Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
I doubt if he ever walked barely cause his dad was a district commisioner during colonial rule. He was paid well.Acha uongo.! 'From barefoot student to President'.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I doubt if he ever walked barely cause his dad was a district commisioner during colonial rule. He was paid well.Acha uongo.! 'From barefoot student to President'.
Yaani!!sound familiar kwenye tweet's kama vile wakati ninafuatilia ule mlolongo wa matukio kuelekea kifo chake!are you the one!!Kule Tweeter kipindi kile!!!?Kwa juuu yaani!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umenifanya nicheke sanaaaa ujue!![emoji16][emoji23][emoji23] Dah!
Hiyo party imeniumiza Sana!hadi unajiuliza kwanini the wenye kampuni wasingemfanya the late KUWA mtendaji MKUU na awe active tu KULIKO kumfanya CEO kabisa!!!??nadhani angefanya vizuri kama angekuwa monitored!!?wakamchomeka aiseh!![emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee siunajua tena fanani na hadhira yake bwana!! Ila CEO bwana R.I.P kwake eti[emoji16][emoji847][emoji9]
Lengo ni kutuandaa kisaikolojia kwa matukio yajayo mbeleni kwenye kampuni yeti!!anatuandaa wenye akili tutambue kuna mtifuano wa chinichini ndani ya kampuni na mambo hayajatulia kwahiyo hiki ni kipindi cha mpito kuelekea Kule kunakopaswa kufikwa!BADO mageuzi KWENYE kampuni yanahitajika kufanyika!!!tujiandae tuwe makini,IKIWEZEKANA tubaki majumbani tucheze na watoto wetu wakati wa tufani!!!Hongera sana fanani kwa kazi nzur, japo hadhira yako hatujajua motive yako ni ipi hasa?
Je unaburudisha, unafarakanisha au ndio unajipima uwezo wako wa kuandaa fasihi
[emoji1787][emoji1787] jamani, mie sina motive yoyoye ile!! Tusome tu!!Hongera sana fanani kwa kazi nzur, japo hadhira yako hatujajua motive yako ni ipi hasa?
Je unaburudisha, unafarakanisha au ndio unajipima uwezo wako wa kuandaa fasihi
Ni kweli ma'am hatutafumba macho tutasoma tu!unafikiri tutafanyaje sasa na tayari tushakuwa mateja tupo arosto hadi tarehe moja!!![emoji1787][emoji1787] jamani, mie sina motive yoyoye ile!! Tusome tu!!
Kweli man!!ntasahauje!!?Hujaisahau tarehe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ikiwezekana na mimi mkuunakutumia dm
Ni kweli ma'am hatutafumba macho tutasoma tu!unafikiri tutafanyaje sasa na tayari tushakuwa mateja tupo arosto hadi tarehe moja!!!
Mkuu asante,nimefurahi kukuona tena hapa la msingi kabisa tumeishia hapa au tunaendelea[emoji1787][emoji1787] jamani, mie sina motive yoyoye ile!! Tusome tu!!
Jamaa ni Mafia itakuwa.Tabasamu he's so so smart nigga , kuuangusha ule mbuyu wakati chain yake imerudi ktk system ni zaidi ya Vita , imagine ukali wa amelala yoooh na ulinzi wake ulivyokuwa then Waka muondoa ndio huyu macho kumchuzi ata muweza, thubutuu [emoji16]
Watching what [emoji23][emoji23][emoji23]Soon my friend, kuna kijigroup cha watu hapa bwana kime catch feeling kina relate na vitu vyao wanavyotaka!![emoji23][emoji23]
Afu ushamba nyie yaani unakuja pm unasema eti we are watching you carefully [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeee!!
Em tulieni bwana tusome tu!! [emoji23][emoji23]
Huyo mzee mnamtaja hapa kuwa na muonea na kumchafua hakuna mahala ametajwa!![emoji23][emoji23][emoji23]
Mahiga nae alifanyaje hadi wakina old CEO wamuue?Mr Stone was killed kila mtu anajua hilo
Aliuliwa picha Lilianza kwa mahiga
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Uko makini.(1). New CEO kaenda ziarani nje ya kampuni kupata briefing kutoka kwa kijana wake... around end of mwezi ''FEBRUARY 2022''.
(2). Wakati hayo yakiendelea huko Dubai, the Old CEO anasmell something fishy kuhusu 'excessive loyalty' ya new CEO kwake.
(3). The old CEO anaamua kumtafuta 'kijana' wake ili wamtafute Mwenyekiti wa Board amchokonoe new CEO deliberately in public ili old CEO agundue kitu fulani alichokuwa anakihisi kwa new CEO.
(4). Mara baada ya uchokonozi huo wa makusudi wa Board Chairman, the new CEO aka-react harshly, na instantly the board chairman akatumbuliwa kwa mwamvuli wa 'resignation'... tarehe ''6 JANUARY 2022''.
(5). Upon such harsh reaction ya new CEO towards the board chairman, the old CEO akaconclude kitu alichokuwa anakihisi kwa new CEO.
_____________________
The dates za matukio halisi hazi-correspond na mtiririko wa matukio kwenye hii hekaya ya yoga.
New CEO akaenda Dubai mwezi February 2022. Then akaja kumtumbua board chairman mwezi January 2022.
This narration is just selling some cheap smokes !!
Wrap it up guys. 😎
-Kaveli-
Code ipo uchi wa mnyamaKabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...