goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Yuko USA anakula per diem nzuriMtoa mada bado anatunga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko USA anakula per diem nzuriMtoa mada bado anatunga...
imeishia pale Branch Manager anambembeleza Late CEO ampe amjukumu ya kummaliza assistant wa Mr Culture, ndio kisa hasa ya kupewa ufupisho wa kiherehere cha Branch Manager kuwa karibu hivyo kutafuta ukuu
Huku Mama anaupiga mwingi, mambo mazuri majuu siku akirudi naona mwendelezo utaenda faster
Good afternoon sweetheart, welcome back[emoji13][emoji13][emoji13]
Lete basi madini hayo, si mmesharudi
Good afternoon
Utakula ulipopeleka mboga,kila mtu akila kwa urefu wa kamba yake kama tulivyosikia tukiruhusiwa,kuna wengine mtabaki mmesimama zilipofungwa kamba zenu,maana mna kamba fupi ,wengine ni ndefu na bado zinavutika.tukale wapi polisi au...km huwezi kupiga kaa/tulia ivoivo! ule za uso!! ..... na bado!! akija mwingine kaa jiwe safari ijayo tunapiga nyundo ya kichwa ana kaa chini japo ni vigumu kumpata tena Lugumya! mlipukaji km jiwe!
Unazingua wewe!hadi tukununulie ice cream ndio utupe!!?
Anazingua kwani unamlipa au...ukusoma thread ya nyuma???Unazingua wewe!hadi tukununulie ice cream ndio utupe!!?
wlcm back...na hbr ya swaum..!!
welcome back 💙.
hahhahahahahah, au a person very close to herHadi sometimes huwa nahisi Yoga ndio Current CEO, sababu akitulia story tunaiona, akiwa busy na Yoga kimya…..[emoji28][emoji28]