Late CEO alikuwa na nafasi kubwa ya kuwa CEO bora kuliko wote. Sijui nini kilimchanganya. Mwisho wa siku amekuja kuonekana wa kiwango cha chini sana hadi Born Town anaonekana wa maana.Ni kweli wengi hawakukubaliana na siasa za jiwe, lakini naona inatumika kama excuse ya kupaka rangi mabaya aliyowahi kufanya born town.
Jiwe alifanya mengi ya ajabu hadharani, lakini hayawezi kufuta pia mabaya aliyowahi kufanya na pengine anayofanya born town. Na hapo ndio naona kuna nyuki born town wanaingia na kutumia hiyo excuse
Kuna kitu kwenye Kampuni nyingi Duniani kinaitwa... To Maintain Public Investment Security...
CEO wa Kampuni Mbalimbali huko mjuu hulinda hii kitu ili UKUSANYE KODI na KUMAINTAIN JOB SECURITY..
Born Town alijitahidi ndio maana angalau Govt na Private Institution ziliajiri...
Alipoingia The so called Late... Alijua Private Institution hazilipi kodi... Akazinyonya balaa... Nguvu ya kuajiri ikaisha....
Yeye alijua tuu... Kamua tuu.... Na baadhi ya watu.. Nenda Benki angalia ana salio lipi.... Kamuaaaa...
Mwisho wa siku... Kila Big Companies zikapunguza wafanyakazi... Pia Jobs zikawa shida.. Sanaaa...
Washikadau flani flani wakaondoka wakaenda njeeee kabisa... Maana wangefilisika....
Kuwa na M 500 Benki sio kosa kama unaweza kuonyesha umepataje.. Kwa kazi zipi kihalali...
...kuna watu wanaingiza 20 M kwa mwezi na kodi analipa.... Je hawezi kuwa na 500 M benki...? Basi hawa wengi waliumizwa... Huku mzilankende akijua anajenga kampuni.... Kumbe ndio anaua employment industry..
Anyway tumetoka mbali...
Bado atakuwa ndiye....Tatizo matarishi ambao bado wanaendeleza ukoloni mambo leo wanataka kutuaminisha wanachopenda tuamini...Mie kwa hili nafsi yangu haitakaa iwaelewe hata nikilazimisha ielewe...Ipo siku mtajua hamjui!Late CEO alikuwa na nafasi kubwa ya kuwa CEO bora kuliko wote. Sijui nini kilimchanganya. Mwisho wa siku amekuja kuonekana wa kiwango cha chini sana hadi Born Town anaonekana wa maana.
Umeisemea nafsi yangu...Wanashiriki uovu so hawawezi kukata miti waliyoikalia.Ni kweli lakini wale Top wao wakiamua kukataa ujinga wa wanasiasa yataisha haya. Sema na wao wanayapenda hayp hayo
Hapo Ame sijakupataBado atakuwa ndiye....Tatizo matarishi ambao bado wanaendeleza ukoloni mambo leo wanataka kutuaminisha wanachopenda tuamini...Mie kwa hili nafsi yangu haitakaa iwaelewe hata nikilazimisha ielewe...Ipo siku mtajua hamjui!
Hutoweza kunielewa leo...jipe muda huko mbele utafanya rejea kisha utaelewe...too early to perceive what i mean...Time is a good healer!Hapo Ame sijakupata
Sawa nakusikiliza Mtumishi wa Mungu. Mimi siwezi kukupingaHutoweza kunielewa leo...jipe muda huko mbele utafanya rejea kisha utaelewe...too early to perceive what i mean...Time is a good healer!
Ukinipinga ndiyo vizuri...Usiponipinga nabakia mimi kutenda kwa nguvu zangu za madafu zisizo fua dafu kabisa, kwakua yule nayemtumainia anakosa sababu ya kutenda...Bora unipinge basi😂Sawa nakusikiliza Mtumishi wa Mungu. Mimi siwezi kukupinga
Nyie manabii sometimez mnavituko lakini.Ukinipinga ndiyo vizuri...Usiponipinga nabakia mimi kutenda kwa nguvi zangu za madafu zisizo fua dafu kabisa, kwakua yule nayemtumainia anakosa sababu ya kutenda...Bora unipinge basi😂
Wale marasta achana nao wanamafunzo ya cdo pia wako vizuri kukusanya na kuchambua taarifa za ujasusi. Kuna mmoja alijiunga nao kilichofata ni msibamkuu niliwashuhudia hao marasta enzi hizo niko kibondo kwakweli walituliza mji,
Magaidi wanaingia na kuishi marekani na ulaya ww unashangaa kuingia na kuishi Tanzania!?Mbona magaidi waliingia na kuishi hapa mkuu kama tuko vzr hivyo kaa maelezo yako
Ndio maana mliunda kikosi kazi ili muuwe biashara za watu eeeeh?Acha kutupiga fix, wa mabilioni biashara hawalipi kodi wengi. Ujanja ujanja tu kama ilivyo sasa hivi
Ila Jiwe pamoja na mazuri yake baadhi hasa kuboresha Miundombinu nchini ila alikua na ROHO mbaya sana .Ndio maana mliunda kikosi kazi ili muuwe biashara za watu eeeeh?
