Dark days 17/03/20...

Wamemuanika kweupe kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha utani inamaana achika ndiyo supreme leader wa dip shiteti? Ila yawezekana ni hatari maana kuna mtu alishataka jimbo lake aliponea kwa waasisi wa mapiano

Huyo ndiye engineer programmer wa dip steit. Kwa mujibu wa riwaya yetu pendwa, ni hatari sana mzee. Hata mamvi huenda ni miongoni mwao na hatari pia.

Ila yaonekana kuna ukweli mwengi kumhusu
 
PAKA ndio PK ... alikuja kuitembekea kampuni yetu Juzi Kati
 

Huko alipo, anajuta. Na kuwaondoa wote kwa pamoja mtihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…