Kabisaa yaan.Kabisa unaucharaza kwa vionjo vyote na mbwembwe kibao [emoji846]
Mkuu mambo ya pk siku ukipata mtu anayeishi maeneo ya kule atakupa data nyingi sana za hawa watu.Nimegundua ukanda ule watu wengi hawamo humu au hawataki kuyaongelea. Lakini ukikaa nao wakakupa story utashangaa sana. Hiyo ya Mch.mbona cha mtoto.Kwa nilivyofuatilia mwanzo mwisho wa hii mambo yako yoga...kwangu naona au ningependelea Mr born town aibuke na ushindi katika hii battle.hofu Yangu na nisingependa team Mzee,current CEO,kp washinde maake Huyo kp ni MTU mbaya sana.niliwai ona makala Fulani humu jf ikimzungumzia marehemu Mchungaji mtikila alivyolitahadharisha taifa juu ya pk kupenyeza watu wake.kp ni hatari katika region yetu.kwahivyo ijapokua simpendi Mr born town kwa anachotufanyia..anakula keki ya taifa yeye na familia yake tuuu.tunamuhitaji born town kumstopisha kp au sio wadau???
Kama leo imeibua mambo kibao [emoji846]Menu ya mpishi [mention]yoga [/mention] inaibua watu na vitu kibao nikazi ya ubongo kuchakata tuu na kuamua unataka kula nini ndani ya menu ya [mention]yoga [/mention] iliyosheheni aina tofauti tofauti ya vyakula vyenye radha na asili tofauti
Kabisa mkuu. Pombe si chai kwa raia ila kwa makamanda wetu ni maji yenye harufu tu, shida ya vijana wetu hawajui haya mambo.
Kuna siku ka kampuni fulani kakatangaza eti kataipiga Kampuni yetu kakaelekeza vifaru John na Rajabu vikiwa vingi kuelekea uwanjani mwa kampuni yetu.
Bwana bwana haijulikani ni muda gani mashimo yakafunguka mchwa ukatoka juu, jioni tarumbeta la parapanda likalia, tukaona malaika wanashuka kutoka mjini wakielekea makao makuu wamebeba nguo,viatu, mikanda begani, wengine wako peku, malapa, mwenye pensi, kifua wazi hao mbiooo.
Muda si mrefu msafara wa bibi harusi umefunikwa maua ya miti unaelekea kwenye sherehe tunauliza bibi harusi yuko wapi hatujibiwi ni kimya kimya tu,hakuna nyimbo wala chereko, kimya kimya tu.
Muda mfupi wakafika kwenye mstari, wakamwambia jirani, ebu washa dish lako uone uwanjani kwetu karibu na kwako kuna nini, eheee! Kihoro mtu kimempata,akaulizwa umeona siyo.Kwa upole Ndiyo akajibu.
Akaambiwa chagua moja, ubadili uelekeo uelekeze kwako na kuondoka au kampuni yako ndani ya saa 24 iwe imefutika. Dakika sifuri akakubali sharti la kwanza.
Baada ya hapo harusi ikaisha, wakarudi nyumbani, cha kushangaza yale yale mashimo yaliyokuwa yamewaficha akina faru John na Rajabu hatukuyaona yakifunguka ili yawarudishe tena,na hatukujua yamerudije. Unaweza kuona umakini huo wa hali ya juu ulivyofanyika.
Unaweza kusema hawa mabaka mabaka hamna kitu nilimzingua au niliwazingua lakini ili ujue kazi yao vizuri nenda kwenye medani zao ndipo utajua unaweza kumzingua au lah. Mmoja mmoja unaweza ili kiujumla wako vizuri sana.Nawapa salute popote mlipo. Kanuni yenu ya kujitoa roho kwa ajili ya nchi haiwezi kulipwa kwa mshahara tu bali kuheshimu uzalendo wenu kwa mapenzi ya nchi yetu na mipaka yake.
Hii ni story nilisimuliwa na nilivyododosa nikaambiwa ni kweli zaidi ya mtu 1,napenda kujua historia ya nchi yangu ndio maana nashare na wenzangu japo kiduchu. Huwa najisikia vibaya ninapoona mtu anaipondea serikali yetu na kusema haijui na haijawahi kufanya kitu wakati imefanya mambo mengi yaliyotukuka.
