X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Huyu kijana msema sana...amelindwa, amefanyishwa kazi...ATALIPWA NINI....?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kaka, ila tunapita tu.Kuwa mtu wa kawaida kunakuja na gharama zake pia.
Imagine kukosa huduma ya kwanza hospitalini kwa haraka sababu wewe ni kajamba nani[emoji28]?
Can you believe unaweza sumbuliwa na trafiki over trivial matters sababu wewe ni kapuku tu huna kitu wala connection.
This has to shock you even more unaweza kuishi maisha duni bila kazi ila umesoma vizuri na elimu yako? That goes to your kids as well.
Kuna jirani yako sababu tu ni boss TRA anakula nchi na familia yake isivyo kawaida anakudhulumu sehemu ya ardhi yako sababu ana connection na Lukuvi na huna msuli wa kutunishiana nae. As worst as it may sound!
Ungeropoka ingekula kwa dereva😅😅😅Usinambie hii kitu ndo unaijuwa kwa mara ya kwanza? Duniani hakuna siri watu wake wa karibu na the late ceo walivyoanza kufa siri ndo zikaanza kutoka hata huku mitaani baadhi ya watu tulijua hii mipango lakini ndo hivyo huna cha kufanya unamwambia nani? Mtu anakwambua mapema ceo kafa meza pin.
Kama mimi nilijua mapema ceo kafa wiki kabla ya tangazo , nikiingia humu jf watu wanauliza ceo yuko wapi? Nashindwa kusema maana ilikuwa ni hatari kusema. Hakuna siku zilizonitesa kama hizo wiki mbili ceo kashakufa watu hawana taarifa.
Kapo tangu early 70sKumbe haka kamchezo ka ku Araipiana kameanza Long Faka
Me najiuliza tu,old CEO ana 72 years sasa hivi.nini anatafuta tena kwenye haya maisha hadi aanze kuongoza hayo magenge ya wahalifu?Kumbe late ceo alikuwa sawa kuua na kupiga risasi wanafiq wote. YULE ALIKUWA KIONGOZI TUMEZINGIRWA NA FISI NA MBWA.ni bora angeendelea kuwamaliza mmoja mmoja. SASA born town si atamuua kila atakaekwenda kinyume nae. Watu wetu wa usalama tuwatafutie jina lingine ni UCHAFU.
Miaka 12.5 nenda shuleSijajua kijana msema sana au pole tu? Mpambania democracy ni DJ? Wengine nawafahamu. Umri wangu Nina miaka 12 na nusu.
Mtu anaambiwa pambana na Corona yeye anabaki anasema hii Ni Vita ya kiuchumiiiiiiii,Mara barakoa inafanana na titi moja la mwanamake lililokatwa.Vyakula ni hatari sana ila the late ceo na team yake walimalizwa na powder ilowekwa kwenye zile documents. Kumbuka late ceo hawezi zisoma peke yake lazima na watu wake wa karibu wakaondoka kwa mgongo wa corona.
Inshort hii movie ilibidi ichezwe kwenye kipindi cha corona ili watu waamini kuwa ni Corona, ni mipango tu.
Corona ni mpango wa mataifa makubwa kutimiza matakwa yao. Kwenye hii vita ya urusi na Ukraine unaisikia corona tena?
Hii ni riwaya tu mkuu...Me najiuliza tu,old CEO ana 72 years sasa hivi.nini anatafuta tena kwenye haya maisha hadi aanze kuongoza hayo magenge ya wahalifu?
Sasa na huyo new CEO atadumu kweli kwa style hiyo?
Ndio umeandika nini wewe Kilaza?acha ujinga we lofa. what do you? idiot
Unapata picha gani kuwa the old CEO anakula sahani moja na kijana msema sana? Afu huku mitaani watu wanampigania kumbe yeye yala bata? Ukielewa hii simulizi ni upumbavu, hata mimi ningeondoa takataka.Mwanzoni nilianza kumuonea huruma Mr. Late lakini nilipofika hapo kwenye tukio la Mzee baba Sema Sema huruma yangu kwa The Late ikaisha.
Mwandishi upo vizuri.. Iwe kweli Mr. Late alifanyiwa uhuni au alivuta naturally naona Kampuni imeokolewa kwa kiasi fulani. Ni bora hapa kampuni ilipo kuliko kule ambako ingekuepo
Kuabudiwa na kutaka kutengeneza utawala wa kifalme ni moja ya mambo ya kipuuzi sana ambayo hayapaswi kupewa nafasi hata kidogo.
Yaani kwa Akili yako ndogo, unashindwa kuona hii ni hadithi, tena ya kutunga.acha ujinga we lofa. what do you? idiot
Wewe nae mpaka muda huu unaamini corona ilihusika kwenye hii simulizi? Kalale hukoMtu anaambiwa pambana na Corona yeye anabaki anasema hii Ni Vita ya kiuchumiiiiiiii,Mara barakoa inafanana na titi moja la mwanamake lililokatwa.
Kilichofuata TBC Ni wimbo wa Taifa afu imeisha hio.
Hahaa nimekumbuka kitu..Kapo tangu early 70s
Mkuu hata Mr. Late na genge lake + branch manager walikua wanakula sana sio kwamba wao walikua watakatifu. Shida yao ni kwamba kula tu waliona haitoshi wakaingilia na kuleta athari kwenye maisha ya watu wengine wasio na hatia.Unapata picha gani kuwa the old CEO anakula sahani moja na kijana msema sana? Afu huku mitaani watu wanampigania kumbe yeye yala bata? Ukielewa hii simulizi ni upumbavu, hata mimi ningeondoa takataka.
konda =Branch Manager,
Naenda mwaka kesho; ila hongera unajua mengi!Miaka 12.5 nenda shule