Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Mistake iliyofanyika tena kubwa ni kuruhusu paka kuwa na intruders kwenye kampuni, the late ceo alizingua sana kuleta mamluki na kuruhusu paka kuwa na access na kampuni.

Sioni the new ceo akiwa na intelijensia ya kumlaza chini Mr born town, hata kwa msaada wa paka itakuwa ngumu sana


Mr born town alimlaza ceo wa lupaso, then akasafisha safu nzima ya juu ya the late ceo, hashindwi kumlaza the new ceo.

Ila sikuwahi kuwaza kuwa the new ce anawaza kumsepesha Mr born town, mbona sioni walipokosana!
Hizi ni story hakuna kitu kama hicho, ukifuatilia ni story za kuungaunga tu.
 
Wengi sana hawaijui Nchi Yao, IPO haja mitaala yetu yarudishwe masomo ya kuimarisha uzalendo.

Hawaijui Nchi hii vizuri, Juzi tu ndo wengine wamekuja jua hata Putin aliishi hapa kwetu kujiimarisha kimafunzo na kushare ideas.
Yaani ni mambo ya kushangaza, ninadhani kuna mahali kama Taifa tulipotezea baadhi ya vitu kumbe ni vitu vya muhimu sana.Huwa ninapenda kushauri somo la Uzalendo kwenye mitaala yetu ni la muhimu sana.

Zamani alivyokuwa akija mgeni kijijini/mtaani kwenu/kwetu, lazima balozi ajue na watu wamjue ametokea wapi, anafanya nini, atakaa kwa muda gani hapo. Lakini siku hizi hii haipo. Naomba irudishwe kwa kweli.

Wajumbe/mabalozi ni watu wa muhimu sana,ikibidi wawe wanapewa posho za kujikimu kimaisha wanawajua watu wao kwa ukaribu sana..

Kuna siku alikuja mgeni nyumbani kwetu kijijini eti ni chizi, amevaa malapa, ana daftari na kalamu kwenye mfuko, amevaa shati la mikono mirefu na suruali ya kitambaa kijani kibichi.

Akakaa vizuri tu,nilivyouliza nikaambiwa amekuja kuomba hifadhi na msaada wa chakula. Nilivyomtazama vizuri miguuni na nywele zake, nikatoka nje nikisema huyu siyo chizi, chizi gani yuko...halafu lafudhi si ya mtanzania. Hapa nilikuwa darasa la 4 zamani kidogo.

Unajua alichokifanya, alikimbia mbio nilivyojaribu kumfuatilia sikumuona alipotelea vichakani. What if I shouldn't take my curiosity what would happen to us.?
 
Kila KAMPUNI duniani lazima iwe na watu wao kuleta taarifa, KAZI Yao ni taarifa tu, taarifa hizo ni kusaidia wakati wa vita nk.

Nchi hii Iko mbali zaidi ya hapo, inahusika Hadi kuweka ma CEO ktk KAMPUNI nyingi tu Afrika.

Huyo paka ni Mwizi tu, pale Kwa m7 na cngo wanaenda kuiba Kwa kupata msaada wa KAMPUNI za nje na kugawana nao na kubadilishana technology.

Matendo wafanyayo yanajulikana na hayajavuka limits za kiusalama kuwa threat Kwa KAMPUNI yetu.

Hujawahi kujiuliza kwann KAMPUNI yetu inaweka CEO KAMPUNI ingine na haijihusishi kuiba raslimali za huko kama PAKA afanyavyo na kuleta hapa kutatua matatizo ya umaskini wa watu wa kwetu?

Nchi hii ni Police wa Africa nzima kuhakikisha amani inatawala. Kuna muda huyo PAKA alivuka limits pale cngo, anapewa silaha nzito bt alipigwa kama mtoto wanaume waliingia Hadi chumbani kwake na akapewa onyo.

Paka ni mtoto mdogo sana kwetu tukiamua hata kesho tunaweka mtu wetu, Afrika nzima Kwa masuala ya ulinzi na USALAMA yanaanzia na kuthibitishwa hapa.

Nchi hii tuna UPENDO Kwa wengine hatuna TAMAA na ndio chanzo Cha AMANI uionayo. Niamini Nchi hii ni zaidi ya uijuavyo. Mungu wa Mbinguni anapaangalia hapa ndomana viongozi wafanyapo mabaya tunasema tu na mabadiliko yanafanyika Si kama pengine Hadi maandamano na kumwaga Damu.
Maskini ya Mungu

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Ninaweza kukubaliana na wewe kwa baadhi ya mambo ambayo majeshi yetu huyafanya pasipo watu wengine kujua. Tanzania imefanya operations nyingi sana na zenye mafanikio makubwa. Hata hili la kumuonyesha bwana Paka ni mjanja wa Intelijiensia lina sababu zake na kwa maksudi maalumu.

