Tetesi: Darasa kafungiwa na ndugu zake

Nani anayaingiza tena na RC alishawadaka Wauza unga wote wakati ule.
 
Alipotoa wimbo mkubwa huku akipata pesa kiduchu
Pesa kiduchu kivipi na zilikuja lawama kuwa mashabiki wanamuhitaji haonekani.

Wakati wa hit song ya 'cheza muziki' alikuwa na uwezo wa kujaza uwanja kwenye Mkoa wowote ambao angeenda.
 
Pesa kiduchu kivipi na zilikuja lawama kuwa mashabiki wanamuhitaji haonekani.

Wakati wa hit song ya 'cheza muziki' alikuwa na uwezo wa kujaza uwanja kwenye Mkoa wowote ambao angeenda.

Basi alilewa sifa akasahau kuna kesho
 
Basi alilewa sifa akasahau kuna kesho
Sijui alikuwa na shida gani.

Ila zilikuja nyuzi nyingi tu humu jukwaani na kulalamikiwa kuwa pesa zipo kibao ila yeye haonekani kujituma akazichume.

Mpaka hata Kenya kule walilalamika nyimbo yake ni hit lakini hawajui kwa kumpata.
 
Sijui alikuwa na shida gani.

Ila zilikuja nyuzi nyingi tu humu jukwaani na kulalamikiwa kuwa pesa zipo kibao ila yeye haonekani kujituma akazichume.

Mpaka hata Kenya kule walilalamika nyimbo yake ni hit lakini hawajui kwa kumpata.
Alizimaa ghaflaa akati bado Muzikii ilikuwaa kwenyee pikiii kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dopamine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
fools people into seeing the drug is more valuable than it is..lol..and motivates people to seek rewards...
Am addicted to you

In this life there are two things either you adapt if not you have choosen to perish... think
 
Mdada uko na akili sana.
I guess utakua mtu wa health profession, au mwanasaikolojia/mshauri nasaha au taaluma inayofanana na hizo. If not,then hats off.
Nikija kwenye mada kuu, unajua kwenye masuala mazima ya addiction, sehemu kubwa ya tatizo ni hiki unachokiona hapa!! Lawama, kuona waliodumbukia katika addiction ni wakosaji sana na wapumbavu sana, kuwasema sana, na kadhalika. Hapo bado hujakutana na mifumo ya kiserikali na/au kipolisi ambayo inaweka mbele zaidi kuwatia jela/korokoroni wahanga wa addiction kuliko kuwapa msaada wa kitabibu na/au kisaikolojia.
Kuna sababu nyingi kweli za kupelekea addiction (za kitabibu, kisaikolojia, kijamii).
Watu hawaelewi kuwa hata ugonjwa wa akili pia unaweza kusababisha mtu akadumbukia katika uvutaji unga/bangi na kupelekea hadi katika addiction(ndio, drug abuse and addiction inaweza ikawa ni dalili ya ugonjwa wa akili!!).
Tukiachana na hayo, kama walivyoshuhudia wengine kwenye huu uzi kuwa Darasa alianza hizo tabia tangu kitambo kabla hajawa maarufu. Je, tunajua mazingira aliyokulia? Washikaji zake aliokua nao wakati anastruggle kutoka, je wangapi sio wahanga wa unga? Hao ndugu zake ambao inaripotiwa "wamemfungia" (kama ni kweli,na i hope sio kweli, bali wamempeleka sober house), je,angekua sio maarufu wangemfungia? Wamemfungia kumsaidia au kukwepa wao wasiaibike??
Watu hata hawajiulizi kwa watu kama hawa wasanii, je wana msaada gani wa kisaikolojia na/au kijamii katika kuendesha maisha yao pale ambapo wanapata umaarufu na pesa mara nyingine kwa ghafla na kwa mkupuo...(au inapotokea kinyume chake).
Hata hao wanaopiga kelele kwa hii thread, si ajabu ukiwapitisha kwenye mapito yale yale aliyopitia Darasa, asilimia 75 unaweza kukuta wanaishia kwenye mkumbo huo huo.
Hivi BASATA wamewahi hata kusugua vichwa vyao na kujiuliza wafanye nini kusaidia kupunguza wimbi hili la wasanii kudumbukia kwenye kubwia unga?
Alamsiki.
Rebeca 83



Sent using Jamii Forums mobile app
 
taja aliye fanyikiwa bada ya unga??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…