Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kesha sepa zamani πππππ mpasue akamalizie nyumba yake kibamba huko
Amewahi kukuloga, umewahi kumuona akiwanga..?Yaani mchawi unamwita jabali?
Umetuaibisha walokole kijana!
Ni wapumbavu sanaUzi ulikuwa unaenda vizur tuu tatizo watu wakaanza kumtishia [mention]yoga [/mention]had akasema attackβs ni nyingi sana : ila atarudi wengi tunamuombea uzima : watu wabaya washindwe yoga ashinde uzi uendelee
Washindwee na walegee!Uzi ulikuwa unaenda vizur tuu tatizo watu wakaanza kumtishia [mention]yoga [/mention]had akasema attackβs ni nyingi sana : ila atarudi wengi tunamuombea uzima : watu wabaya washindwe yoga ashinde uzi uendelee
πππYoga has become a little stronger now....namimi nimeweka code yangu sasa kutesa kwa zamu
Sasa hii doria ya 24 hours kwenye Uzi wa yoga pekee simulizi itasimuliwaje?Yoga has become a little stronger now....namimi nimeweka code yangu sasa kutesa kwa zamu
Unadhani ni nini kinatufanya tupige doria 24 hrs kwa huu uzi?Sasa hii doria ya 24 hours kwenye Uzi wa yoga pekee simulizi itasimuliwaje?
Labda atusimulie kupitia PM!!!!
Yaani Kuna thread nyingi jamvini bt hutowaona zaidi ya Uzi wa YOGA!Β‘!!