Darasa la saba waliopata maksi 60 nao kubebwa kwenda sekondari - Agizo la Kikwete

Darasa la saba waliopata maksi 60 nao kubebwa kwenda sekondari - Agizo la Kikwete

Mwaka jana waliafaulu zaidi ya wanafunzi 5,000 wasiojua kusoma na kuandika. Elimu ya sekondari ikawaumbua baada ya kupewa 'remedial exam au supplementary exam' na kuboronga tena. Hatujui wale waliofeli walikuwa na hali gani kitaaluma.
Ngoja tusubiri kituko cha mwaka mwaka huu. Nakumbuka ule mgomo.
 
Mwaka huu upo uwezekano wa wasiojua kusoma na kuandika kuongezeka zaidi maana matukio yalikuwa mengi, sensa, mgomo baridi na mgomo moto. Lakini madarasa ya kata lazima yajae hata kama inabidi kupeleka vilaza wakafie sekondari kwa kutaga mayai. Mhhh Mungu ibariki Tanzania
 
What is the use of OMR then if time taken is the same as manual marking? I expected the results to be out earlier as we were made to believe that OMR will make marking easier and quicker but the opposite is true.
This is Tz more than you know it
 
kumbe na wewee umemaliza la saba

Poor thinking. So anyone asking about Egypt is an Egyptian? The concern is all ours whether you are a class seven leaver, a parent, a guardian or just a concerned citizen.
 
kwa hiyo mulugo kufaulu darasa lasaba yeyepeke yake ni ujiko?sifa za kijinga!
 
Mdau kaweka hoja nzuri tu. Kuuliza matokeo hayo si lazima awe darasa la saba na hata kama ni darasa la saba kwani tatizo nini. Hata hao maprofessor wana vyeti vya darasa la saba! Acheni dharau.

Mimi ni professor lakini cheti sina. Acha urongo
 
Du..! Jumatano hiyoooooo inayoyoma matokeo kimya tu.
:ranger:
 
Taarifa toka chanzo cha uhakika zimebainisha kuwa matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka huu ni mabaya kuliko wakati wowote katika kipindi cha muongo mmoja uliopita.

Matokeo ya mtihani huo uliofanyika kwa mara ya kwanza kwa njia ya ''KUSIRIBA'' yaani OMR yalitarajiwa kuwa yangetoka toka wiki iliyopita au mapema wiki hii Lakini kwa hali ilivyo imebidi kusubiri kwanza ili mamlaka zione cha kufanya.

Hali kama hii huenda pia ikayakumba matokeo ya kidato cha pili ambayo yanatarajiwa kutoka mapema mwakani ambapo kwa sasa mwanafunzi atakaekosa wastani wa jumla wa alama 30 atalazimika kurudia darasa kabla ya kuondolewa kabisa ikiwa atafeli kwa mara ya pili.
 
Back
Top Bottom