Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kwa hiyo mtu wa Mungu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI unataka kuniambia nisimpige Boniface Victor?
Nimwombe msahama kwa kwa kumkataa alipotabiri na hata unabii wake kufeli?
Vipi yule kule You Tube wa Kule Arusha HUDUMA YA KRISTO, hutoa tafsiri ya ndoto mbalimbali ambazo hudai kaota, je naye hutumiwa na system?
Vyovyoye inawekezana!!yule kipilimba na kanisa lake nani alijua atakua DG Tena katili sana kipindi kile!!!?
 
M
Binafsi naona kama Hussein Mwinyi na Anthony Mtaka wana uwezo wa kutenda pasipo mashinikizo ya watu. Maana wanafanya kazi zao with minimum guidance ni kama hawategemei sana kujikomba kwa mtu ili wafanye kazi zao.
Baba ake akiwa rais wa Tanzania aliuza eneo la loliondo kwa waarabu SAS HV yey binafsi Ana kashaf ya kuuzaa kisiwaa upande mmoja
 
Je katika hawa Waheshimiwa ni yupi mmojawapo akipewa na Deep state au na Raia wa nchi kwa mjibu wa katiba ya JMT kuwa Rais wa Nchi yetu,
1. Hussein Ally Mwinyi.
2. George Simbachawene.
3. Dotto Biteko.
4. Anthony Mtaka.
5. January Makamba.
6. Innocent Bashungwa.
7. Zitto Kabwe.
8. Josephat Gwajima
Ni yupi anaweza ku fiti na kuifanya nchi yetu kupata maendeleo ya kiuchumi, kisayansi, kijeshi, rushwa kupungua nchini, rasilimali za nchi kunufaisha raia wengi?
Hayupo kati yao
 
Duuuuuuh hatari, Mungu awape uhai wazee wenye kulipenda Taifa, rasilimali za nchi na watu wake hasa wenye kutaka rasilimali za nchi zinufaishe watu wengi na taifa na si kikundi cha watu wachache.
Kuna juhudi Fulani za ulimwengu wa kiroho kuwavuta wastaafu wa Urais Kwa Kasi kwenda kule ambapo hawarudi,Hadi najiuliza Hadi 2025 tutakua na mstaafu yeyote wa urais atakua amesalia Kwa huku Bara!!
 
Vyovyoye inawekezana!!yule kipilimba na kanisa lake nani alijua atakua DG Tena katili sana kipindi kile!!!?
Ahaaaaa Ahaaaaa, hatari, kuna mwingine Ubungo huko aliwahi kulewa Bapa akawa full kutukana hivi majuzi tena kwenye mkutano fulani na Waziri mkuu kafanya maombi kwenye kuhitimisha hakutumia Jina la Bwana Yesu, alizua ngumzo kwenye ulimwengu wa Wakristo wa Kipentekoste.
Pia amekuwa na vijihoja vinavyozua mjadala hadi Waislamu kumfurahia
 
Ahaaaaa Ahaaaaa, hatari, kuna mwingine Ubungo huko aliwahi kulewa Bapa, kwa majuzi kati kwenye mkutano fulani na Waziri mkuu kafanya maombi kwenye kuhitimisha hakutumia Jina la Bwana Yesu, alizua ngumzo ulimwengu wa Wakristo wa Kipentekoste,
Pia amekuwa na vijihoja vinavyozua mjadala hadi Waislamu kumfurahia
Dini ni sehemu ya ujasusi wa kidola na kiuchumi!
 
Kuna juhudi Fulani za ulimwengu wa kiroho kuwavuta wastaafu wa Urais Kwa Kasi kwenda kule ambapo hawarudi,Hadi najiuliza Hadi 2025 tutakua na mstaafu yeyote wa urais atakua amesalia Kwa huku Bara!!
Kuna mmoja huyo analindwa na
1. Majini
2. Wazungu wa Ulaya.
3. System ya ndani,
Huyo atakuwepo yaweza kufika miaka 100 au zaidi,
Ni kina kirefu, unaambiwa hata Pk na Putin au Mossad waungane kumuwinda hawamuwezi,
Ilisikika radio mbao fulani ikisema.
 