Kuna code mmezitumia Ww na Rabbon zmeniingia kichwani.Mkuu
Sio Mali pekee kuna zaidi ya Hayo
Sawa
Japo Magamba Matatu analima Sana na analima migomba mimi nalima miti tu hasa mipaina na milingoti hukooo njombe!!!
Haya mambo ni makubwa kwako omba kwenye ulimwengu wa roho utajua vingi kuhusiana na lile tukioUongo mtupu, mbna born town alishindwa wakat akiwa CEO? jidanganye hivyo hivyo, yule ni mafia haswaa.
Mwamba we ni noma umenivunja mbavu aiseee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
LileteKuna jambo...
Kuna jambo..
Nchi hii ipo na inaenda kuwa njema sana sana...Natamani kama macho ya wasioona yangefunguliwa kama ya mtumishi wa Eliya, wangepiga vigelegele vya shangwe...Glory be to the highest!Na ukila nyama ya mtu hutoacha-Nyerere said.
Anayekuja baada ya bibi ataondoa hiyo roho ilopandikizwa ya kumalizana. Tunarudi kwenye HAKI kutawala.Amen
Boss wamemchukua kijana as we thought
Okey so it realy KP?
yes!! Its him indeed!! Tume scan na laptop, Hii software waliyoweka humu kwenye hii laptop ndio ile ile!
Mnaweza kutrack kijana anaonekana kapelekwa wapi?
Yes! Hatuja switch on ile tracker maaana watamscan kuona kama ana anytracking device!
Good! Enedeleni kunijulisha kila hatua!
Sawa boss!!
This guy!!! He always admire my company!! This time tunakula sahani moja
Boss anachukua simu na kumpigia curent CEO, i need to talk to you nakuja hapo!! Then anakata simu!
Born town haraka sana na convoy yake wanaanza safari kuelekea makao makuu ya kampuni, baada ya saa mbili hivi anafanikiwa kufika mpaka makao makuu ya kampuni bila tabu maanaa pale nikama kwake
Anakwenda moja kwamoja kwa mwenyeji wake anaingia ofisini kwake nakukaa kumsubiri! Akiwa pale anaendelea kuzitizama picha za other CEO waliopita ikiwemo ya kwake zilivyo pangwa kwa mpangilio kuanzia CEO wa kwanza mpaka wa sasa! Macho yake yanapofika kwa late CEO, anasmile kidogo!! Anajisemea this guy........
Then five minutes curent CEO anaingia nakuketi!!
Shkamoo boss!!
Marhaba!! Naona ume update furniture last time nimekuja sio hizi!
Hahaha, Nikweli Mkuu! Mtu wa decoration alinishauri tuzibadili and i thought it was a good idea!!
Ohoo! Okey!!
Sawa, Karibu boss! Simu yako imenishtua!
Yes! Nimekuja tena this is the second time na kuja hapa un-ivated so samhani kwa hilo! Ntakwenda moja kwa moja kwenye hoja maaana najua una bizy schedule
Usjali hapa kwako mkuu!!
Hivi Ulipopitia mafile ya kampuni yetu baada ya kupewa hii ofisi, ulipata nafasi ya kupitia file la KP ?
Sorry? Who? (Ceo anashtuka na blood pesure inaanza kuwa juu)
Dont act like ujanielewa, umesha pata kujua what KP wanted from us and how nilimshughulikia?
Boss, hapana sijapitia chochote kinacho husu KP
Sasa nimefunga hii safari mwenyewe kuja kukujuza tu kuwa you need to task your people wakupe file la K.P there issues in there you need to know kabla yakuendelea na ujinga wako na mzee kuunda umoja wa kudeal na mimi!!
And by the way tell mzee namheshimu sana he is still my guy!! Mwambie i can smell an enemy as far as i can!! Na kama huna ilo file bas take this flash!
Born town anampa flash CEO yenye details about what KP did!
Then akiwa anatoka anamwambia, msalime sana KP mwambie this time niko free zaid as he thinks! CEO anaitazam ile flash akiwa anatetemeka
Then born town anarudi kidogo!!
Nilikua nataka kusahau, kule mbugani ile pesa imeshaingia tuna hitaji ilo eneo as soon as possible!! Na nnakukumbusha unapaswa kwenda kule ulikonichafua ukanisafishe tena kama tulivyo kubaliana last time nikiwa hapa I need my investors back, especially from USA! Anasmile kidogo as usual antoka
Current CEO alipo pata taarifa ya born town kuwa ana kuja, alimjulisha mzee then mzee akaplant audio divices kwenye ofisi ya CEO ready to listen to why born time alikuwa pale!