Kipindi kile cha 2014 alivyojifanya kwamba anaweza kuipiga kampuni yetu, watu wetu wa kazi waliweka mitambo kwenye kakichuguu na wakawa wanaichungulia kampuni yake.

Wakati anawaza kuipiga kampuni yetu tayari vijana wetu wa kazi walishahamisha baadhi ya watu wetu na kutengeneza shelters ili akirusha tu hakuna raia hata mmoja, sasa ushangae kule kwake hakuwa amejipanga hivyo, so angeleta madhara makubwa kwa wananchi wake na kampuni yake.

But thanks God alipigwa kwa diplomasia tu.Jamani fuatilieni historia ya nchi yetu, ni nzuri sana n ya kusimumua, ukiijua mtu hawezi kukudanganya kwamba tu dhaifu. Tuko imara sana.

Kitu kingine ambacho hakujua alidhani infos alizonazo zimemtosha kuijua kampuni yetu, kumbe hakuwa anajua kama alivyojiaminisha, alijua vichache huku vijana wa kampuni yetu wakijua mengi ya kwake.

Kampuni yetu siyo hivyo jinsi ilivyo madhaifu yetu ya ndani haina maana kwamba hata huko nje ndivyo tulivyo. Siyo kila mlevi amelewa. Mambo mengi huachwa hivyo hivyo kwa maksudi.

Kule porini kuna mambo nyinyi acheni kabisa, mmewahi kusikia pango la wanyang'anyi ambalo lilikuwa likifanya uharamia? Linavamia watu linaiba mbuzi,ng'ombe, kuku, bata mpaka nafaka kisha wanatumwa wazawa kwenda kusaga halafu wanawapelekea kwa kuogopa kuuawa?

Hili genge lilijiona untouchable wakati huo, walikuwa ni wengi kama kijiji, kuna wake, watoto na watu wengine kibao wanaoshirikiana nao, mnajua walifanywa nini?

Saa 2 za usiku ,walijikuta wamefukiwa pasipo kusema hata kwaheri, na mnajua kwanini ilikuwa ni saa 2 za usiku? Kwasababu ulikuwa muda wa msosi wa usiku wamekusanyika pamoja.

Kisa kingine huko huko,majambazi yalikuwa yamejificha porini na yameleta usumbufu mkubwa sana, kila yakitafutwa hayaonekani lakini utekaji unaendelea.

Akatumwa Komandoo mmoja kutoka JWTZ wakamdrop porini akaanza kuwatafuta, ghafla hawa hapa, akawasoma na kujua idadi yao, nao bwana vile vile wanaota moto wamejikusanya. Alipiga risasi moja kwenye ule moto si mnajua baruti na moto. It was the end.

Watanzania wenzangu JWTZ, TISS na POLISI ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ambavyo viko imara sana hizi changamoto za ndani zisitufanye tukose navyo amani, vinafanya kazi nzuri sana ila kwa kuwa hazitangazwi si rahisi kujulikana. (Hawa wachache wanaoharibu ndio waondolewe)

Mambo yao ni mengi hapa nimeandika kwa ufupi tu. Kama nilivyosema huyu mtu huenda anapaishwa tu lakini kwamba ana nguvu kiasi cha kutupangia cha kufanya sidhani kwa jinsi ninavyoijua na ninavyoielewa nchi yetu kwa historia yake.
Risasi moja kwenye moto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] INASIKITISHA SAANA

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Kabisa mkuu. Pombe si chai kwa raia ila kwa makamanda wetu ni maji yenye harufu tu, shida ya vijana wetu hawajui haya mambo.

Kuna siku ka kampuni fulani kakatangaza eti kataipiga Kampuni yetu kakaelekeza vifaru John na Rajabu vikiwa vingi kuelekea uwanjani mwa kampuni yetu.

Bwana bwana haijulikani ni muda gani mashimo yakafunguka mchwa ukatoka juu, jioni tarumbeta la parapanda likalia, tukaona malaika wanashuka kutoka mjini wakielekea makao makuu wamebeba nguo,viatu, mikanda begani, wengine wako peku, malapa, mwenye pensi, kifua wazi hao mbiooo.

Muda si mrefu msafara wa bibi harusi umefunikwa maua ya miti unaelekea kwenye sherehe tunauliza bibi harusi yuko wapi hatujibiwi ni kimya kimya tu,hakuna nyimbo wala chereko, kimya kimya tu.

Muda mfupi wakafika kwenye mstari, wakamwambia jirani, ebu washa dish lako uone uwanjani kwetu karibu na kwako kuna nini, eheee! Kihoro mtu kimempata,akaulizwa umeona siyo.Kwa upole Ndiyo akajibu.

