Dark days 17/03/20...

Wacha wanyooshwe Kwa huo ulafi hyo episode ya kupiga Yoga Ali explain vizuri kumbe hata mabei ni uhuni wao tu na tamaa zako wangefanya Kila jambo Kwa kiasi

Kabisa ni UHUNI.

Yes kwa kiasi. Wangetumia kanuni ya panya tu. Ukishtuka una tu meno meno bila kuumia.

Tatizo kujimudu tamaa (hali ya kutoridhika ndio mtihani kweli kweli).
 
Mie mawazo yangu yako ya BT kusafirisha wenzake ili hata akiondoka anajua aliokua nao sambamba nao pia hawapooo.

Ko historia inaanza upyaa.
 
Mkuu, upo?
 
Mie mawazo yangu yako ya BT kusafirisha wenzake ili hata akiondoka anajua aliokua nao sambamba nao pia hawapooo.

Ko historia inaanza upyaa.

Sasa kuandika historia kwa upya ndio mtihani, inategemea na anayeiandika. Ataandika kwa maslahi ya nani? Kwa mfumo upi?
 
Huu ni UONGO na uzandiki.... Usijitafutie laana kwa uzushi wako
 

Yanaanzaga hivi hivi mpaka kwa mlengwa probably kama kuna kuondoa kwa matakwa fulani.

Apumzishwe kwa Amani.
 
Mbona hatariiii hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…