Baada yakusikia kilichosemwa pale evryone was in shock ....
Ceo alirudi haraka ndani and opened her laptop na kuweka ile flsh!!
Then a small folder with 26 GB kwenye flash inajidispaly usoni kwake!!
Ana oppen ile folder anakutana folder lenye title "Oparation +250 Bingo "
pdf files , picture na audio clip na video clip zenye title mbalibali ......
So what happen between KP and born town??
Hope tuta maliza two last epsode soon!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Ziwa gan tena hilo?Pk alikuwa anatupa miili kule ziwani, Mr mboma akamwambia pk aondoe hizo takata(miili) Mara mmoja lisionekane hata tone la damu. Pk Akafanya hvyo
Ila born town anajiamini snaa[emoji1787][emoji1787]Boss wamemchukua kijana as we thought
Okey so it realy KP?
yes!! Its him indeed!! Tume scan na laptop, Hii software waliyoweka humu kwenye hii laptop ndio ile ile!
Mnaweza kutrack kijana anaonekana kapelekwa wapi?
Yes! Hatuja switch on ile tracker maaana watamscan kuona kama ana anytracking device!
Good! Enedeleni kunijulisha kila hatua!
Sawa boss!!
This guy!!! He always admire my company!! This time tunakula sahani moja
Boss anachukua simu na kumpigia curent CEO, i need to talk to you nakuja hapo!! Then anakata simu!
Born town haraka sana na convoy yake wanaanza safari kuelekea makao makuu ya kampuni, baada ya saa mbili hivi anafanikiwa kufika mpaka makao makuu ya kampuni bila tabu maanaa pale nikama kwake
Anakwenda moja kwamoja kwa mwenyeji wake anaingia ofisini kwake nakukaa kumsubiri! Akiwa pale anaendelea kuzitizama picha za other CEO waliopita ikiwemo ya kwake zilivyo pangwa kwa mpangilio kuanzia CEO wa kwanza mpaka wa sasa! Macho yake yanapofika kwa late CEO, anasmile kidogo!! Anajisemea this guy........
Then five minutes curent CEO anaingia nakuketi!!
Shkamoo boss!!
Marhaba!! Naona ume update furniture last time nimekuja sio hizi!
Hahaha, Nikweli Mkuu! Mtu wa decoration alinishauri tuzibadili and i thought it was a good idea!!
Ohoo! Okey!!
Sawa, Karibu boss! Simu yako imenishtua!
Yes! Nimekuja tena this is the second time na kuja hapa un-ivated so samhani kwa hilo! Ntakwenda moja kwa moja kwenye hoja maaana najua una bizy schedule
Usjali hapa kwako mkuu!!
Hivi Ulipopitia mafile ya kampuni yetu baada ya kupewa hii ofisi, ulipata nafasi ya kupitia file la KP ?
Sorry? Who? (Ceo anashtuka na blood pesure inaanza kuwa juu)
Dont act like ujanielewa, umesha pata kujua what KP wanted from us and how nilimshughulikia?
Boss, hapana sijapitia chochote kinacho husu KP
Sasa nimefunga hii safari mwenyewe kuja kukujuza tu kuwa you need to task your people wakupe file la K.P there issues in there you need to know kabla yakuendelea na ujinga wako na mzee kuunda umoja wa kudeal na mimi!!
And by the way tell mzee namheshimu sana he is still my guy!! Mwambie i can smell an enemy as far as i can!! Na kama huna ilo file bas take this flash!
Born town anampa flash CEO yenye details about what KP did!
Then akiwa anatoka anamwambia, msalime sana KP mwambie this time niko free zaid as he thinks! CEO anaitazam ile flash akiwa anatetemeka
Then born town anarudi kidogo!!
Nilikua nataka kusahau, kule mbugani ile pesa imeshaingia tuna hitaji ilo eneo as soon as possible!! Na nnakukumbusha unapaswa kwenda kule ulikonichafua ukanisafishe tena kama tulivyo kubaliana last time nikiwa hapa I need my investors back, especially from USA! Anasmile kidogo as usual antoka
Current CEO alipo pata taarifa ya born town kuwa ana kuja, alimjulisha mzee then mzee akaplant audio divices kwenye ofisi ya CEO ready to listen to why born time alikuwa pale!
Baada yakusikia kilichosemwa pale evryone was in shock ....
Ceo alirudi haraka ndani and opened her laptop na kuweka ile flsh!!
