Dark days 17/03/20...

Hakuna anayetawala milele, dunia hii tunakatisha njia tu
 
So jpm hakuwa human? JK je? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii si chai ni kahawa kabisa.
 
Aisee sister we ni mtu mzuri sana na ni mtarabu sana unafaa kuwa wife kama hujaolewa pia nikutakie kila la heri katika uandishi tukutane 15 August.
 
So jpm hakuwa human? JK je?
What is a human? off course they are HUMAN because they have BODIES and they are good at pretending to be HUMAN.

But I am talking of who they REALLY ARE beyond those bodies they wear in DISGUISE.

Wewe bado mjinga sana kwenye hizi elimu zilizo juu ya upeo wako.

Wewe ni oya oya tu unayesubiri pakuche ulale na kula. Haya mengine waachie wenye ujuvi nayo.
 
Nauuliza UFAHAMU wangu maswali haya, Si lazima nijibiwe.

Target locked; 20 July?

1.Inspector manyota anatenguliwa, alikuwa ameset target somewhere?

2. Bt alikuwa amelenga target Mahali ameahirisha au amefail target?

3. Bt ametapika ndoano?

4.Bt amewin target nani Kwa nan?

5. Kikao kimekaa na kufikia makubaliano kumaliza uhasama?

Tusubiri simulizi, haya mambo hayataki papara.
 
OMG! Wewe ni binadamu? Kama ni hivyo, maana yake hakuna aliye binadamu kamili kwa sababu kila mmoja ana roho ambayo mwili wake umeivaa.
 
Mkuu una kichwa kinafanya kazi balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…