Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Labda nikusaidie kitu kimoja.
Uhai wa born town kuna mtu kaushikilia

Huyo mtu akiamua hata sasa hivi huyo mtu wako afe anakufa tu.

2026 mbali Sana,wakati hata mwezi ujao born town hawezi kutoboa.

Turudi kwa currently CEO.
umejitahidi kumpamba aonekane hana hatia, lakini mfikishie ujumbe, Makamba ndiye anaye muhujumu na yote hayo kwa sababu anataka KWA udi na uvumba kiti.

Na Ikiwa ataendelea kumkumbatia yule msambaa atapoteza KILA kitu.
Hizi ni akili za kuvaa ndomu za Mataga na Sukuma Gang, huyo mtu mbona hakuzuia Kayafa mungu mtu wenu asife? Born town yupo sana na ataendelea kuwapumulia visogoni nyie wafuga Ng'ombe wa Chato.
 
Labda nikusaidie kitu kimoja.
Uhai wa born town kuna mtu kaushikilia

Huyo mtu akiamua hata sasa hivi huyo mtu wako afe anakufa tu.

2026 mbali Sana,wakati hata mwezi ujao born town hawezi kutoboa.

Turudi kwa currently CEO.
umejitahidi kumpamba aonekane hana hatia, lakini mfikishie ujumbe, Makamba ndiye anaye muhujumu na yote hayo kwa sababu anataka KWA udi na uvumba kiti.

Na Ikiwa ataendelea kumkumbatia yule msambaa atapoteza KILA kitu.
Hizi ni akili za kuvaa ndomu za Mataga na Sukuma Gang, huyo mtu mbona hakuzuia Kayafa mungu mtu wenu asife? Born town yupo sana na ataendelea kuwapumulia visogoni nyie wafuga Ng'ombe wa Chato.
 
Kuna namna nyingi za kudeal naye ila kumuua haisaidii kabisa & I’m against hiyo move. Pamoja na machungu niliyonayo ya mr born town kumuua mtu wetu, kipenzi cha watanzania late CEO lakini kulipiza kwa kumuua yeye tunajiandalia taifa ya kuuana kama ilivyokuwa utawala wa roma na kwa huo uuani tutaandaa mfumo ambao siku ya kufeli nchi itabaki mikononi mwa mafia kama Italy ilivyo sasa kwa sababu tutafikia kuwa na vikundi ambavyo vitaamua nani vimuue ili fulani awe rais na hivyo vikundi vitajitwalia rasilimali. Tumuache kabia mr born town na asiguswe dhambi ya kushiriki kumuua late CEO iishie kwake tu. Please deep state walijue hili wasimuue mr born town wamuache kuepusha laana!
Tutolee upuuzi wako hapa, naye mr born town akakumbatie udongo, aone raha yake, tena yeye ndo udongo utakamata ile enyewe kea mwili woiiiiiih
 
Mngejua ukubwa wa engine ya KAMPUNI yetu ktk mambo hayo!!!!
Mkuu ukubwa huo unatokea wapi wakati kila siku tunaona nyuzi kuwa jamaa PAKA amepenyenya watu wake tena wapo sehemu nyeti na kila siku anapata taarifa ya hii kampuni kwa kadri anavyotaka hebu fafanua vzuri huo ukubwa maana sometime napata hasira sana nikpataga hiz habari kuhusu nyau.
 
Mi nadhani kumuua mr born town siyo suluhisho kabisa hata kidogo. Maana tunajitengenezea taifa lenye laana. Ni kama wao akina Mr born town walivyomuua late CEO. Nadhani system ni muhimu ziangalie namna ya kumtumia mr born town ktk maendeleo ya nchi maana bado tunamuhitaji, si mumeona leo timu ya wananchi tumewatandika 1 nunge vilaza simba hahahah (hapo nimechomekea mambo ya moyoni ya timu wananchi). Ila tuache utani mtindo wa kuuana ni mbaya sana ktk taifa lolote.
Kwa taifa hili hio michezo ilianzia toka zama za F.O.N aka Faza ov Ze Neshen!

Nae alikuwa na roho ya kigiriki akamshaya Soko Soko. Thats where the games began na vijana wake wakasandia formula.

Ilifikia turn yake nae akaendaa mamtoni wakamfix ikismekana ni master plan ya Nigga from Lupaso state. Mwisho akapigwa 6ft Booty Hammer mchezo ukaisha. Lupaso empire was into Regime ikafanya reforms ndio kutuletea Mr. born town by the End!

Born town kafyeka Lupaso Empire na Chattle Empire kabakia yeye kama Master of the Game now.
 
Kuna namna nyingi za kudeal naye ila kumuua haisaidii kabisa & I’m against hiyo move. Pamoja na machungu niliyonayo ya mr born town kumuua mtu wetu, kipenzi cha watanzania late CEO lakini kulipiza kwa kumuua yeye tunajiandalia taifa ya kuuana kama ilivyokuwa utawala wa roma na kwa huo uuani tutaandaa mfumo ambao siku ya kufeli nchi itabaki mikononi mwa mafia kama Italy ilivyo sasa kwa sababu tutafikia kuwa na vikundi ambavyo vitaamua nani vimuue ili fulani awe rais na hivyo vikundi vitajitwalia rasilimali. Tumuache kabia mr born town na asiguswe dhambi ya kushiriki kumuua late CEO iishie kwake tu. Please deep state walijue hili wasimuue mr born town wamuache kuepusha laana!
Mzee hii laana tayari inalitafuna Taifa letu fatilia Vifo vya Soko,Mchonga,Nche na Jiwe vyote ivo ni timing tu
Ila ni jambo jema sana wenye Rungu wakaona namna ya kumuacha born town afe natural death itasaidia kuheal taifa ila ikitokea nae akawa timed basi the trend will continue
 
lakini kwanini PK awe na access ndani ya system? hii kampuni yetu iko mateka

na born town akiondoka ndo basi tena tumeisha hakuna mtu mwngne mwenye akili aliyebaki nchii hii zaidi ya born town

Huu ndiyo ukweli wenyewe,hakuna mtu smart kwa Sasa ndani ya KAMPUNI wa kumuweza PAKA zaidi ya MR BON TOWN,akifa Mr Born Town Nchi itakuwa rasmi koloni la PK.
 
Back
Top Bottom