Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,785
- 821
Tatizo letu watanzania tunanzani watoto wa kitanzania ni washamba sana kila kitu hawawezi. Hivi kutumia OMR ni kitu ambacho wanafunzi wanaweza kushindwa? Ninavyoelewa, karatasi za majibu hupelekwa kwa Maafisa Elimu wa Mikoa, kama wana mashaka na teknolojia si wachukue sampuli wasahihishe kwa mkono? Watanzania ni kulalama na kutafuta visingizio, mwaka jana hawakutumia hizo fomu lakini tulishuhudia wimbi la wasiojua kusoma na kuandika wanaenda sekondari.
Tuangalie kwa kina shule zetu, je walimu wanafundisha au kazi kuwatumia wanafunzi kuwafanyia kazi zap hasa huko vijijini?
Wakaguzi mpoooo mnaona watoto wanavyolkmishwa mashamba??????????
Ni kweli performance ya vijijini ni poor kwa sababu karibu muda wote wanafunzi wanatumikishwa na walimu. Ajira ya watoto bila malipo.