Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

km kwa Ndoa sawa, lkn ujananj ana mkubwa wao hao wenye Alizeti, wakati akifanya Makao Makuu ya club yao ya kijani alipata mtoto (mirija akijifanya pilot wa Ndege) Mama yake yupo kitongoji Cha Makole, Kuna watoto wengine wa namna hiyo singidani enzi hizo moto
mie nawajua 8 ni official .wengine pia najua wako.kwa malkia wa nyuki
 
Page 2

Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!

Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!

That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!

Huyu kijana..........

Tuendelee au??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Nammiss sana jamaa yangu[emoji24][emoji24]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sasa nimeelewa thread ya Tumia akili kwamba:mstaafu aliekwisha kustaafu LAKINI hataki kustaafu anastaafishwa!!yaani the state inataka kushusha heshima ya old CEO Ili apoteze umaarufu na achukiwe na jamii Ili kuiua influence yake kwenye jamii yaani anapakwa mavi anuke Ili astaafishwe rasmi na kuondoa influence yake kwenye serikali yake!!NIMEAMINI STATE HAINA ADUI WALA RAFIKI WA KUDUMU!!HATA KATIBU MSTAAFU WA TCD AMECHAFUKA HAFAI KWAMBA ALISHIRIKI KUM ELIMINATE MWENYEKITI WAKE!!!!AISEH HONGERENI THE STATE KWA KAZI NZURI SANA!!!
Yes. Now i get it. Things are getting twisted[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hatimaye leo ndio nmemaliza kusoma comments zote..hakika riwaya hii ni tamu na inavutia.

Mkuu yoga naomba utupe pia sehemu ya nini lilimfanya later CEO kumsusia branch manager wa makao makuu.

Pia kama uko na riwaya ya aliyekuwa junior branch manager wa kule kwenye jimbo la mr new culture tupatie pia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mama ake alishafariki.kijana yeye na dada ake dr s wao mama ni mtu wa bwagaheart.na anawadogo wengine bwagaheart
Kuna umbea niliusikiaga mitaani ati mama wa mtoto mchimba visima vya alizeti ni yule miaka ya nyuma alishawahi kuwa mwenyekiti kwenye mchakato wa kubadili kitabu kipya miaka ya 2014 i think. Yaani yule mama anaetoka kwenye ka kampuni kadogo, yaani pacha wa kampuni kubwa.

N.b sipendagi tu code turahisi
 
The state..ni watu gani hawa?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Deep state au inner circle ndio system au mfumo wenye watu ambao wako behind the scene, wanaendesha nchi kutokea chimbo kabisa na Wana control na manipulation ya mwenendo wote wa mustakabali wa taifa, ni vigumu sana kuwajua hata Viongoz wakubwa wengine hawanaga ufahamu na Hawa inner circle au deep state
 
Back
Top Bottom