NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Vyovyoye inawekezana!!yule kipilimba na kanisa lake nani alijua atakua DG Tena katili sana kipindi kile!!!?Kwa hiyo mtu wa Mungu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI unataka kuniambia nisimpige Boniface Victor?
Nimwombe msahama kwa kwa kumkataa alipotabiri na hata unabii wake kufeli?
Vipi yule kule You Tube wa Kule Arusha HUDUMA YA KRISTO, hutoa tafsiri ya ndoto mbalimbali ambazo hudai kaota, je naye hutumiwa na system?
Baba ake akiwa rais wa Tanzania aliuza eneo la loliondo kwa waarabu SAS HV yey binafsi Ana kashaf ya kuuzaa kisiwaa upande mmojaM
Binafsi naona kama Hussein Mwinyi na Anthony Mtaka wana uwezo wa kutenda pasipo mashinikizo ya watu. Maana wanafanya kazi zao with minimum guidance ni kama hawategemei sana kujikomba kwa mtu ili wafanye kazi zao.
Zitto kwa kuwa mkuu wa nchi hafai kabisa japo haiondoi uwezo wake kielimu sema kaamua kulitumikia tumbo badala ya watanganyika na Tanzania kwa ujumlaSawa mkuu ila Zitto mmmmh.
Hayupo kati yaoJe katika hawa Waheshimiwa ni yupi mmojawapo akipewa na Deep state au na Raia wa nchi kwa mjibu wa katiba ya JMT kuwa Rais wa Nchi yetu,
1. Hussein Ally Mwinyi.
2. George Simbachawene.
3. Dotto Biteko.
4. Anthony Mtaka.
5. January Makamba.
6. Innocent Bashungwa.
7. Zitto Kabwe.
8. Josephat Gwajima
Ni yupi anaweza ku fiti na kuifanya nchi yetu kupata maendeleo ya kiuchumi, kisayansi, kijeshi, rushwa kupungua nchini, rasilimali za nchi kunufaisha raia wengi?
Kuna juhudi Fulani za ulimwengu wa kiroho kuwavuta wastaafu wa Urais Kwa Kasi kwenda kule ambapo hawarudi,Hadi najiuliza Hadi 2025 tutakua na mstaafu yeyote wa urais atakua amesalia Kwa huku Bara!!Duuuuuuh hatari, Mungu awape uhai wazee wenye kulipenda Taifa, rasilimali za nchi na watu wake hasa wenye kutaka rasilimali za nchi zinufaishe watu wengi na taifa na si kikundi cha watu wachache.
Ahaaaaa Ahaaaaa, hatari, kuna mwingine Ubungo huko aliwahi kulewa Bapa akawa full kutukana hivi majuzi tena kwenye mkutano fulani na Waziri mkuu kafanya maombi kwenye kuhitimisha hakutumia Jina la Bwana Yesu, alizua ngumzo kwenye ulimwengu wa Wakristo wa Kipentekoste.Vyovyoye inawekezana!!yule kipilimba na kanisa lake nani alijua atakua DG Tena katili sana kipindi kile!!!?
Dini ni sehemu ya ujasusi wa kidola na kiuchumi!Ahaaaaa Ahaaaaa, hatari, kuna mwingine Ubungo huko aliwahi kulewa Bapa, kwa majuzi kati kwenye mkutano fulani na Waziri mkuu kafanya maombi kwenye kuhitimisha hakutumia Jina la Bwana Yesu, alizua ngumzo ulimwengu wa Wakristo wa Kipentekoste,
Pia amekuwa na vijihoja vinavyozua mjadala hadi Waislamu kumfurahia
Duuuuuuh, mkuu msakaa jr unadhani ni kiongozi yupi anaweza kufaa kwa ustawi na maslahi mapana ya nchi?Hayupo kati yao
Aiseee, Mungu ana mengi aiseee, anapoangalia nia za baadhi ya watu kutaka kumtumikia, wengine kumbe si kwa ajili ya ufalme wake bali kwa ajili ya ufalme wa nchi.Dini ni sehemu ya ujasusi wa kidola na kiuchumi!
Kuna mmoja huyo analindwa naKuna juhudi Fulani za ulimwengu wa kiroho kuwavuta wastaafu wa Urais Kwa Kasi kwenda kule ambapo hawarudi,Hadi najiuliza Hadi 2025 tutakua na mstaafu yeyote wa urais atakua amesalia Kwa huku Bara!!
