Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Hakuna kitu kigumu watu wakiamua kwani huyo borntown ni binadamu kama binadamu wengine atapotea tu.he is not so special.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app

Born town ndio nani na kosa lake ni nini mpaka apotee...

the dark is dark, you cant see when you are out...

kheri for kheri, shari for shari...

your line is your boundary, somebody crossed and crossed, again and again ooooh this is kheri sio.....no there is triger to pull, missed several times there is a day will get you....you have to solve the Intergral before the story.
 
playing chess, need competent head.

there is dark outside the dark, getting into the dark, the password is you...

hahahhahaha the young Cardinal resign? and the young Papa elected in rome?... this is not the history of Catho.. the Catho is for Catho..... crossing the line, you will be the password..
the saga continue...
 
Mkuu
Ujue Kati Kati ya makelele meengi Huwa kuna ishu mtambuka Huwa zinachezwa Sana na wenye nchi yao

Mara katiba mpya,mara ngoro ngoro operation kutangazwa RASMI,mara kesi kutupiliwa Mbali ya kina mdee !!mara cdf anaeaga akiongea huku na kule!!!

Mambo ni meengi Sana!!
mkuu nakuelewa vzr
 
ukijua yalipoanzia kuanzia pale yalipoanzia mpaka kijijini ile siku...basi huwezi kumlaumu mtu....sidhani kama kuna mtu anapaswa kufa na kuna mtu ana haki ya kuishi....wote tuna haki ya kuishi au sio.....ukweli uko gizani..

mamlaka ya gizani, iko gizani na kamwe haiwezi kuonekana... kuna wanaoishi gizani tu, wapo wa mwangani tu, wapo waliopewa kibali chagizani na mwangani....
Wasiojua gizani ni wapi walijaribu kuunda giza nje ya giza wakiamini wao ndio giza....waliogizani wanaowaona huko huko kwenye giza lao bila wao kujua kuna giza lingine.....
 
Born town ndio nani na kosa lake ni nini mpaka apotee...

the dark is dark, you cant see when you are out...

kheri for kheri, shari for shari...

your line is your boundary, somebody crossed and crossed, again and again ooooh this is kheri sio.....no there is triger to pull, missed several times there is a day will get you....you have to solve the Intergral before the story.
Kwa sababu huyo Born town anatumia kampuni Kwa maslahi yake na inasemekana anahusika kupotea Kwa late CEO.yaani anahakikisha kwamba CEO aliyeko madarakani anaongoza Kwa ridhaa yake Sasa watu wengine kwenye kampuni wameamua kuwa he should now step down yaani ni mstaafu asiyetaka kustaafu.sasa hao watu wanataka CEO ajaye aongoze kampuni Kwa maslahi ya wenye kampuni pasipo kubughudhiwa.wameamua na wanatekeleza.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
bosi wa vibwengo anareport angani yes ndio hewani , na hajui kama anareport tena daily...bosi wa vibwengo ananguvu na mamlaka on his maths.... who is on check and balance....?
Before God nguvu za Giza is totally nothing ni kujilisha upepo.hii kampuni ni kampuni ya Mungu.Mungu atawandoa wadhalimu wote.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Katika hilo hata mimi pia nakubaliana na wewe, pengine hata jina hili la YOGA ni "acronym" ya majina fulani. Tukubali tu ya kwamba katika hii ni tamthiliya ndani yake imeshadadiwa na kushereheshwa na matukio fulani ambayo unaweza kusema kuwa baadhi yake yamewahi kutokea na kuwagusa moja kwa moja wahusika fulani halisi.

Kutokana na hizo "matching concepts" ni dhahiri kwamba uzi huu unafuatiliwa kwa ukaribu na umakini mkubwa sana na makundi ya wale ambao uhusika wao unafanana na watu fulani wenye hulka, haiba, tabia na matendo ya born town, Mkuu, late CEO and the likes.
Unaweza kudhani kuwa yoga yupo upande wa jiwe, lkn pia waweza kuhisi yupo upande wa godfather, kama vile amedhamiria kutuburudisha waweza dhani pia yupo upande wa current CEO nk.

Ila ukisoma kiundani utagundua kuwa huyu yoga hayupo popote ila anaufahamu mwingi wa mambo yaliyopita, na kwa sababu hiyo anatuburudisha na hii hekaya kwa kupiga kote kote yaani namfananisha na "shetani aliyeokoka" awajuaye waovu wote ndani ya kampuni.

