Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Nimenusa vitu vingi sana kwenye hii kitu ambayo lengo kuu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia....Na watakaokuja na hizi topic ni watu kutoka angle mbalimbali na mitandao mbali mbali

Hii ni project ya muda mrefu na kama unaubongo wa kuku huwezi kuielewa ila Watanzania tuwe makini sana sana na tusipokuwa makini tunaenda kuvurugwa..

Kuna force ambayo iko nchi moja ya jirani ndio iko behind hii kitu na lengo ni kumplant mtu kutoka nchi jirani kuongoza hii nchi wakilichukulia advantage ya upepo wa kisiasa..
Nchi mbili jirani ni CIA agents na hii plan inakwenda kuwa excuted from head office hapo jirani...

Kama kweli the Late CEO (kama alivyokuwa blanded humu) alikuwa eliminated basi the one behind the show, ni hao hao with their long term plan, at the end of the day nchi itatekwa na wote tutakuwa mateka...TUWE MAKINI KUSHABIKIA HIVI VITU.....

huyu anayeitwa "Born town" tunaandaliwa tu kisaikolojia na huyu anayeitwa Mzee ambao wengi mmebland kama Mzee wa kusini wanaweza kuwa wahanga ili kuaminisha hizi hekaya kwa watu na watu muanini the mission done..
SKM gang watatumika hapa ila watakuwa overrun maana akili hamna wengi mang'ombe wanaowaza kuishi vizuri tu na jamaa wamepandikiza watu tele miongoni mwao, its long term plan wakichukulia advantage ya ukanda na mfanano wa makabila...

Tuwe makini Tanzania isije kugeuzwa mkoa wa nchi fulani and will be leading from headquater, watu wetu waamke sasa au labda ndio wameshatekwa nao maana wengi wanawaza kula bata na kuishi vizuri mjini tu ila userious na umakini zero....

Huyu anayeitwa "Born town" naye analijua hili si ajabu ndio muokozi wa hii nchi kutoka kwenye hesabu za wale jamaa chini ya yule jamaa "black cat".... Watch out...
Mkuu si wa ku puuza !!wahima wanaitaka Sana Hii nchi yenye rutuba Ili wapate malisho ya ng'ombe zao za inyambo!!!w hao plan zao Huwa za mbali sana na ni ngumu kuwaamini hata wakikupa maziwa chunguza kama ni maziwa kweli labda ni dip ya kuulia kupe!!!!
 
NAFSI yangu inasema Tumia akili ndio huyo Mzee (mku.....ka) halafu yoga mother house WOTE KWA pamoja jana wameacha nyuzi zao na mzee kaaga anajua baada ya mission Born town elimination excuted hato survive in the team Born town wata m do something!!
kwa nini mnahisi #mku....aliyeachika) ??
 
Kuna wakati unafika when reading this story, I regret; why did I come to know all these nonesense? I have happened to strongly hate all these thieves calling themselves our leaders(present and past)
Mkuu naomba zile parts za mwanzo zilizochomolewa, au kama umezicompile ya kwanza mpaka mwisho nisaidie mkuu wangu....

mysterio
 
Kuna uzi wa simulizi ya vipepeo weusi uliitupiwa humu zamani na the bold(habibu B Anga )alisema na kuweka msisitizo kwamba simulizi yake kwa namna fulani ina akisi Siasa za Tz kwa kipindi kile watu wengi hatukuchukulia seriazi maneno ya mdau

Ila nikikumbuka sarakasi za kijasusi , siri nzito ,kugeukana , mission nk katika ule uzi ukija kulinganisha na nyuzi za yoga na Tumia akili pamoja na yanayoendelea kwa sasa kuna nadharia zina kuja kichwani kwamba kuna mazito makubwa behind the scenes .Nimekumbuka ile simulizi ilikuwa ukisoma usiku mpk unaogopa na kulikuwa na kundi hatari linaitwa "The board" wanapambana kushika dola watafune mema ya nchi watu wao Ktk kila taasisi mpk bungeni .
 
Back
Top Bottom