Dark days 17/03/20...

Hiyo kuendelea na vizazi vyake hapana siungi mkono kabisa, wapo wengine wanaoweza kutuongoza bila kikundi cha watu fulani. Lakini hekima na busara itumike.

Ila Riwaya bado haijafika mwisho hatujui Fanani atatamatishaje. Ikifika mwisho ndio tutajua alilenga nini, tutachambua mbinu za kifani na muundo wake, pia tutajikita kwenye Falsafa na Lengo la mwandishi.

Huu ni mwanzo wa ngoma ambayo ni Lele. Mwisho kabisa tutachambua kwa uhuru zaidi.
 
Mkuu unajua sana kujipa moyo. Hongera.
 
Acha tu mkuu. Roho inaniuma sana

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kwa nilivyofuatilia mwanzo mwisho wa hii mambo yako yoga...kwangu naona au ningependelea Mr born town aibuke na ushindi katika hii battle.hofu Yangu na nisingependa team Mzee,current CEO,kp washinde maake Huyo kp ni MTU mbaya sana.niliwai ona makala Fulani humu jf ikimzungumzia marehemu Mchungaji mtikila alivyolitahadharisha taifa juu ya pk kupenyeza watu wake.kp ni hatari katika region yetu.kwahivyo ijapokua simpendi Mr born town kwa anachotufanyia..anakula keki ya taifa yeye na familia yake tuuu.tunamuhitaji born town kumstopisha kp au sio wadau???
 
Changamoto za ndani zimefanya hivi vyombo Raia wa kampuni wapunguze imani. Maana inasikitisha wizi na uharifu ndani ya kampuni unafanyika kila siku vyombo vipo. Vitaaminika vipi sasa? kweli huenda wanafanya kazi nzuri lakini mapungufu yamekuwa very obvious.
 
Duuh
 
Pk alikuwa anatupa miili kule ziwani, Mr mboma akamwambia pk aondoe hizo takata(miili) Mara mmoja lisionekane hata tone la damu. Pk Akafanya hvyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umbea mtamu kwa lugha ya mazoea.
 
Sio wewe tu Wafanyakazi wengi wakampuni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninakuelewa mkuu. Kuna wakati najiuliza nani amfunge paka kengele?

Imani imeshuka sana kwa raia kwa vyombo vyetu vya dola hasa polisi mpaka inatia hasira kwasababu kuna ujinga ulikuwa unafanyika mpaka mtu wa kawaida unajiuliza ina maana hawayaoni haya kweli?

Viongozi wetu ndio wakulaumiwa, vijana wetu wako vizuri lakini wanaamriwa kufanya utekelezaji tu japo hata wao roho inawauma.

Unajua kuapa kwamba nitatii amri ya mkubwa wangu nayo ni shida ukienda kinyume unaonyesha umekiuka kiapo cha utii inakula kwako. Kiapo cha kimwili na kiroho ni kibaya na wakati mwingine ni kizuri inategemea umeapa kwa ajili gani.

Kwa kweli viongozi wetu wabadilike sana,waache tamaa, wazuie wizi, ufisadi, uzembe na rushwa. Bado ninaamini tuna jeshi zuri na imara kabisa, kama tukirekebisha hizi kasoro ndogo ndogo tutakuwa Taifa lenye kutamaniwa na wengi kuja kuishi ndani yake.

Hata Polisi kuna kazi nzuri sana huwa wanazifanya kwa umakini na zinafanikiwa lakini hazitangazwi, ila likitokea baya linajulikana na kufuta mazuri yote. Me ninadhani hata mazuri yawe yanasemwa ili tujue sisi raia, tusiwe tunajua mabaya yao tu.
 
Pk alikuwa anatupa miili kule ziwani, Mr mboma akamwambia pk aondoe hizo takata(miili) Mara mmoja lisionekane hata tone la damu. Pk Akafanya hvyo
Umeona ehee. Yaani huo ukanda mzee ni noma. Me ningeshauri wazawa wa kule wanagekuwa wengi hapa JF yaani tungepata uhondo sana maana kuna matukio mengi ya kufurahisha na kustaajabisha.

Pia itakuwa ule mto mkubwa unaoanzia kwa jirani yake kusini hadi kwenye bwawa kubwa la akina Viktoria jirani na akina mama Koku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…