Tunakumbushana ni hekaya tu wala haina ukweli wowote (kwa mujibu wa yoga)
 
ukijua yalipoanzia kuanzia pale yalipoanzia mpaka kijijini ile siku...basi huwezi kumlaumu mtu....sidhani kama kuna mtu anapaswa kufa na kuna mtu ana haki ya kuishi....wote tuna haki ya kuishi au sio.....ukweli uko gizani..

mamlaka ya gizani, iko gizani na kamwe haiwezi kuonekana... kuna wanaoishi gizani tu, wapo wa mwangani tu, wapo waliopewa kibali chagizani na mwangani....
Wasiojua gizani ni wapi walijaribu kuunda giza nje ya giza wakiamini wao ndio giza....waliogizani wanaowaona huko huko kwenye giza lao bila wao kujua kuna giza lingine.....
Kwahyo borntown anakuwa assured ulinzi wake na power kwa prince of the world..!??(beelzebub)
 
Kama late CEO alishindwa ye ni Nani!!?
Who is on top!? Naona giza tu ni system gani hiyo isiyogusika? Ni born town? Ninavyojua manyota ana team inamuamini na kumtii, akisema akinukishe hawatampinga yaani anweza kuasi Kwa kuingia msituni na vikosi kadhaa vinavyomuamini then anakinukisha! Au kampuni yetu ina mifumo ambayo haimpi mwanya mkuu Manyota kufanya hivyo? Au ni ustaarabu wake tu! Au, au au au au........
Nitarudi
 
Mkuu
Ujue Kati Kati ya makelele meengi Huwa kuna ishu mtambuka Huwa zinachezwa Sana na wenye nchi yao

Mara katiba mpya,mara ngoro ngoro operation kutangazwa RASMI,mara kesi kutupiliwa Mbali ya kina mdee !!mara cdf anaeaga akiongea huku na kule!!!

Mambo ni meengi Sana!!
So, tunazugwa! Watoto tu concentrate na hizo movie zao then wao wanafanya yao... Hao wanatumika kutuzuga kama huyo anaeaga kila kambi huwa wanajua wanafanya hivyo ili kupisha mishe fulani ichezwe au nao pia kama sisi (au hata sisi tunanafuu maana tunajua tunazugwa [emoji3])
 
I have plan for 2025!

But first we need our returns!! We have lost a lot of money becouse of late CEO! .....

Sawa mzee basi tutaonana!......

New CEO received a note! There is this mzee (minister) in the next wing wants to see you before group general meetings! He says its urgent!

New CEO baada ya kuona jina la mzee, she said okey prepare the meeting i need to hear what he has to say!

So mzee was told, new CEO has agreed to meet him At company general meetings and he was told when and how he will meet the CEO. Alisisitiziwa tu ahakikishe anakuwepo kwenye hiyo meeting!!

Mzee said okey and waited for that day! So the day came new CEO traveled to new company head quators for the general meeting! After breakfast Mzee was told to come and meet new CEO it was a very secret meeting! Unnoticed one!
The meeting was done in a very secret place untrecable!

Karibu mzee! Naona umenitafuta sana!

Yes mwanangu nimekutafuta, and without kupoteza muda Kuna mambo very sensitive nahitaji tuyazungumze! Na hayo nayazungumza kama mimi sio cheo ulichonipa!

Okey! Nambie!

First you should know i know everything that happend last year! I know everything since i am among those who coordinated the plan!

Your in that position today becouse of us!

New CEO akabaki kama anashangaaa! mzee hakuwa na kona kona he was straight foward and very sereous!!

Now nimekuja hapa becouse kuna vitu haviko sawa in this company And ni muda sasa i and others, we want viwe sawa sawa! And it is you whom will make them sawa!!

New CEO akauliza vitugani and HOW?

Listen, tunajua ulitaka kumtoa out of the system mr born town! But this man is smart na anawatu every coner! Including me and others! You cant just get him out of the system with the same people in the system whom adore him and they under his payrole!


Na tunajua nikweli unataka kuendela kuwa CEO of this company until 2030! Tunajua sababu mimi na wenzangu ndio tumekuinvestigate wewe since the first day unakalia icho kiti,

Hata kijana uliyekuwa unamtumia mwanzoni kuimplent plan yako aliyemkamata na kumhoji na kukusanya all info ni mimi even before born town hajaja hapa kwako kuku tisha! Sisi tunajua kiwa Your suporse to be in power up to 2025!! And still that is a plan hakuna kilicho badilika

I know mr born town alikuja hapa akakupa every thing ulifanyia behind the scene! Najua alikutisha sana, And promissed you that kama utafollow his leads you will be in power till 2030, he was lying! I am the one who collected every info in your office!

Hata mazungumzo mliyo yafanya that day mie ninayo yote!! Kila unachokifanya hapa au mjini mimi ninacho! Na lazima born town akipate anakipata kile ambacho mimi nimekisikiliza kwanza kisha na mpatia!!

