figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mbona swali lako Jepesi? Kwani Mbezi Luis iliitwa Magufuli ili iweje?Ili iweje?
Tena hii ilitakiwa iitwe Mbezi Louis Bus Stand.Mbona swali lako Jepesi? Kwani Mbezi Luis iliitwa Magufuli ili iweje?
Liendelee kuitwa daraja la Wami ili kuuenzi mto Wami maana una manufaa kuliko hawa wanasiasa uchwara.Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Hata hiyo inayoitwa Magufuli nayo ni ya kubadilishwa jina. Tuache kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi.Mbona swali lako Jepesi? Kwani Mbezi Luis iliitwa Magufuli ili iweje?
Mwambie Samia wako nae ajenge afu aite.Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Kwanza tuambie, tatizo la jina daraja la Wami ni nini, kwani Wami ni jina la mkoloni? Na unajuaje ni jina la Chifu wa eneo hilo?Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Tate Mkuu asante sana. ngozi nyeusi tuna laana. sasa na hili la kuweka hapa? figganigga mbona rafiki yangu nakuamini unaanza kuniangusha? Samia kafanya nini la kumkumbuka, let us be sincere? figganigga leo umeniangusha! Angelileta mapinduzi ya demokrasi labda angelifikiriwa, anayofanya hata Steve Nyerere akiwa rais (kwa Tanzania in particular) anaweza kufanyaKwani likiendelea kuitwa Daraja la Wami, shida iko wapi? Sijui ni kwa nini ngozi nyeusi mnapenda sana kuendekeza mambo ya kipuuzi.
Kwa hiyo hii nchi imejengwa na Magufuli Peke yake?Mwambie Samia wako nae ajenge afu aite.
Sio aite kwa jenz za wenzake.
Mwinyi aliishia kula bata tu hakujenga wacha tu atulie.
Kikwete Mwenyewe amshukuru JPM alimsaidia japo kujenda la sivyo jina la Kikwete lingebaki kapuni tu.