Darasa la saba waliopata maksi 60 nao kubebwa kwenda sekondari - Agizo la Kikwete

Darasa la saba waliopata maksi 60 nao kubebwa kwenda sekondari - Agizo la Kikwete

kwetu ni kawaida tu hata huyu yuko 'A' level.

[TD="width: 6%, align: center"]
S0298/0025
[/TD]
[TD="width: 4%, align: center"]
F
[/TD]
[TD="width: 22%"] MWANAASHA JAKAYA KIKWETE
[/TD]
[TD="width: 6%, align: center"]
27
[/TD]
[TD="width: 4%, align: center"]
IV
[/TD]
[TD="width: 58%, align: center"]
CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-C LIT ENG-D BIO-C B/MATH-F COMM-F
[/TD]
 
kwetu ni kawaida tu hata huyu yuko 'A' level.

[TD="width: 6%, align: center"]
S0298/0025
[/TD]
[TD="width: 4%, align: center"]
F
[/TD]
[TD="width: 22%"] MWANAASHA JAKAYA KIKWETE
[/TD]
[TD="width: 6%, align: center"]
27
[/TD]
[TD="width: 4%, align: center"]
IV
[/TD]
[TD="width: 58%, align: center"]
CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-C LIT ENG-D BIO-C B/MATH-F COMM-F
[/TD]

tena yuko marekani eti
 
segwanga kweli tanzania kuna elimu tena,
imefikia hata mzazi anaona aibu kumpeleka mwanaye kusoma shule za Nyerere inabidi
aingie tu gharama hata kwa kukopa ili mradi asomeshe mtoto english medium,
kwa hili kweli JK ameua elimu ya tanzania.

tena yuko marekani eti
 
Last edited by a moderator:
60 katika masomo 5 yenye marks 50 @ 1 = 250.
mitihani yenyewe maswali yote ya kuchagua na inafanyika kwa kujaza OMR.

Haaa, sasa nimeanza kuogopa, so ina maana kama watoto wenye maksi 60 nao wameitwa kwenda Secondary ndio kusema kila soma walipata 12? Mmmm, ndio maana mwaka jana hata wasiojua kusoma na kuandika waliitwa pia, tena nadhani hii hakuanza mwaka jana tu, kuna mwaka vyombo vya habari viliripoti kua Wananchi wa wilaya ya Serengeti kule mkoani Mara wamegoma kuona watoto wao wamechaguliwa kwenda Sekondari ili hali hata kusoma na kuandika hawajui, mbona awamu hii ya Kikwete tutaona mengi? Hivi si a-resign tu, kwani ni lazima kumaliza muhula wote?
 
pass mark huwa 100 wastani wa 20 kwa kila somo ambayo pia bado ni mbovu,hii ya 60 wastani kwa kila somo ni 12 kwa masomo 5,hii ni zaidi ya hatari
Mkuu usishangae sana, katika nchi yenye waziri wa Elimu Kiazi kama Mulugo na Rais Kilaza kama Kikwete haya mambo ni ya kawaida sana.
 
60/150*100=40%, tathimini mwenyewe mkuu!!
Mkuu sio hivyo, siku hizi mtihani wa darasa la saba ni masomo matano(Hisabati, Kiswahili, English, Maarifa ya jamii, Sayansi)

Hivyo ilipaswa iwe
60/250*100=24%
 
Na mwalimu nani atafundisha somo km chemistry wanafunzi km hao hawajua kusoma na kuandika. Na bado ya kidato cha 2 tutaona mengi walimu vs ccm
 
Mkuu sio hivyo, siku hizi mtihani wa darasa la saba ni masomo matano(Hisabati, Kiswahili, English, Maarifa ya jamii, Sayansi)

Hivyo ilipaswa iwe
60/250*100=24%
Mkuu samahani kwa usumbufu,nilishafanya marekebisho kwenye andiko langu namba 18,yaani kabla ya andiko lako namba 19!
 
hilo ni tatizo la wanasiasa kuingilia profesinalism siku nyingine ata agiza wagonjwa wa maralia wapewe ARV
 
Back
Top Bottom