Unawasaidiz wako wawili hapa acha huyo anaekaa nyuma yako huyo ana note kila unachofanya nakutoa report kwa kijana wangu then inakwenda kwa born town! Tunajua unakula nini kila siku, tunajua unaongea nani kila siku! Hata hii meeting nimeischedule mwenyewe vijana wanaagaika kujua unaongea nani humu ndani saiz waandae report iende kwa mr born town!!

Hapa ninapo zungumza nina acces ya what will happen to you in 2024 sito kuambia leo ! But you have to listen! I am here to help you takedown mr born town!


CEO akawa kama anatetemeka hivi baada ya maelezo hayo mazito toka kwa mzee!

Sawa mzee umekuwa open sana! Kwanza nikushukuru kwakweli, sikuwahi fikiria how powerful you are and sikuwahi kujua how deep your envolved in this company!

ila sasa i have made my decition, i will be the CEO of this company under mr bornntown's leadership! i dont want to mess with that guy any more! If he doesnt want me to be in power as CEO i will step down!! Thats all! Staki ugomvi na huyu mtu!

Okey! Nimekuelewa! Ila unahitaji kulitafakari jibu lako tena, let me ask you!! What if the plan is worse than to take you down from being the CEO? wewe si umefanya kazi na born town? Ujui kuwa huwa kinyongo chake hakiishi? He can smile at you but once you did him dirty he will twice dirty you?

Wewe ulienda msiliba kwa outside investors, and some wamepull out their investment from him! Wako dilema waitng for your next move! Do you know how much amepata loss? Dou you know how much he hates you for that?

Wewe umeappoint baadhi ya watu kwenye office nyeti whom he didnt tell you to do! Unajua ninamna gani amegadhabika??


Trust me! Kuendelea kumsikiliza na kufikiri kuwa mko sawa na ameshakusamehe ni ujinga uliokithiri!! wake up! Your in his trap! Am here niko kwenye cycle yake! I know what he wants from you, when and how!

Na leo hii atakupa jina la mzee tembo Kuwa assistant wako upande wa board! Anataka a close eye on you! Jina utaletewa muda sio mrefu! After this meeting! Kama tutamuacha atambe hivi its wrong. You have the power to do something why unaogopa?? Once and for all let us remember you for taking him down and make the company free!

Sawa mzee nimeelewa but let me ask you this question! Unataka kunisaidia kwenye hili but what will you get in return?

mzee aka mtazama CEO kama sekunde kama 10 hiv kisha akafunguka! I dont want money or anything! I have been in this position since 19s, What i want, is him to rest in hell but i want also you to promise me that after you in 2030, not his son or mr february will be given even a sportlight to become CEO, i want them to never become leaders of this company! Am saying this since this is a war! I will make you the winner but i might not survive this! Am old enough to leave a legacy that will benefit our next generation and not some group of bandits

New CEO akauliza tena, How am i going to do that, when you have said kuwa they are every were! And most of my servant are in his payrole! How mzee? And why will you not survive, if you cant survive how will i survive !

Listen!! I have been in this system for a long time! I, my self also made him who he is today, i know him! Me and my team can coordinate this war very smart! We have a plan, a smart one! We can take him down under a condition of me not surviving the war! Just say your ready and we will initiate it!

Okey!! Mzee naomba unipate muda nitafakari! Then nitakujulisha na asante kwa ushirikiano wako! Mzee akanyanyuka akatoka zake chap and went off his house!!

New CEO akawa kabaki kwanza pale ndani kama haamini alichokisikia!! Msaidizi wake mmoja akaingia na bahasha akamwambia, boss kuna bahasha yako hapa! New CEO akafungua kuisoma akakutana na jina la mzee tembo, kama alivyo kuwa keshapewa hint!! She smailed!!

Mzee alifika kwake then akaenda moja kwamoja kwa ofice yake yaani Home office! akafungua droo ndogo ya meza ya mkono wake wa kushoto! Akatoa simu ndogo aina ya nokia ya batan! Akaifungua nyuma akatoa betri kisha akachukua line kwenye moja ya droo nyingine akaiweka kwenye simu na kuiwasha simu! Akaandika namba flan hivi kisha akapiga! Simu ikwa inaita .....


Unknown: Hellow!

Tanzanite: Tanzanite speaking!

Unknown:Yes tanzanite!

Tanzanite: The facillitator has all the info now, waiting for activation!

Unknown: Good!! Very good!! Did she understand you?

Tanzanite: Yes! She did!

Unknown: Good! Thanks for an update, still am in hospital

Tanzanite: Thanks na ugua pole!!


