Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

ACHA UJINGA bila BT hii Nchi ilitaka kua ya kishamba sana, Mwendazake angetawala Milele
Ni nani angemnyamazisha yule Dikteta aliyeko Jehanamu, kawatanguliza kna Ben saa8, Akwilina, Azory,
kazalisha wake za watanzania wenzake.
wewe ndio utatangulia Jehanamu na Borntown Peponi tunamuombea
Hakuna anayetawala milele, dunia hii tunakatisha njia tu
 
Kuna kanjanja mwenzako anaitwa samurai anawalaghai watu anajifanya anayajua ya ulimwengu usioonekana.

Maneno meengiii kujitia jasusi kumbe mchawi wa kawaida sana.

Wala hakuna jipya hapo. Tunatambua, marais wengi sio BINADAMU.

Mnawalaghai laghai wajinga tu.
So jpm hakuwa human? JK je? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii si chai ni kahawa kabisa.
 
Kwanza nikushukuru kwa kuchukua muda wako na kuisoma "hadithi" hiyo juu! Asante sana mkaka!!

Pili nikushukuru kutoa mawazo yako kuhusu "hadithi hiyo hapo juu" nashukuru sana!!

Mwisho niombe kukukumbusha hadithi ulioisoma haijamtaja mtu, au kuwazungumzia watu ambao nimeona unataka wahusisha!

Niendelee kukujulisha kuwa natambua kuwa yaweza kuwa hadithi hiyo imekukwaza niseme pole saa na haikuwa dhamira ya fanani!!

Ila kuna msemo literature is a mirror of the society!! Na kila mmoja yupo free ku interprete alichokisoma from his/her point of view!!

Ubarikiwe sana!! Tukutane 15agust 2022 kama utapenda!!







Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Aisee sister we ni mtu mzuri sana na ni mtarabu sana unafaa kuwa wife kama hujaolewa pia nikutakie kila la heri katika uandishi tukutane 15 August.
 
So jpm hakuwa human? JK je?
What is a human? off course they are HUMAN because they have BODIES and they are good at pretending to be HUMAN.

But I am talking of who they REALLY ARE beyond those bodies they wear in DISGUISE.

Wewe bado mjinga sana kwenye hizi elimu zilizo juu ya upeo wako.

Wewe ni oya oya tu unayesubiri pakuche ulale na kula. Haya mengine waachie wenye ujuvi nayo.
 
Target is locked ............

Mark the day.......

The day 20/07/2022, it is mid night, but some people arent sleeping!!

one of the historical moment in mr born town's company!

Now we can start season 2 .............

The Pandora box is opened.

Stay safe current CEO and thank God for what has just happened!! Your safe ..........


15th of Agust!! Season two itakua hapa!!

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Nauuliza UFAHAMU wangu maswali haya, Si lazima nijibiwe.

Target locked; 20 July?

1.Inspector manyota anatenguliwa, alikuwa ameset target somewhere?

2. Bt alikuwa amelenga target Mahali ameahirisha au amefail target?

3. Bt ametapika ndoano?

4.Bt amewin target nani Kwa nan?

5. Kikao kimekaa na kufikia makubaliano kumaliza uhasama?

Tusubiri simulizi, haya mambo hayataki papara.
 
What is a human? off course they are HUMAN because they have BODIES and they are good at pretending to be HUMAN.

But I am talking of who they REALLY ARE beyond those bodies they wear in DISGUISE.

Wewe bado mjinga sana kwenye hizi elimu zilizo juu ya upeo wako.

Wewe ni oya oya tu unayesubiri pakuche ulale na kula. Haya mengine waachie wenye ujuvi nayo.
OMG! Wewe ni binadamu? Kama ni hivyo, maana yake hakuna aliye binadamu kamili kwa sababu kila mmoja ana roho ambayo mwili wake umeivaa.
 
Nauuliza UFAHAMU wangu maswali haya, Si lazima nijibiwe.

Target locked; 20 July?

1.Inspector manyota anatenguliwa, alikuwa ameset target somewhere?

2. Bt alikuwa amelenga target Mahali ameahirisha au amefail target?

3. Bt ametapika ndoano?

4.Bt amewin target nani Kwa nan?

5. Kikao kimekaa na kufikia makubaliano kumaliza uhasama?

Tusubiri simulizi, haya mambo hayataki papara.
Mkuu una kichwa kinafanya kazi balaa.
 
Back
Top Bottom