Dark days 17/03/20...

Chief Ni kwamba siyo kila tukio hili Ni la kweli zingine Ni kufikirisha Zaid how came old CEO na washirika wake kwenda kumpigia new CEO magoti aziwafukuze ktk chama badal yake wakaojiwa na kusalilishwa sna mpk mwingine alitembe mpk jumba jeupe kuomba tu msamaha
Ikiwa old CEO ndio mwenye kujuwa sarakas zote bas asingekubali washirika wake wazalilike Kia's kile wakt anweza kumalizana na neo CEO kimya kimya
 
Nimekuelewa.Sisi watu wazima huwa tunaelewana kwa hekima zetu na wala si kwa maneno mengi au kuhoji kwingi. Tunaelewa jambo jipya lakini tunaliweka katika mazingira ya kuwa jambo la zamani.
 
Karudie kusoma hizo code za CEO zipo 3 unazichanganya.
Old CEO ndio ana hilo genge waliotambaa white house
Late CEO alishafukiwa udongoni aliwatimua wote kundi la Old CEO
New CEO ndio kawarudisha wote mabest wa Old CEO hata Jana swahiba wake Mkuu wa Old CEO kapewa shavu awe msaidizi wa New CEO kwenye club ya mpira
 
kumbe haka kajamaa kachafu hivi!!!
kanakula jikoni miaka yote na kanapata harufu za mapishi yote, huko zambarau kamejificha tu, Leo kanamsifia New CEO amsamehe kocha wa timu pinzani aliyelimwa red card miezi 8 kumbe kananeemeka
Ukiwasikilza majukwan wanaongea vizur na kuiponda serikali bt baada ya hapo wamekutana na watu wa serikali na maisha yanaendelea
 
Nimekupata nilimanisha late CEO ambaye tayari kashafukiwa
 
Unakalili mzee njia za kuwaua zipo kibao na hiyo ni mojawapo.
Story za watu zinafanya muamini kua kuna visivyowezekana ilhali vipo kibao mkuu
 
Huenda ni mbinu tu ile ili aone yameisha na wanamuogopa
 
Duuuh

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Sasa kasema tuaishughulishe vichwa vyetu Ni riwaya kajitungia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…