Pale TRA wapo wengi walichukia kikosi kazi kukaa pembeni... Kamuulizie H. Sali.. Yupo analia na mshahara tuu baada ya kikosi kazi kuvunjwa... Watu walikuwa na uhakika wa mpaka million mbili kwa siku... Za Rushwa.... Mnavamia wafanyabiashara wakubwa kwakuwa mna go ahead (ruhusa ya Jiwe) mnawaambia toa kiasi hiki TRA.. Na mimi nipe kiasi hiki... Bila hivyo jiandae kwenda Kisutu na nitahakikisha hakuna dhamana.....
Ilikuwa wakati wenu kutesa... Sasa yalishapita hayo...
Mtu mshauri wake Mkuu Paulo na Slowslow lazima kuna mahala utakosea ….Born Town ni zao la System hata washauri wake na watu wanaomzunguka ni haohao hapo ndo difference ilipoLate CEO alikuwa na nafasi kubwa ya kuwa CEO bora kuliko wote. Sijui nini kilimchanganya. Mwisho wa siku amekuja kuonekana wa kiwango cha chini sana hadi Born Town anaonekana wa maana.
Ndio maana mliunda kikosi kazi ili muuwe biashara za watu eeeeh?
Pale TRA wapo wengi walichukia kikosi kazi kukaa pembeni... Kamuulizie H. Sali.. Yupo analia na mshahara tuu baada ya kikosi kazi kuvunjwa... Watu walikuwa na uhakika wa mpaka million mbili kwa siku... Za Rushwa.... Mnavamia wafanyabiashara wakubwa kwakuwa mna go ahead (ruhusa ya Jiwe) mnawaambia toa kiasi hiki TRA.. Na mimi nipe kiasi hiki... Bila hivyo jiandae kwenda Kisutu na nitahakikisha hakuna dhamana.....
Ilikuwa wakati wenu kutesa... Sasa yalishapita hayo...
HeheheHahaa nimekumbuka kitu..
Unajua hata kipindi hiko 70's Aliyekuwa CEO wa kwanza wa Kampuni yalishamtokea mara nyingi akawa anakwepeshwa na wasamaria wema..
Akataka kujua chanzo.. Akaambiwa umekaa sana kwenye kitu.. Achia madaraka yeye hasikii..
Kwenye 80's akiwa kwenye vikao vya ndani ya kampuni akasema nikitoka kwenye kiti hiki basi Mfanyakazi wangu hodari (anatoka kwenye jamii ya wafugaji) ndiye anayefaa..
Washikadau wa kampuni wakapigwa butwaa huyu msimamizi mkuu wa shughuli za kampuni anatusumbua namna hii kila dakika ni uhujumu uchumi...
Wakasema hapana.. Aliandaliwa msafara kutoka Makao kuja mjini akala mzinga wa hatari.. Ceo wa wakati huo alipopata taarifa ya msiba wa msaidizi wake mkuu wa shughuli.. Akajua kituo kinachofuata ni yeye mwenyewe.. Ndipo ikatoa tangazo kubwa kwamba NANG'ATUKA..
Basi washikadau wakatulia na ndipo ikaleta terms ya kuchukua kiti cha CEO ni miaka 10 tuu..
Ukizidisha kitakachokupata usilalamike..
Yoga kama kweli wewe wa kike(sina uhakika) nilete posa basi!
Mimi unafikir nakubaliana na ccm hata kwa bahati mbaya jinsi wanavyoendesha hii nchi? Hapana. Natamani reformation kubwa sana lkn siyo kwa kuuana. Hicho kisasi chake achaaa. Nakuambia hicho kisasi ysikitamani. I know there are smart ways to deal with this. Ila siyo kwa kuua. Its never the best option.Ni kweli wengi hawakukubaliana na siasa za jiwe, lakini naona inatumika kama excuse ya kupaka rangi mabaya aliyowahi kufanya born town.
Jiwe alifanya mengi ya ajabu hadharani, lakini hayawezi kufuta pia mabaya aliyowahi kufanya na pengine anayofanya born town. Na hapo ndio naona kuna nyuki born town wanaingia na kutumia hiyo excuse
Tatizo lake alikuwa materialist ndio hapa alianza kujichanganya, yeye alipenda vitu bila kuviwekea misingi ya utu na uwazi. Kwa mfano issue ya elimu bure alikurupuka maana nchi yetu bado ni changa haina financial supremacy kutoa free service. Leo ukienda kwenye shule zetu unalia, hali mbaya sana. Badala ya kuboresha elimu yeye alipenda sifa zaidi.Late CEO alikuwa na nafasi kubwa ya kuwa CEO bora kuliko wote. Sijui nini kilimchanganya. Mwisho wa siku amekuja kuonekana wa kiwango cha chini sana hadi Born Town anaonekana wa maana.