Akaambiwa chagua moja, ubadili uelekeo uelekeze kwako na kuondoka au kampuni yako ndani ya saa 24 iwe imefutika. Dakika sifuri akakubali sharti la kwanza.

Baada ya hapo harusi ikaisha, wakarudi nyumbani, cha kushangaza yale yale mashimo yaliyokuwa yamewaficha akina faru John na Rajabu hatukuyaona yakifunguka ili yawarudishe tena,na hatukujua yamerudije. Unaweza kuona umakini huo wa hali ya juu ulivyofanyika.

Unaweza kusema hawa mabaka mabaka hamna kitu nilimzingua au niliwazingua lakini ili ujue kazi yao vizuri nenda kwenye medani zao ndipo utajua unaweza kumzingua au lah. Mmoja mmoja unaweza ili kiujumla wako vizuri sana.Nawapa salute popote mlipo. Kanuni yenu ya kujitoa roho kwa ajili ya nchi haiwezi kulipwa kwa mshahara tu bali kuheshimu uzalendo wenu kwa mapenzi ya nchi yetu na mipaka yake.

Hii ni story nilisimuliwa na nilivyododosa nikaambiwa ni kweli zaidi ya mtu 1,napenda kujua historia ya nchi yangu ndio maana nashare na wenzangu japo kiduchu. Huwa najisikia vibaya ninapoona mtu anaipondea serikali yetu na kusema haijui na haijawahi kufanya kitu wakati imefanya mambo mengi yaliyotukuka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

wa kupuliza unapitwa huku

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Yaani ni mambo ya kushangaza, ninadhani kuna mahali kama Taifa tulipotezea baadhi ya vitu kumbe ni vitu vya muhimu sana.Huwa ninapenda kushauri somo la Uzalendo kwenye mitaala yetu ni la muhimu sana.

Zamani alivyokuwa akija mgeni kijijini/mtaani kwenu/kwetu, lazima balozi ajue na watu wamjue ametokea wapi, anafanya nini, atakaa kwa muda gani hapo. Lakini siku hizi hii haipo. Naomba irudishwe kwa kweli.

Wajumbe/mabalozi ni watu wa muhimu sana,ikibidi wawe wanapewa posho za kujikimu kimaisha wanawajua watu wao kwa ukaribu sana..

Kuna siku alikuja mgeni nyumbani kwetu kijijini eti ni chizi, amevaa malapa, ana daftari na kalamu kwenye mfuko, amevaa shati la mikono mirefu na suruali ya kitambaa kijani kibichi.

Akakaa vizuri tu,nilivyouliza nikaambiwa amekuja kuomba hifadhi na msaada wa chakula. Nilivyomtazama vizuri miguuni na nywele zake, nikatoka nje nikisema huyu siyo chizi, chizi gani yuko...halafu lafudhi si ya mtanzania. Hapa nilikuwa darasa la 4 zamani kidogo.

Unajua alichokifanya, alikimbia mbio nilivyojaribu kumfuatilia sikumuona alipotelea vichakani. What if I shouldn't take my curiosity what would happen to us.?
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umbea wa kiswahili ndo mtamuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha kitu.Kuna sehemu tulienda na wife,sasa wanawake wenzake wakawa wanamtenga kwenye story zao nikawauliza vipi mbona mwenzenu mmemuweka pembeni, wakasema unajua mwenzio hajui kilugha sasa umbea kwa kiswahili haunogi, so naunganisha na msemo wako.[emoji846][emoji846]
 
Baada ya kifo cha lete CEO na mr bown town kuona vidole vyote ananyooshewa yeye akaamua kujisafisha kijanja kwa KUAMUA KUJIFANYA ETI ANAWINDWA MPAKA NA PK(baada ya kuona watanzania wengi wenye akili finyu hawampendi pk)

Najua baada ya kipande cha leo watu wengu wataanza kumuona Bown town kama mkombozi wao eti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji4][emoji4]

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Risasi moja kwenye moto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] INASIKITISHA SAANA

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Wewe ninajua unataka niongee sana.Alivyopiga ile risasi ulitokea mlipuko wakatahayarika wasijue wafanye nini akawashoot mmoja mmoja. Umeelewa sasa nilichokimaanisha. Wakati mwingine mtu akiongea kitu soma mistari 2 yenye ujumbe nyingine ni kunogesha stori tu.

Hapa ndio ninaishia kama utataka nyongeza sina zaidi siwezi kukuongopea, ila kama usipoamini soma na kuacha kama ilivyo tangu mwanzo ni mwendo wa hadithi, siyo kila hadithi inaleta picha ya uhalisia uitakayo wewe.
 
Back
Top Bottom