Shouzzz huu uzi mbna uko mtamu na mchungu, mweeeehKuna scenes zimenipita naona tu mkikomenti vipengele vyake! Ngoja kwanza ni scroll up kuzitafuta
Mkuu si wa ku puuza !!wahima wanaitaka Sana Hii nchi yenye rutuba Ili wapate malisho ya ng'ombe zao za inyambo!!!w hao plan zao Huwa za mbali sana na ni ngumu kuwaamini hata wakikupa maziwa chunguza kama ni maziwa kweli labda ni dip ya kuulia kupe!!!!Nimenusa vitu vingi sana kwenye hii kitu ambayo lengo kuu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia....Na watakaokuja na hizi topic ni watu kutoka angle mbalimbali na mitandao mbali mbali
Hii ni project ya muda mrefu na kama unaubongo wa kuku huwezi kuielewa ila Watanzania tuwe makini sana sana na tusipokuwa makini tunaenda kuvurugwa..
Kuna force ambayo iko nchi moja ya jirani ndio iko behind hii kitu na lengo ni kumplant mtu kutoka nchi jirani kuongoza hii nchi wakilichukulia advantage ya upepo wa kisiasa..
Nchi mbili jirani ni CIA agents na hii plan inakwenda kuwa excuted from head office hapo jirani...
Kama kweli the Late CEO (kama alivyokuwa blanded humu) alikuwa eliminated basi the one behind the show, ni hao hao with their long term plan, at the end of the day nchi itatekwa na wote tutakuwa mateka...TUWE MAKINI KUSHABIKIA HIVI VITU.....
huyu anayeitwa "Born town" tunaandaliwa tu kisaikolojia na huyu anayeitwa Mzee ambao wengi mmebland kama Mzee wa kusini wanaweza kuwa wahanga ili kuaminisha hizi hekaya kwa watu na watu muanini the mission done..
SKM gang watatumika hapa ila watakuwa overrun maana akili hamna wengi mang'ombe wanaowaza kuishi vizuri tu na jamaa wamepandikiza watu tele miongoni mwao, its long term plan wakichukulia advantage ya ukanda na mfanano wa makabila...
Tuwe makini Tanzania isije kugeuzwa mkoa wa nchi fulani and will be leading from headquater, watu wetu waamke sasa au labda ndio wameshatekwa nao maana wengi wanawaza kula bata na kuishi vizuri mjini tu ila userious na umakini zero....
Huyu anayeitwa "Born town" naye analijua hili si ajabu ndio muokozi wa hii nchi kutoka kwenye hesabu za wale jamaa chini ya yule jamaa "black cat".... Watch out...
Ina matukio sio poa kabisa mkuu Kweli kabisa Anyway ni fiction tu mkuu !unaogopa? Tamthiliya hii usiogope
Hahahaaaa.... !!! Ngoja tuone hali inavoenda shos sie tuishie kuselfika tu shos huku watu wanazikwa tu kwenye mi acid huko 🤣😂!Shouzzz huu uzi mbna uko mtamu na mchungu, mweeeeh
kwa nini mnahisi #mku....aliyeachika) ??NAFSI yangu inasema Tumia akili ndio huyo Mzee (mku.....ka) halafu yoga mother house WOTE KWA pamoja jana wameacha nyuzi zao na mzee kaaga anajua baada ya mission Born town elimination excuted hato survive in the team Born town wata m do something!!
Kwa code zote nishajua wahusika.Hahahaaaa.... !!! Ngoja tuone hali inavoenda shos sie tuishie kuselfika tu shis huku watu wanazikwa tu kwenye mi acid huko [emoji1787][emoji23]!
Kaa mbali na siasa shos!!Kwa code zote nishajua wahusika.
Ila to be honest, hii nchi inachezewa hivi? Khaaaah.
Yaan mtu anachotaka n mwanae kuwa Rais bas, duuuuuh.
Huku mtu unaweza chizi bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaa mbali na siasa shos!!
Kabisa shos!Huku mtu unaweza chizi bureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
shost kivipiKaa mbali na siasa shos!!
Kama huwa anakunywa juisi utampa juisi ngapi?atakayenisaidia kutoa code ya MZEE na UNKNOWN aje inbox nitampa bia 6
Mkuu naomba zile parts za mwanzo zilizochomolewa, au kama umezicompile ya kwanza mpaka mwisho nisaidie mkuu wangu....Kuna wakati unafika when reading this story, I regret; why did I come to know all these nonesense? I have happened to strongly hate all these thieves calling themselves our leaders(present and past)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] acha tu yaan shouzzz.Kabisa shos!
NIKUTUMIE KWA NJIA IPI?Mkuu naomba zile parts za mwanzo zilizochomolewa, au kama umezicompile ya kwanza mpaka mwisho nisaidie mkuu wangu....
mysterio
Yeah Na kuonya na kukosoa pia!Ili umjue tu! Hataki zawadi yeye amekuja kutuburudisha na kuelimisha[emoji16]
TayariMkuu naomba zile parts za mwanzo zilizochomolewa, au kama umezicompile ya kwanza mpaka mwisho nisaidie mkuu wangu....
mysterio