DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Ni hatari sana jamii kubwa ikiwa na rundo kubwa la wajinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ni ile ofa ya kufyatua tu watoto eti elimu ni bure.Ni hatari sana jamii kubwa ikiwa na rundo kubwa la wajinga.
Sasa unazani tutaita majina ya kila mtu?Kwa hiyo hii nchi imejengwa na Magufuli Peke yake?
Ushafika mbezi , ili ujue stand ziko ngapi? Mana hujui unaloengeaTena hii ilitakiwa iitwe Mbezi Louis Bus Stand.
NonsenseSalaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Ni ujinga mtupuMbona swali lako Jepesi? Kwani Mbezi Luis iliitwa Magufuli ili iweje?
'Kwa hiyo wewe housegirl wako akikupikia chakula vizuri utabadilisha jina la jiko lako na kuliita kwa jina lake?'Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Na huu ndio moja ya uzuzu mkubwa nchi imefanya, uchumi ukue kwa 4.5%,na population iongezeke kwa 3.3%,it's craze...working class wetu walio wengi ni mazuzu na kutwa kukimbiza viajira na vi interview uchwara humu!Shida ni ile ofa ya kufyatua tu watoto eti elimu ni bure.
Wenyewe wanaona Ndio sawa. Kuna shida kubwa sana kwenye ubongo wa watuNi hatari sana jamii kubwa ikiwa na rundo kubwa la wajinga.
Ukumbuke kumpongeza Magufuli pia.Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Naunga mkono hoja hiiSalaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
U Chawaaaaaaaa!Kwani likiendelea kuitwa Daraja la Wami, shida iko wapi? Sijui ni kwa nini ngozi nyeusi mnapenda sana kuendekeza mambo ya kipuuzi.
Exactly, na ukichukulia itachukua miaka mingi kuja kupata Rais mwanamkeSalaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Mbona hamkusema haya kwa msukuma mwenzenu magufuli?? Hadi vyoo vya kwenye vituo vya mabasi alitaka viitwe jina lakeKwani likiendelea kuitwa Daraja la Wami, shida iko wapi? Sijui ni kwa nini ngozi nyeusi mnapenda sana kuendekeza mambo ya kipuuzi.
Mshauri huyo rafiki yako amuite mke wake Samia afarijike.Tate Mkuu asante sana. ngozi nyeusi tuna laana. sasa na hili la kuweka hapa? figganigga mbona rafiki yangu nakuamini unaanza kuniangusha? Samia kafanya nini la kumkumbuka, let us be sincere? figganigga leo umeniangusha! Angelileta mapinduzi ya demokrasi labda angelifikiriwa, anayofanya hata Steve Nyerere akiwa rais (kwa Tanzania in particular) anaweza kufanya
Mngeyasema haya kipindi Cha magufuli wanafiki wakubwa nyie na udini wenu na ukabilaNi hatari sana jamii kubwa ikiwa na rundo kubwa la wajinga.
Kama wewe mumeo ulivyohamua kumuita kwa jina la jiweMshauri huyo rafiki yako amuite mke wake Samia afarijike.