Mkuu Kwa Mwinyi Imani ndio kila kitu!uturuki ndio taifa pekee la ulaya lenye Wavaa kanzu wengi,kiimani mvaa kanzu ndugu yake ni mvaa kanzu!
Mwinyi ni kudra za njia ya baba ye ndio zinaweza mbeba!coz amekuwepo kwenye Kuta kimkakati kwa muda mreefu sana!
Doto Biteko ni aina ya watu ambao deep state Huwa wanawa indose na ana fanana kabisa ukimcheki!
Kile cheo sio kwa bahati mbaya amekipata Nina nadharia mbili;-
1.Ni Dr. Philip mpango wa 2026 kama mhusika hakutakiwa kugombea akagombea wakamwacha apite ili....!?Mzena 2026 !!!!?nadhani umenielewa!(wale jamaa wa spana wale 2026)
2.Kelele za NEC na pressure ya Dola kwenye mchakato wa 2025 ya kumpata mtia Nia imuibue Biteko!!!
Kuhusu Gwajima na nguvu ya kanisa kuu !Nina nadharia hizi;-
1.vita vya kidini na awamu ndani ya nec na pressure ya dola italeta kauli ya tukose wote apewe M protestant ndio aibuke!
2.Mtifuano ndani ya chama na serikali kupelekea RIP za watu ,wazee wakubwa wenye kauli ndani ya mchakato !top ten ya NEC ambayo imetawaliwa na Kanda ile wakaamua kumpigania mmoja wa Kanda Ile na mjoli mwenye ushawishi Sana kitaa hasa kiroho akapeta!hapa tusimsahau Inocent Bashungwa namuona ni threat kwa mjoli pia!!!
Nadharia zangu zinachagizwa na sauti za ndugu yangu Ally Hapi alipoenda huko mboka kijijini akawa anarudia "Nchi ipo salama mikononi mwa mkojani" anarudia kauli Ile mara tatu hadi nne kwenye hotuba moja,nilijiuliza sana"kwani haipo salama!?mbona anasisitiza Dana""!!?
Naona mengi ambayo siwezi yaandika hapa mengine !japo Afya ya namba Moja pia itaamua hatma ya mpeperusha bendera!!!!
Sisi waswahili tunasema kunako majaaliwa ya mwenyezi Mungu!
Wazee wa deep state ..hahahahahaha..mwenyewe hayupo hapo sio?Hayupo kati yao
Eeh mwenyezi Mungu mchukue na huyu aliyebaki kwa upendo wako 2030 tuanze upya π πKuna mmoja huyo analindwa na
1. Majini
2. Wazungu wa Ulaya.
3. System ya ndani,
Huyo atakuwepo yaweza kufika miaka 100 au zaidi,
Ni kina kirefu, unaambiwa hata Pk na Putin au Mossad waungane kumuwinda hawamuwezi,
Ilisikika radio mbao fulani ikisema.
Mbali sana.Eeh mwenyezi Mungu mchukue na huyu aliyebaki kwa upendo wako 2030 tuanze upya π π
Aisee kama tumezaliwa day moja maana na mimi nimejiuliza hivyo hivyo. So ukijibiwa na mimi nitag TataUmeeleweka, tusaidie pia kujua KAZI na umuhimu wa Pete ya right hand.
Mkataba wa Left hand unaeleweka, vp kulia!!!
Huyo jamaa ni mjanja aliyeiona fursa mapema. Kasomea Sosholojia. Mwalimu wake ni Meya wa Jiji la Dodoma.Ahaaaaa Ahaaaaa, hatari, kuna mwingine Ubungo huko aliwahi kulewa Bapa akawa full kutukana hivi majuzi tena kwenye mkutano fulani na Waziri mkuu kafanya maombi kwenye kuhitimisha hakutumia Jina la Bwana Yesu, alizua ngumzo kwenye ulimwengu wa Wakristo wa Kipentekoste.
Pia amekuwa na vijihoja vinavyozua mjadala hadi Waislamu kumfurahia
Hahahaa mkuu kwema?Wazee wa deep state ..hahahahahaha..mwenyewe hayupo hapo sio?
Hahahahaha..Hahahaa mkuu kwema?
Samia yupo kweli hapo? [emoji3]
Kwa jina anayeonekana kwa kizazi hiki japo taja watatuKiongozi yupi, kwa jina au sifa?