Wacha tu iwe koloni lake, labda kutakuwa na unafuu. Kwan saiz ambapo kampuni ipo chini ya bontown sisi tunafaidika nn,, kila sku vitu vinapanda bei,, ajira za kumulika na tochi, wao wanalipana mabilion ya fedha kila kunapokucha......zuri lisilonafaida ni sawa na baya lisilokudhuruHuu ndiyo ukweli wenyewe,hakuna mtu smart kwa Sasa ndani ya KAMPUNI wa kumuweza PAKA zaidi ya MR BON TOWN,akifa Mr Born Town Nchi itakuwa rasmi koloni la PK.
CEO mpya naye watapita naye kama upepo, ni suala la muda tu.
Hujui kua KP analenga nini, angalia anachokifanya congo anamiliki hadi vikundi vya waasi ili aibe dhahabu, sasa akiligeuza hii kampuni yetu kuwa koloni lake atakua anajichotea tu,Wacha tu iwe koloni lake, labda kutakuwa na unafuu. Kwan saiz ambapo kampuni ipo chini ya bontown sisi tunafaidika nn,, kila sku vitu vinapanda bei,, ajira za kumulika na tochi, wao wanalipana mabilion ya fedha kila kunapokucha......zuri lisilonafaida ni sawa na baya lisilokudhuru
Kwan ye bontaun hajichotei?Hujui kua KP analenga nini, angalia anachokifanya congo anamiliki hadi vikundi vya waasi ili aibe dhahabu, sasa akiligeuza hii kampuni yetu kuwa koloni lake atakua anajichotea tu,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena soon, na mie ntakua nakaa kwa V8. WoiiiiiiiiiiihKwhyo Huyu B town akiondoka wew ndo utakula hyo keki ya taifa ?wew omba tu yule shost wangu apate UDC then mkastorike ofisin kwake .
Na yeye sasa zamu yake. Aone utamu wake.Kwa taifa hili hio michezo ilianzia toka zama za F.O.N aka Faza ov Ze Neshen!
Nae alikuwa na roho ya kigiriki akamshaya Soko Soko. Thats where the games began na vijana wake wakasandia formula.
Ilifikia turn yake nae akaendaa mamtoni wakamfix ikismekana ni master plan ya Nigga from Lupaso state. Mwisho akapigwa 6ft Booty Hammer mchezo ukaisha. Lupaso empire was into Regime ikafanya reforms ndio kutuletea Mr. born town by the End!
Born town kafyeka Lupaso Empire na Chattle Empire kabakia yeye kama Master of the Game now.
Dea iweke ya kiswahili bhana, tuenjoy vizuri. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Na liwe tyuuh, tushachoka sie khaaaah.Huu ndiyo ukweli wenyewe,hakuna mtu smart kwa Sasa ndani ya KAMPUNI wa kumuweza PAKA zaidi ya MR BON TOWN,akifa Mr Born Town Nchi itakuwa rasmi koloni la PK.
Kabisaaa yaan. Mie naona wanachelewa kumlaza foot 6 huyo Born town, khaaaaahWacha tu iwe koloni lake, labda kutakuwa na unafuu. Kwan saiz ambapo kampuni ipo chini ya bontown sisi tunafaidika nn,, kila sku vitu vinapanda bei,, ajira za kumulika na tochi, wao wanalipana mabilion ya fedha kila kunapokucha......zuri lisilonafaida ni sawa na baya lisilokudhuru
Akikujibu nitag hapa.Kwan ye bontaun hajichotei?
Sawa mpenzi[emoji1]Dea iweke ya kiswahili bhana, tuenjoy vizuri. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Mama Samia mitano tena.
Sisi wafanyakazi wa kima cha chini tumekuelewa sana.
Unapewa 23% kisha mafuta litre 1 inakuwa 5000 utajua hujui😅Mwezi wa Saba utajua hujui.Hiyo 23% ikikatwa Kodi na makato mengine ndipo utaelewa vyema.
hii game ni shida😅 kama SquidMistake iliyofanyika tena kubwa ni kuruhusu paka kuwa na intruders kwenye kampuni, the late ceo alizingua sana kuleta mamluki na kuruhusu paka kuwa na access na kampuni.
Sioni the new ceo akiwa na intelijensia ya kumlaza chini Mr born town, hata kwa msaada wa paka itakuwa ngumu sana
Mr born town alimlaza ceo wa lupaso, then akasafisha safu nzima ya juu ya the late ceo, hashindwi kumlaza the new ceo.
Ila sikuwahi kuwaza kuwa the new ce anawaza kumsepesha Mr born town, mbona sioni walipokosana!
Mkuu hii game ili mradi inawahusu wao kama wao, waendelee tu kusepeshana.hii game ni shida[emoji28] kama Squid
Kwa zile za ramli ramli nilizowahi kuzisoma humu humu jukwaani nasemekana bibi ushungi huenda nae akawa One term Prezi aidha kwa kuachia kiti au kwa wahuni kumshayawena😅😅😅Mkuu hii game ili mradi inawahusu wao kama wao, waendelee tu kusepeshana.
Alianza faza ov ze company, soko akasepeshwaaa, ceo wa nguvu zetu ndio mtaji wetu akapita na faza, Mr born town ameona maslahi yake ndani ya kampuni yapo mashakani akaona ceo wa nguvu zetu ndio mtaji wetu akasepeshwaa, akasepeshwa late ceo...sasa naona mashungi asipokuwa makini Mr born town anasepa nae.
Ila mwamba anaendeshaje kampuni remotely amekaa zake huko gasom anaiendesha kampuni anavyotaka..hatari hii.