Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
mie nawajua 8 ni official .wengine pia najua wako.kwa malkia wa nyukikm kwa Ndoa sawa, lkn ujananj ana mkubwa wao hao wenye Alizeti, wakati akifanya Makao Makuu ya club yao ya kijani alipata mtoto (mirija akijifanya pilot wa Ndege) Mama yake yupo kitongoji Cha Makole, Kuna watoto wengine wa namna hiyo singidani enzi hizo moto
aliolewa huko bwagaheart,hivyo kijana ana mdg upande wa mama akeKWA tabia hizi za old CEO Nadhani huyo mama Baada ya kuachana nae SIJUI kama alitaka aolewe na other man!!!? AISEH niishie Hapo!!nisije mkosea Mungu!!
Yule jamaa aliyekuwa kolokoloni juzi kati afu akatokaWakuu hii code "mr new culture" imenitoa knock out msaada tafadhali [emoji848]
New culture=New Constitution.Wakuu hii code "mr new culture" imenitoa knock out msaada tafadhali [emoji848]
chairman aliyekua lupango na kutokaWakuu hii code "mr new culture" imenitoa knock out msaada tafadhali [emoji848]
mama ake kijana ashafariki kazikwa zinga ,bwagaheartMmmh nahisi hapana anyway!!!
The state..ni watu gani hawa?Unakuta Old CEO na mishe zote hizo hayupo kwa deep state Wala inner circle executive, ni servant wa kawaida tu kama wengine, ama kweli state ni dubwana la kutisha mno.
wanaume tuache kujifarijiMwanaume haitwi mmbea... Anaitwa Jasusi
Playing opposum.Playing dead is one of the technique that may earn you another day! (just jOking)
Mwenye kampuni yenye logo ya[emoji111]Manji
Nammiss sana jamaa yangu[emoji24][emoji24]Page 2
Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!
Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!
That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!
Huyu kijana..........
Tuendelee au??
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Yes. Now i get it. Things are getting twisted[emoji23][emoji23]Sasa nimeelewa thread ya Tumia akili kwamba:mstaafu aliekwisha kustaafu LAKINI hataki kustaafu anastaafishwa!!yaani the state inataka kushusha heshima ya old CEO Ili apoteze umaarufu na achukiwe na jamii Ili kuiua influence yake kwenye jamii yaani anapakwa mavi anuke Ili astaafishwe rasmi na kuondoa influence yake kwenye serikali yake!!NIMEAMINI STATE HAINA ADUI WALA RAFIKI WA KUDUMU!!HATA KATIBU MSTAAFU WA TCD AMECHAFUKA HAFAI KWAMBA ALISHIRIKI KUM ELIMINATE MWENYEKITI WAKE!!!!AISEH HONGERENI THE STATE KWA KAZI NZURI SANA!!!
Kuna umbea niliusikiaga mitaani ati mama wa mtoto mchimba visima vya alizeti ni yule miaka ya nyuma alishawahi kuwa mwenyekiti kwenye mchakato wa kubadili kitabu kipya miaka ya 2014 i think. Yaani yule mama anaetoka kwenye ka kampuni kadogo, yaani pacha wa kampuni kubwa.mama ake alishafariki.kijana yeye na dada ake dr s wao mama ni mtu wa bwagaheart.na anawadogo wengine bwagaheart
Oh pole yake.mama ake kijana ashafariki kazikwa zinga ,bwagaheart
Deep state au inner circle ndio system au mfumo wenye watu ambao wako behind the scene, wanaendesha nchi kutokea chimbo kabisa na Wana control na manipulation ya mwenendo wote wa mustakabali wa taifa, ni vigumu sana kuwajua hata Viongoz wakubwa wengine hawanaga ufahamu na Hawa inner circle au deep state