Dark days 17/03/20...

Duuuh,nauona mwisho wa Mr Born Town[emoji17],Jamaa Ni smart Sana Ila hayupo kwa maslahi ya Taifa,wacha afe tuu
Unknown karudi kivingine,kachezewa Sana na Mr bone Town,this time Mr bone Town hachomoki kila Kona anawindwa.
Yaaani kwa uwezo alionao kama angekua mzalendo hii nchi ingekua mbali sana kipindi chake
 
Kwa akili zangu za kuvukia lami nadhani hii prikosheni sio ya kuipuuza!
 
Hii imeniumiza Sana aiseee.so jamaaa alitubu na kujitakasa ndo akasepa
 
Mzee nyboma hii code ya unknown inanishida lainisha kidgo mkuu
 
SijakuGoogle wewe nimewarahisishia watu waliodata na avatar yako wakijua ni wewe ili wasihangaike kukuchungulia kwenye ID. Na unabahati umewafungia pm saizi wangekua wamejazana huko si unaona wanavyokuita mpenzi😅😅

Mwanzo Yoga pm yake ilikuwa wazi, walipoanza kuksumbua kwa mengine wale wasiopenda hii hadithi yake ndipo alaifunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…