Then a small folder with 26 GB kwenye flash inajidispaly usoni kwake!!
Ana oppen ile folder anakutana folder lenye title "Oparation +250 Bingo "
pdf files , picture na audio clip na video clip zenye title mbalibali ......
So what happen between KP and born town??
Hope tuta maliza two last epsode soon!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
[emoji7][emoji7][emoji7]Boss wamemchukua kijana as we thought
Okey so it realy KP?
yes!! Its him indeed!! Tume scan na laptop, Hii software waliyoweka humu kwenye hii laptop ndio ile ile!
Mnaweza kutrack kijana anaonekana kapelekwa wapi?
Yes! Hatuja switch on ile tracker maaana watamscan kuona kama ana anytracking device!
Good! Enedeleni kunijulisha kila hatua!
Sawa boss!!
This guy!!! He always admire my company!! This time tunakula sahani moja
Boss anachukua simu na kumpigia curent CEO, i need to talk to you nakuja hapo!! Then anakata simu!
Born town haraka sana na convoy yake wanaanza safari kuelekea makao makuu ya kampuni, baada ya saa mbili hivi anafanikiwa kufika mpaka makao makuu ya kampuni bila tabu maanaa pale nikama kwake
Anakwenda moja kwamoja kwa mwenyeji wake anaingia ofisini kwake nakukaa kumsubiri! Akiwa pale anaendelea kuzitizama picha za other CEO waliopita ikiwemo ya kwake zilivyo pangwa kwa mpangilio kuanzia CEO wa kwanza mpaka wa sasa! Macho yake yanapofika kwa late CEO, anasmile kidogo!! Anajisemea this guy........
Then five minutes curent CEO anaingia nakuketi!!
Shkamoo boss!!
Marhaba!! Naona ume update furniture last time nimekuja sio hizi!
Hahaha, Nikweli Mkuu! Mtu wa decoration alinishauri tuzibadili and i thought it was a good idea!!
Ohoo! Okey!!
Sawa, Karibu boss! Simu yako imenishtua!
Yes! Nimekuja tena this is the second time na kuja hapa un-ivated so samhani kwa hilo! Ntakwenda moja kwa moja kwenye hoja maaana najua una bizy schedule
Usjali hapa kwako mkuu!!
Hivi Ulipopitia mafile ya kampuni yetu baada ya kupewa hii ofisi, ulipata nafasi ya kupitia file la KP ?
Sorry? Who? (Ceo anashtuka na blood pesure inaanza kuwa juu)
Dont act like ujanielewa, umesha pata kujua what KP wanted from us and how nilimshughulikia?
Boss, hapana sijapitia chochote kinacho husu KP
Sasa nimefunga hii safari mwenyewe kuja kukujuza tu kuwa you need to task your people wakupe file la K.P there issues in there you need to know kabla yakuendelea na ujinga wako na mzee kuunda umoja wa kudeal na mimi!!
And by the way tell mzee namheshimu sana he is still my guy!! Mwambie i can smell an enemy as far as i can!! Na kama huna ilo file bas take this flash!
Born town anampa flash CEO yenye details about what KP did!
Then akiwa anatoka anamwambia, msalime sana KP mwambie this time niko free zaid as he thinks! CEO anaitazam ile flash akiwa anatetemeka
Then born town anarudi kidogo!!
Nilikua nataka kusahau, kule mbugani ile pesa imeshaingia tuna hitaji ilo eneo as soon as possible!! Na nnakukumbusha unapaswa kwenda kule ulikonichafua ukanisafishe tena kama tulivyo kubaliana last time nikiwa hapa I need my investors back, especially from USA! Anasmile kidogo as usual antoka
Current CEO alipo pata taarifa ya born town kuwa ana kuja, alimjulisha mzee then mzee akaplant audio divices kwenye ofisi ya CEO ready to listen to why born time alikuwa pale!
Baada yakusikia kilichosemwa pale evryone was in shock ....
Ceo alirudi haraka ndani and opened her laptop na kuweka ile flsh!!
Then a small folder with 26 GB kwenye flash inajidispaly usoni kwake!!
Ana oppen ile folder anakutana folder lenye title "Oparation +250 Bingo "
pdf files , picture na audio clip na video clip zenye title mbalibali ......
So what happen between KP and born town??
Hope tuta maliza two last epsode soon!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Sorry mtoniZiwa gan tena hilo?
