Mi Corazon
Senior Member
- Oct 16, 2018
- 162
- 253
Mkuu umesema tarehe1 ila ungetuambia itakuwa saa ngapi pia
Dah you made my day [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umesema tarehe1 ila ungetuambia itakuwa saa ngapi pia
Akili huna hata haujui kitu Yaani haujui kuwa huyo jamaa baba yke alishawahi kuhudumu Kama meya ktk serikali ya mkoloni !? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Acha uongo.! 'From barefoot student to President'.
Nimekupuuza [emoji706][emoji706][emoji706]Upotoshaji, you know nothing.!
It depends maisha hayako hivyo ,sio kila anaye dhulumu wengine lazima alipie , Kuna watu tuna wajua walidhulumu maisha ya watu lakini Hadi leo hii wanadunda tu na wanaitwa MashujaaKama alitumika basi soon atalipia
Ina Maana Born town aliwahi pitia huko kama late CEO!!!????Acha uongo.! 'From barefoot student to President'.
BashiteDeep informer atakuwa the lady boss!!
Nikikumbuka alivyomfunga viatu ridhiwani kikwete alivyovamia clouds au scene zingine sio planned ni coincidence?Bashite
Kwani anakuwa na daktari mmoja tu?Sasa simpaka wajue walicho fanyiwa !? Siumesoma mtiriliko wa story nzima hapo story inasema kwamba hata daktari wa late CEO alikuwa ni undercover, so it means alikuwa anajua kinacho mmaliza mkuu lakini hakumtibu kwakuwa alikuwa katika mission ,so late CEO angejuaje kuwa. Anapaswa kutumia antibiotics wakati daktari wake alimficha kuwa alikuwa poisoned
Vipi wakati una shoot hii scene ulikuwa umekaa upande gani wa room?He oppened his eyes, he looked tired, He tried to waved his left hand, it was kama anataka kusema nao neno but alikuwa hawezi!! His wife came close and hold his left hand, his son and doughter also came and stood behind their mother! They both in tears, watching their very sick father! then slowly He closed his eyes
Teh teh.Vipi wakati una shoot hii scene ulikuwa umekaa upande gani wa room?
Still not enough. Dont be fooled!Akili huna hata haujui kitu Yaani haujui kuwa huyo jamaa baba yke alishawahi kuhudumu Kama meya ktk serikali ya mkoloni !? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Halafu unasema Mimi muongo muwage mnauliza period
Yes, watu wametoka mbali sana.Ina Maana Born town aliwahi pitia huko kama late CEO!!!????
the latter,not only a serial killer but also an idiotHivi kati ya old CEO na Late CEO nani tumuweke kwenye list ya "Serial killer"
🤣🤣Bila shaka hata wewe machozi yalikua yanakulenga wakati una shot ile scene, maana umeandika kwa hisia sana "He oppened his eyes, he looked tired, He tried to waved his left hand, it was kama anataka kusema nao neno but alikuwa hawezi!! "Kwa juuu yaani!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umenifanya nicheke sanaaaa ujue!![emoji16][emoji23][emoji23] Dah!
[emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee siunajua tena fanani na hadhira yake bwana!! Ila CEO bwana R.I.P kwake eti[emoji16][emoji847][emoji9][emoji1787][emoji1787]Bila shaka hata wewe machozi yalikua yanakulenga wakati una shot ile scene, maana umeandika kwa hisia sana "He oppened his eyes, he looked tired, He tried to waved his left hand, it was kama anataka kusema nao neno but alikuwa hawezi!! "
Hongera sana fanani kwa kazi nzur, japo hadhira yako hatujajua motive yako ni ipi hasa?[emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee siunajua tena fanani na hadhira yake bwana!! Ila CEO bwana R.I.P kwake eti[emoji16][emoji847][emoji9]