Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mataga unafarijika kwa hekaya hizi,poleni sana.The Party is on .... get your mood right to jump and dance till morning lights.....[emoji6]
Your avatar is "spilling the beans". I am not sure if the thread creater will be lured easily into your trap.Members, I think NOW is the time Atleast we should contribute something to our camarade: Nashauri kama hutojali utu PM your contact number for our great contribution.
Kajaribu kuelezea kitu wengi hawakijui binafsi nimeshusha mahojiano ya Membe humu makusudi baadae ya kumsoma samurai nikaona nijazie nyama Kuna wakubwa wanacheza game ya [emoji3528]nimeielewa Point yako saaana,Binafsi niliwahi kuwaza i kitu!! tusome ila tusibebe mambo km yalivyo...za kuambiwa Changanya na zako,,sombdy smwhere ni King wa Propaganda na sisi bongo tunapenda propaganda so anatupatia mdo mdo
"Alikazana kujenga nchi na kuligawa Taifa"The state waliamua toka gaberon room no 26...na ilikuwa Ni lazima iwe hivyo..sababu kubwa iluyopelekea maamuz hayo Ni kwamba badala ya ""kujenga taifa yeye alikazana kujenga nchi...""
Kajaribu kuelezea kitu wengi hawakijui binafsi nimeshusha mahojiano ya Membe humu makusudi baadae ya kumsoma samurai nikaona nijazie nyama Kuna wakubwa wanacheza game ya [emoji3528]
Falaaa huyo[emoji38][emoji38][emoji38]Unamjaza unafikiri atashoboka na hiyo english [emoji23]
Hahahaaaaaaaaah!Dume hilo, take care!
''Nimesacrifice maisha yangu Kwa watanzania'' Damu ya huyo jamaa ndo inaleta mtikisiko huo. Hadi KITABU kipya inabidi kiandikwe. Upinzani wa Kweli unatoka CCM- Nyerere said.
Oooh bas sorry mie sikujua sasa.acha usumbufu alisema b4 kuwa atakiwa offline kwa muda wa wiki sasa iweje umuulze?
Don't be biasedMimi ukiniuliza nini kilimuuwa old CEO nitakwambia jambo moja tu dam sio nzuri kuimwaga. Nadhani alipofikia ku eliminate watu wenye akili walijiongeza yani ukiuwa ujuwe utauwawa na hiki ndicho kimewakuta all killer. Angalia kinachoendelea hapo Ukraine huyo jamaa wa Russia msishangae kuamka asubuh amesha pumzika. Kitu anakifanya hapo Ukraine hakiwezi muacha tena atanie. Yani anajuwa siku zake zinahesabika. Yani kuuwa nijambo hatari sana kwa maisha yako pia.
I just liked your gesture MISTER ; the narration is so magnificent.
Members, I think NOW is the time Atleast we should contribute something to our camarade: Nashauri kama hutojali utu PM your contact number for our great contribution.
Our Almighty Lord has been so good angalau the truth has been put in lies . Kindly PM your contact number so as to share our love and support.
Great narration my young brother ! Take care man.
Yoga leta vitu mama huku yanga huku wewe dah!raha sanaMpeni pole!! Asubiri jumatano nikisha post akopy tena akawalipishe watu wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena this time kwa script iliyopo atajivunia buku buku nyingi sanaaa! Yaani sanàaaaa![emoji23][emoji23][emoji23]
Ila inauma nyie[emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]!! Naivi ndo ID za kujificha hizi basi anjiona mjanjaaaa!!
Sema aliwi mtu kichwa kizembe[emoji2957][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
nchi nani wa kumtoa born town,kumbuka anandugu zake apo emilio mzee enaNi wakati sasa Mr born town nae asepeshwe tu, kama miaka kumi haikumtosha bado anaendesha kampuni remotely, anataka matakwa yake while he's no longer running the company, he must go to rot somewhere peacefully.
braza yoga sio boya mnataka mubranch manager kama 8 oclockIweke tu hapa tuisome broo
Mimba ushatoa?Mkuu mpaka sasa sijaona bia zangu
What do you mean?
Babu huyu manzi simuelewe kbsa Kaz kuchekacheka tu hapa hata visivyo chekeshaUnacheka cheka hovyo kama malaya aliyeona bia za bure,tatizo nini wewe?
Unaudhi sana