Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigogo kwa sauti, ni Mwanaume. Je umewahi isikia sauti yake?, Kama bado hii hapa: https://www.jamiiforums.com/data/video/4670/4670851-f05b93b1920647348feb4eb8fad081fe.mp4Kigogo ni mwanamke
Labda tuseme hivi New CEO aliyepo sasa hivi, Late CEO anayembackup new CEO, grand Late CEO (R.I.P) halafu grand grand Late CEO (R.I.P) too ndiye aliyeanza kupumzika.Karudie kusoma hizo code za CEO zipo 3 unazichanganya.
Old CEO ndio ana hilo genge waliotambaa white house
Late CEO alishafukiwa udongoni aliwatimua wote kundi la Old CEO
New CEO ndio kawarudisha wote mabest wa Old CEO hata Jana swahiba wake Mkuu wa Old CEO kapewa shavu awe msaidizi wa New CEO kwenye club ya mpira
izidoliCode ambayo cjaipata hapa ni yule kijana wa old CEO aliyeamua kumgeuka na kuwa mshauri mkuu wa new CEO ni mhasibu mkuu aliyepo au? Na kijana aliyewekwa kizuizini baada ya late CEO ku RIP ni yule mwanaCUF wa zaman au yule uncle wa late CEO aliyekua cashier mkuu naombeni clue wadau twende sawa
Na mbinu hiyo ndiyo ilikua mtego mbaya kwa the late CEO,alipo relax watu wakafanya yao kwa amani na utulivu hadi wakammaliza kabisa!!Huenda ni mbinu tu ile ili aone yameisha na wanamuogopa
Taratibu boss huu ni mchezo tu wala hautaki hasira,kunywa maji kidogo ushushe pumzi! Mabeberu wametukamta pabaya kwa sababu ya wasaliti ambao ni ndg zetu pia!!Bwege ni hizo ngogwe zako 2 pumbavu. Nenda chattle kaomboleze sasa
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Playing dead is one of the technique that may earn you another day! (just jOking)kuliko uwongo wakufikirisha
yoga NI gwiji wa riwaya, fiction story km zile za James Hardly Chase au vile vitabu vya Misiba kanimaliza pale alipoingia jumba la pesa kumtafuta msaidizi wa CEO enzi ya The late alikuwa mshika noti. Jengo lift na walinzi liko vilevile kwenye hii story hata kiti alichokuja kalia jamaa na kugusa mpaka kaenda lazwa. Na kwa vile kabila lake msaidizi ni waoga hatimaye kamgeuka CEO na kutoa kumpa Old CEONajaribu kujiwazia kuwa wewe Yoga ni nani ktk hili sekeseke maana umeisimulia story yako kwa kukaa vyema kabisa juu ya kila nafsi iliyoshiriki. Who are you?
Kabisa, tena liambie litulie hilo dume.Taratibu boss huu ni mchezo tu wala hautaki hasira,kunywa maji kidogo ushushe pumzi! Mabeberu wametukamta pabaya kwa sababu ya wasaliti ambao ni ndg zetu pia!!
Si hawataki katiba mpya ndugu yangu? Wacha tuzidi kushikiwa chiniTaratibu boss huu ni mchezo tu wala hautaki hasira,kunywa maji kidogo ushushe pumzi! Mabeberu wametukamta pabaya kwa sababu ya wasaliti ambao ni ndg zetu pia!!