Jaman yoga unatukata stimu😋Boss wamemchukua kijana as we thought
Okey so it realy KP?
yes!! Its him indeed!! Tume scan na laptop, Hii software waliyoweka humu kwenye hii laptop ndio ile ile!
Mnaweza kutrack kijana anaonekana kapelekwa wapi?
Yes! Hatuja switch on ile tracker maaana watamscan kuona kama ana anytracking device!
Good! Enedeleni kunijulisha kila hatua!
Sawa boss!!
This guy!!! He always admire my company!! This time tunakula sahani moja
Boss anachukua simu na kumpigia curent CEO, i need to talk to you nakuja hapo!! Then anakata simu!
Born town haraka sana na convoy yake wanaanza safari kuelekea makao makuu ya kampuni, baada ya saa mbili hivi anafanikiwa kufika mpaka makao makuu ya kampuni bila tabu maanaa pale nikama kwake
Anakwenda moja kwamoja kwa mwenyeji wake anaingia ofisini kwake nakukaa kumsubiri! Akiwa pale anaendelea kuzitizama picha za other CEO waliopita ikiwemo ya kwake zilivyo pangwa kwa mpangilio kuanzia CEO wa kwanza mpaka wa sasa! Macho yake yanapofika kwa late CEO, anasmile kidogo!! Anajisemea this guy........
Then five minutes curent CEO anaingia nakuketi!!
Shkamoo boss!!
Marhaba!! Naona ume update furniture last time nimekuja sio hizi!
Hahaha, Nikweli Mkuu! Mtu wa decoration alinishauri tuzibadili and i thought it was a good idea!!
Ohoo! Okey!!
Sawa, Karibu boss! Simu yako imenishtua!
Yes! Nimekuja tena this is the second time na kuja hapa un-ivated so samhani kwa hilo! Ntakwenda moja kwa moja kwenye hoja maaana najua una bizy schedule
Usjali hapa kwako mkuu!!
Hivi Ulipopitia mafile ya kampuni yetu baada ya kupewa hii ofisi, ulipata nafasi ya kupitia file la KP ?
Sorry? Who? (Ceo anashtuka na blood pesure inaanza kuwa juu)
Dont act like ujanielewa, umesha pata kujua what KP wanted from us and how nilimshughulikia?
Boss, hapana sijapitia chochote kinacho husu KP
Sasa nimefunga hii safari mwenyewe kuja kukujuza tu kuwa you need to task your people wakupe file la K.P there issues in there you need to know kabla yakuendelea na ujinga wako na mzee kuunda umoja wa kudeal na mimi!!
And by the way tell mzee namheshimu sana he is still my guy!! Mwambie i can smell an enemy as far as i can!! Na kama huna ilo file bas take this flash!
Born town anampa flash CEO yenye details about what KP did!
Then akiwa anatoka anamwambia, msalime sana KP mwambie this time niko free zaid as he thinks! CEO anaitazam ile flash akiwa anatetemeka
Then born town anarudi kidogo!!
Nilikua nataka kusahau, kule mbugani ile pesa imeshaingia tuna hitaji ilo eneo as soon as possible!! Na nnakukumbusha unapaswa kwenda kule ulikonichafua ukanisafishe tena kama tulivyo kubaliana last time nikiwa hapa I need my investors back, especially from USA! Anasmile kidogo as usual antoka
Current CEO alipo pata taarifa ya born town kuwa ana kuja, alimjulisha mzee then mzee akaplant audio divices kwenye ofisi ya CEO ready to listen to why born time alikuwa pale!
Baada yakusikia kilichosemwa pale evryone was in shock ....
Ceo alirudi haraka ndani and opened her laptop na kuweka ile flsh!!
Then a small folder with 26 GB kwenye flash inajidispaly usoni kwake!!
Ana oppen ile folder anakutana folder lenye title "Oparation +250 Bingo "
pdf files , picture na audio clip na video clip zenye title mbalibali ......
So what happen between KP and born town??
Hope tuta maliza two last epsode soon!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
yule jamaa asee inaonekana anawatu wengi nyuma yake na current CEO akijifanya kiburi atakumbatia udongo mda si mrefuIla born town anajiamini snaa[emoji1787][emoji1787]
Ahsante mkuu. Mahali ulipo wapo ,popote wanakufikia [emoji41][emoji41][emoji23][emoji23]
Wanajua mbinu za kivita hao [emoji23][emoji23][emoji23]
Bora umeongeza siku