aliishia kula bata tu hakujenga wacha tu atulie.

Kikwete Mwenyewe amshukuru JPM alimsaidia japo kujenga la sivyo jina la Kikwete lingebaki kapuni tu.
 
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.

Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Kwanza tuambie, tatizo la jina daraja la Wami ni nini, kwani Wami ni jina la mkoloni? Na unajuaje ni jina la Chifu wa eneo hilo?

Na tunataka uelewe kwamba hawa kina Magufuli, Mwinyi, Kiketwe nk, walijenga haya madaraja kwa kuwa ni wajibu wao kuwatumikia Watanzania, na fedha za kodi za Watanzania ndizo zilitumika. Kwa hiyo wewe housegirl wako akikupikia chakula vizuri utabadilisha jina la jiko lako na kuliita kwa jina lake? Au daktari akiokoa maisha ya mtoto wako, unabadili jina la mtoto wako na kumwita jina la huyo daktari?
 
Kwani likiendelea kuitwa Daraja la Wami, shida iko wapi? Sijui ni kwa nini ngozi nyeusi mnapenda sana kuendekeza mambo ya kipuuzi.
Tate Mkuu asante sana. ngozi nyeusi tuna laana. sasa na hili la kuweka hapa? figganigga mbona rafiki yangu nakuamini unaanza kuniangusha? Samia kafanya nini la kumkumbuka, let us be sincere? figganigga leo umeniangusha! Angelileta mapinduzi ya demokrasi labda angelifikiriwa, anayofanya hata Steve Nyerere akiwa rais (kwa Tanzania in particular) anaweza kufanya
 
Na haya mambo ya kutoa majina kabla ya mtu hajakamilisha kazi aliyopewa ili aenziwe mnajidanganya na kumtetemekea kinafiki tuu kumbe anamaliza akiwa wa hovyo na hamuwezi kumnyang'anya .
Nikuwauliza, jee kama hivi vyote mlivyo mpa Magufuli ingekuwa qnapewa baada ya kufa au kutoka madarakani sasa hivi mngempa?
Kwa ukweli ni kuwa HAPANA.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mwambie Samia wako nae ajenge afu aite.

Sio aite kwa jenz za wenzake.

Mwinyi aliishia kula bata tu hakujenga wacha tu atulie.

Kikwete Mwenyewe amshukuru JPM alimsaidia japo kujenda la sivyo jina la Kikwete lingebaki kapuni tu.
Kwa hiyo hii nchi imejengwa na Magufuli Peke yake?
 
Back
Top Bottom