Niliwahi kuona sehemu fulani kuwa,
"kwa kuwa mzee wa uwazi na ukweli katangulia pamoja na Mr Maembe,
Waebrania, Waberoya, Wagalatia watasubiri sana kupata tena, nafasi ya namba moja"
Nikasema mmmmmmmh team BT hatari.


Mkuu Kwa Mwinyi Imani ndio kila kitu!uturuki ndio taifa pekee la ulaya lenye Wavaa kanzu wengi,kiimani mvaa kanzu ndugu yake ni mvaa kanzu!
Mwinyi ni kudra za njia ya baba ye ndio zinaweza mbeba!coz amekuwepo kwenye Kuta kimkakati kwa muda mreefu sana!

Doto Biteko ni aina ya watu ambao deep state Huwa wanawa indose na ana fanana kabisa ukimcheki!

Kile cheo sio kwa bahati mbaya amekipata Nina nadharia mbili;-

1.Ni Dr. Philip mpango wa 2026 kama mhusika hakutakiwa kugombea akagombea wakamwacha apite ili....!?Mzena 2026 !!!!?nadhani umenielewa!(wale jamaa wa spana wale 2026)

2.Kelele za NEC na pressure ya Dola kwenye mchakato wa 2025 ya kumpata mtia Nia imuibue Biteko!!!

Kuhusu Gwajima na nguvu ya kanisa kuu !Nina nadharia hizi;-

1.vita vya kidini na awamu ndani ya nec na pressure ya dola italeta kauli ya tukose wote apewe M protestant ndio aibuke!

2.Mtifuano ndani ya chama na serikali kupelekea RIP za watu ,wazee wakubwa wenye kauli ndani ya mchakato !top ten ya NEC ambayo imetawaliwa na Kanda ile wakaamua kumpigania mmoja wa Kanda Ile na mjoli mwenye ushawishi Sana kitaa hasa kiroho akapeta!hapa tusimsahau Inocent Bashungwa namuona ni threat kwa mjoli pia!!!

Nadharia zangu zinachagizwa na sauti za ndugu yangu Ally Hapi alipoenda huko mboka kijijini akawa anarudia "Nchi ipo salama mikononi mwa mkojani" anarudia kauli Ile mara tatu hadi nne kwenye hotuba moja,nilijiuliza sana"kwani haipo salama!?mbona anasisitiza Dana""!!?


Naona mengi ambayo siwezi yaandika hapa mengine !japo Afya ya namba Moja pia itaamua hatma ya mpeperusha bendera!!!!


Sisi waswahili tunasema kunako majaaliwa ya mwenyezi Mungu!
 
Kuna mmoja huyo analindwa na
1. Majini
2. Wazungu wa Ulaya.
3. System ya ndani,
Huyo atakuwepo yaweza kufika miaka 100 au zaidi,
Ni kina kirefu, unaambiwa hata Pk na Putin au Mossad waungane kumuwinda hawamuwezi,
Ilisikika radio mbao fulani ikisema.
Eeh mwenyezi Mungu mchukue na huyu aliyebaki kwa upendo wako 2030 tuanze upya 🙏 🙏
 
Umeeleweka, tusaidie pia kujua KAZI na umuhimu wa Pete ya right hand.

Mkataba wa Left hand unaeleweka, vp kulia!!!
Aisee kama tumezaliwa day moja maana na mimi nimejiuliza hivyo hivyo. So ukijibiwa na mimi nitag Tata
 
Ahaaaaa Ahaaaaa, hatari, kuna mwingine Ubungo huko aliwahi kulewa Bapa akawa full kutukana hivi majuzi tena kwenye mkutano fulani na Waziri mkuu kafanya maombi kwenye kuhitimisha hakutumia Jina la Bwana Yesu, alizua ngumzo kwenye ulimwengu wa Wakristo wa Kipentekoste.
Pia amekuwa na vijihoja vinavyozua mjadala hadi Waislamu kumfurahia
Huyo jamaa ni mjanja aliyeiona fursa mapema. Kasomea Sosholojia. Mwalimu wake ni Meya wa Jiji la Dodoma.
 
Back
Top Bottom