Mzee akakata simu! It wasa avery short call!

then akaizima simu kisha akachomoa ile line na akatoka mpaka nje ambako kulikuwa na public toilets!! Katupa zile line nasimu then akaflash! Akatoka zake nje!!

*****************************************************

New CEO alirudi kwenye general meeting nikama kukamilisha tu maelekezo but she was not there! She was thinking of what mzee told her! She was worried that labda mzee katumwa na mr born town kuja kumchunguza tena, she didnt know what to do at that point. Haswa akikumbuka maneno na sura ya born town "are you in war with me"

Baada ya meeting, taarifa zilianza kuvuja kuwa mr born town is running the show, new CEO hana analofanya bila kumhusisha born town! some company members wengi wao hawakupenda but they were woried about ugali wao na sio maslahi ya kampuni!

So kundi hilo likaitisha kikao behind the scene kujadili kwanza why new CEO anataka awepo mpaka 2030! Kundi hilo halitaki kabisa kusikia hiyo habari, Lakini pia kampuni nikama haileweki! Imekopa sana hela kutanua uwekezaji lakini uwekezaji ni hewa, bidhaa za kampuni haziuziki, nighali kwa customer na hakuna a well planned recover mode kufanya kampuni iwe strong!!

Maisha ya watumishi na wana wa kampuni yanazidi kuwa magumu, they cant afford three meals per day! Na CEO wala hana time na izo ishu, she is buzy rebranding company name bila kuzingatia hali halisi ya kampuni!!

Lakini pia walijadilli why born town a retired CEO analazimisha kuendelea kuwa kwenye system!! Who is he!! Kwanini ataki kustaafu kama wengine??

Kundi hili likakutana na kundi la team late CEO, shida ikawa wanaagenda moja, lakini wanatofautiana nani awe CEO, agenda yao ni kumg'oa born town na new CEO in 2025, sasa linapokuja suala nani awe CEO mwaka huo shida ndio inakuwa kubwa, kila kundi lina mtu wake!!

So wakakubaliana kuwa suala la who is goin to be CEO waliache kwanza, ila kumtoa new CEO 2025 na born town ndio iwe kipaombele!

They came with a plan! Moja nikuunda a new group under the name of late CEO, hii group ipambane kuchukua u CEO wakampuni in 2025 na group hii itapambana na na mr new culture group na hii group ya new CEO mr born town group ambayo ndio alikuwa late CEO

Group hii itatembelea properganda za late CEO, Maana alifanikiwa kuwakamata customers kibao kwa properganda zake haswa wale aliotokanao ukanda mmoja!

Upande mwingine wa muungano wao wabaki ndani ya born town grop nakuanzisha kampeni ya kuonyesha uovu wa group kwenye kuiendesha kampuni! Baadhi ya members wakachaguliwa kuwa front liners! Kazi yao ni kufanya profile demage ya company leaders ambao wako infavour of mr born town na sio maslahi ya kampuni!

Hawa walijiapisha hata kama wasipopewa urepresentative tena 2025 kupitia group hiyo ya born town haina shida ila kufikia huo mwaka, jambo lao lazima liwe limekamilika! Na wakinyimwa watakwenda kwenye group walio anzisha tayari three years before 2025 CEO elections!!

Born town alipata taarifa hiz, his enemy walikuwa wanaongezeka kila siku! Badala ya kupungua!! So alikua na mambo mawili moja ni ku msimamia new CEO atimize mambo yake and at the same time alipaswa a deal na hili group!!

So Sababu ya connection na resorces alizonazo it was not that difficult for him to control both groups but what he didnt know...

mzee, a close frind to him!! A person whom made him who he is to day!! A person amemsaidia kwenye kumuondoa late CEO, aperson who is running the show behind the scene had a plan for him!!

And the plan is to ensure he is gone gone! Yaani gone kabisaaaa!

So who is mzee and Why mzee is mad at born town?? Who is unknown?? Why is mzee reporting to unknown????

[emoji26]From dark days....... And now Road to 2025!!


Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Nawasaidia hii code ya Mzee aliyemmentor Mr. Born town ni Mzee kiutoka Visiwa vya UK na aliwahi kuwa Sabufa katika idara za Kampuni
 
Nawasaidia hii code ya Mzee aliyemmentor Mr. Born town ni Mzee kiutoka Visiwa vya UK na aliwahi kuwa Sabufa katika idara za Kampuni
Huyo unayemtaja sijui katoka visiwa vya UK hana ofisi hapo kwa current CEO, huyo mzee anayetajwa na yoga ofisi yake ipo hapo hapo kwa current CEO.

Jiongeze bwashee hujafungua code ya Mzee 😁
 
Back
Top Bottom