MR KUO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 2,678
- 3,818
Chachamengwe zakaleyo wangwewe.Dah hv huyo kijana WA Mr . New culture ambaye alimchallenge Sana Mr. New culture lkn Nia yake ikaishia kwenye graveyard NI Nani huyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chachamengwe zakaleyo wangwewe.Dah hv huyo kijana WA Mr . New culture ambaye alimchallenge Sana Mr. New culture lkn Nia yake ikaishia kwenye graveyard NI Nani huyo?
Hapo na mm kaniachia maswal sna alijuwaje kinachojadiliwa in private room ya CEO wkt Ni wawili tu walikuepoHuu Uzi mbona UNANICHANGANYA?mleta mada yanayoongelewa kila upande anayajua vizuri,Hadi yaliyoongelewa kwa Siri na Yule mwarabu wa Doha mleta mada anajua in details[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]mmmmh Hapana Kuna kitu hakiko sawa hapa......
Haitoi mionzi na sio radioactive materialHakuna antidote ya polonium mkuu, zaidi utapewa supportive therapy kama kutumia chelating agents na Gastric salvage kuiondoa mwilini na hapa itategemea umekula kiasi gani tofouti na hapo unakwenda na maji mapema.
Kumbuka inahusika na utoaji wa mionzi mikali ambayo huaribu seli za damu nyekundu na kuharibu kiwanda chake katika uboho (bone marrow) kupona huwa nj majaaliwa.
Hata ukipona hutokuwa na maisha marefu
Kwamba hao marais wanauwawa kwa kupewa chai na mgeni aliyeshuka na private jet na hajulikani. Na sumu iliyotiwa na kutumwa kwenye documents? Wanakufa ila hawafi kitoto hivi. Nilisoma sikumalizia kipande cha nne nikaishia hapo sijui wapi alisema ni fictionKwani maheads of states wanaouwawaga huwa hawana huo ulinzi mkali??
Ushakalili mkuu, hakuna sehem haina mapungufu ndgu yangu, wanaingilika tu na wataalam wa mambo.
Yote kwa yote mleta uzi kasema hii ni hadithi tu, soma kwa kujifurahisha usiingize mambo yako.
"Ruble" wanachukua? Au wanataka yuan tu. Ha ha haaha haa!Kuna apartments Morocco square zinauzwa Bei Chee, Kama huna uwezo wa kununua basi ww utakua punguani kusifia wanaccm
View attachment 2172031
Mueleze huo ulinzi mkali ndo wanautumia kuwamaliza.Kwani maheads of states wanaouwawaga huwa hawana huo ulinzi mkali??
Ushakalili mkuu, hakuna sehem haina mapungufu ndgu yangu, wanaingilika tu na wataalam wa mambo.
Yote kwa yote mleta uzi kasema hii ni hadithi tu, soma kwa kujifurahisha usiingize mambo yako.
Nb hii ni simulizi tu kama vitabu vingine vinavyosimuliaga story.Nakushukuru nimemaliza ila fasihi yako in fikirisha Sana naona sehemu kubwa kwa Kila tukio baya na ovu unamuhusisha Mr born town
Siyo kweli kbsa Mr old CEO hawe kuwa Kila kitu ktk campuni Kuna maeneo hayupo kbsa
Nikifikiaria Hadi kina kinana na makamba kwenda kuomba msamaha mbel ya bashiru na aliye ngatuka leo wakt katk sauti zile hata Mr old CEO hawEzi kukozekana kwaninn Mr old CEO hajawambia kuwa msiombe msamaha Wala kujutia makosa yenu nyie tulieni nitammaluzana na hyu new chief mpya kimya kimy
Mashak napata tu kuwa ukweli Ni mdgo sna kuliko uwongo wakufikirisha
Bila kusahau visesiliNgano na Vigano.
Bwege ni hizo ngogwe zako 2 pumbavu. Nenda chattle kaomboleze sasaSikiliza we bwege,huyo born town na yeye nyuma yake Kuna wanaomtuma yaani yeye ni msariti kwa taifa lake,watu wake na bara lake la africa.
Atakufa kifo kibaya tu subili
Una ujinga mwingi. Uliugua chango wewe si bure. Akili ziko makakioni. Kununua apartments ndo archievemt ya maisha? Wa wapi weweMm mpaka niwe level Kama yao ndio nisifie na ninunue huko.
Nilijua ww unavyosifia mpo level moja, sorry
Thank you. Well analysedNakushukuru nimemaliza ila fasihi yako in fikirisha Sana naona sehemu kubwa kwa Kila tukio baya na ovu unamuhusisha Mr born town
Siyo kweli kbsa Mr old CEO hawe kuwa Kila kitu ktk campuni Kuna maeneo hayupo kbsa
Nikifikiaria Hadi kina kinana na makamba kwenda kuomba msamaha mbel ya bashiru na aliye ngatuka leo wakt katk sauti zile hata Mr old CEO hawEzi kukozekana kwaninn Mr old CEO hajawambia kuwa msiombe msamaha Wala kujutia makosa yenu nyie tulieni nitammaluzana na hyu new chief mpya kimya kimy
Mashak napata tu kuwa ukweli Ni mdgo sna kuliko uwongo wakufikirisha
Waliitwa kwenye kamati ya maadili hawakwenda kuomba msamaha.Nakushukuru nimemaliza ila fasihi yako in fikirisha Sana naona sehemu kubwa kwa Kila tukio baya na ovu unamuhusisha Mr born town
Siyo kweli kbsa Mr old CEO hawe kuwa Kila kitu ktk campuni Kuna maeneo hayupo kbsa
Nikifikiaria Hadi kina kinana na makamba kwenda kuomba msamaha mbel ya bashiru na aliye ngatuka leo wakt katk sauti zile hata Mr old CEO hawEzi kukozekana kwaninn Mr old CEO hajawambia kuwa msiombe msamaha Wala kujutia makosa yenu nyie tulieni nitammaluzana na hyu new chief mpya kimya kimy
Mashak napata tu kuwa ukweli Ni mdgo sna kuliko uwongo wakufikirisha
Hawa ndezi wanaishi zama za Ki-Log 2014You will be supprised my dear!! And there is No connection at all!! Narudia, "at all"!!! [emoji9]
Nadhani hujaelewa mwandishi keshasema old CEO NI mtaalamu wa kukununulia hata maadui fek ukaamimi NI adui zako kumbe anakata Kona ndefu kabla ya kukufikiaNakushukuru nimemaliza ila fasihi yako in fikirisha Sana naona sehemu kubwa kwa Kila tukio baya na ovu unamuhusisha Mr born town
Siyo kweli kbsa Mr old CEO hawe kuwa Kila kitu ktk campuni Kuna maeneo hayupo kbsa
Nikifikiaria Hadi kina kinana na makamba kwenda kuomba msamaha mbel ya bashiru na aliye ngatuka leo wakt katk sauti zile hata Mr old CEO hawEzi kukozekana kwaninn Mr old CEO hajawambia kuwa msiombe msamaha Wala kujutia makosa yenu nyie tulieni nitammaluzana na hyu new chief mpya kimya kimy
Mashak napata tu kuwa ukweli Ni mdgo sna kuliko uwongo wakufikirisha
Dah!! Wewe utakuwa mlengwa si bure majibu haya.Bwege ni hizo ngogwe zako 2 pumbavu. Nenda chattle kaomboleze sasa
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app