Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna majungu hapa bali tunapeana ukweli, huyo ni bishop akiwa church Ila akiingia kawe vijiweni anakuwa ustaadhi Rashid, akienda nightclub anagegeda makahaba huko, sasa huyu sio mchawi kweli?Acha majungu ndugu mlokole
Sasa umesema anaeandaliwa Je? Anaandaliwa na nani?Zipo, Kuna mtu anaeandaliwa, Hana backup ya pesa za wazazi, hatoki ukoo wa Watawala, ana maono juu ya nchi. Huyo ndiye.
CATASTROPHY tunazopitia kama Nchi ndo zitamleta akalie kiti.
Anatunzwa Kwa MATUMIZI ya BAADAYE muda ukiwadia.
Amen.
Kuchafuana hukoHakuna majungu hapa bali tunapeana ukweli, huyo ni bishop akiwa church Ila akiingia kawe vijiweni anakuwa ustaadhi Rashid, akienda nightclub anagegeda makahaba huko, sasa huyu sio mchawi kweli?
Aliwasamehe? Thubutuuuu.... Alipambana nao akachemkaNikimfikiria the new boss Huwa nawaza mengi sana.Kuna kauli ya watu flani wanasema ...Rise up and kill them first.... labda angeitumia angeepusha collateral damage iliofuatana na kuhalalisha mauaji yake..Alisikia watu wakipanga kumuua lakini akawasamehe. Hiki ndio nakichukikia kwa viongozi wengi wa kiafrika wenye mawazo ya kizalendo.Nabaki najiuliza why they are so clueless?
Hata wachawi wa farao nao walifanya miujiza kwa kutengeneza nyoka kisanii mbele ya nabii Mussa , so bishop wako anaweza rudisha misukule kisanii ili kunogesha uchawi wake aendelee kupiga hela.Mkuu
Mchawi gani anaerudisha misukule!!?
Tuheshimu kazi yake ni kubwa mno!!
Kwanini usiimbe hivi;-
"Mzee WARIOBA arudishwe KWENYE kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
Tulia follower wa bishop ustaadhi mgegedaji wa kondoo.Kuchafuana huko
Yatosha kujua anaandaliwa.Sasa umesema anaeandaliwa Je? Anaandaliwa na nani?
System au?
Bas sawa.Nipo huku tokea mwanzo mwa uzi.
😁😁😁😁 mpasue akamalizie nyumba yake kibamba hukoTulia follower wa bishop ustaadhi mgegedaji wa kondoo.
Hahaaaa, akiwa bungeni anakuwa mbunge, akiingia...... Anakuwa.....,...Hakuna majungu hapa bali tunapeana ukweli, huyo ni bishop akiwa church Ila akiingia kawe vijiweni anakuwa ustaadhi Rashid, akienda nightclub anagegeda makahaba huko, sasa huyu sio mchawi kweli?
Ukitaka kujenga mnara, lazima ufanye calculation juu ya gharama, nguvu nk,Hii thread ndio kwishney
Imsiba wa Nani!!?poleni sana vibwengo kwa msiba.
No, ni msiba wa Malkia, Tumo jumuia ya madola na kampuni yetu ni Wanachama. Check siku ya post.Ms
Imsiba wa Nani!!?
Somebody decode this!!
In the loving memory of....!? Yoga!?
OkNo, ni msiba wa Malkia, Tumo jumuia ya madola na kampuni yetu ni Wanachama. Check siku ya post.