Darasa la saba wengi wanajiweza kiuchumi kuliko waliohitimu Chuo

Hawa moder mbona wanafuta comment ovyo ziacheni nyie vipi? Nyie
 
Wewe bibi unaonekana huko unakokaa jamii inateseka sana kama sio waislam maana mda wote unawaza udini tu, huko madrasa watoto wanavuliwa na hao walimu wenu mpaka chooni tena wanawala ndogo
Bakhressa hajaenda shule.

Babake Mo hajaenda shule.


Mzee Nahdi wa Oilcom hajaenda shule.

Wote hao ni madrassa tu na mabilionea.

Kwa hiyo kuitaja Madrassa ndiyo udini?
 
Haijalishi aliyesoma Kasoma tu hata kama alipoteza muda gani ndugu..
 
We ni muhitimu wa darasa la saba au

Kwa mfano ni muhitimu wa chuo ndio nikae tu bila kazi kisa serikali haijanipa ajira

Mimi nitajiajir tu bila kungoja chochote kwa serikali
 
Elimu ya Tanzania,kamwe haikupi utajiri.😑
Ajira ya Tanzania,kamwe haikupi utajiri.😳
Siasa ya Tanzania 'angalau' yaweza kukupa fursa ya wizi.πŸ˜€
Ukijua kusoma na kuandika i.e. darasa la saba ukaanza tafuta pesa mapema,angalau by 40's unaweza kuwa PDG,tena hapo omba Mungu usipate mitihani ya kimaisha i.e.Mwenza mwenye akili mbovu.πŸ™
Urithi kamwe hauwezi kukupa utajiri(kwa sisi waswahili),kwa muhindi,muarabu,muzungu,aaah kama wanamtia kwenzi kinyagoπŸ˜€
N>B.
Mafanikio na utajiri si kwa kila mtu,ndio maana kurasa zake huandikwa kwa
maandisi madogo vitabuni,na si kwa wapiga mayowe.,,,,,,,,,,,,,


πŸ™‚πŸ˜³
 

Mnachagua vibaya vya kusomea tatzo
 
tumeshawachoka na matusi yenu.. na wewe usisomeshe watoto wako acha waishie la saba ili wawe matajiri.
 
Uko sahihi kabisa,wale waliofika vyuoni huko kuna kazi wanazikwepa ila sisi la 4C tunapiga yoyote tu na tunapata vijisent mwisho hukosi 200-300
 
tumeshawachoka na matusi yenu.. na wewe usisomeshe watoto wako acha waishie la saba ili wawe matajiri.

Haujanifundisha ila hivyo ndivyo nitakavyofanya

Wakimaliza la saba tu nahakikisha wanajua kusoma na kuandika; nawatafutia mwalimu mzuri wa kingereza wa miezi sita nahakikisha tena wanajua kingereza vizur kuliko muhitimu wa chuo kisha nawauliza wanapenda kuwa wakina nani?

Then miaka minne tu kitu watakachosomea watafanikiwa nacho- huko vyuoni mnaongopewa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…