SatCitAnanda
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 643
- 1,099
There's definitely an outbreak ya homa, mafua na kikohozi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijiko viwili VYA maji ya alovera vinawasaidia nimeona!unakata kata vipande VYA alovera unaloweka kwenye maji HALAFU yale maji machungu kabisa unameza vijiko vikubwa viwili vinasaidia nimeona!Duuh,au ndi hii imenikamata siku ya pili sasa mafua,ila kuendesha siendeshi
Aisee sie wengine tumesha ipata io mpya!! Me hua niko sensitive sana kupata maambukiziTuongeze tu Umakini ktk kujitibu, tusijedhani ni homa, tumbo au mafua ya kawaida.
Na ni all over, Si hapa mjini pekee.
Pole, mtaani vifo vimeongezeka pia,Aisee sie wengine tumesha ipata io mpya!! Me hua niko sensitive sana kupata maambukizi
Those who laugh last laugh longer, pale asipodhania ndipo atakapo angukia...Let you be warned!Utabiri kuhusu simulizi ijayo.
Pengine Mr. Bon Town ameshaweka kila kitu sawa na hatimaye anapata utiifu wote wa kutosha kutoka kwa CEO wa sasa wa kampuni. Inaelekea pia ameweza kuwathibiti vijana wote wa CEO aliyepita kiasi kwamba haoni tishio lolote lile toka kwao.
Yoga shusha mzigo, kwani inaonyesha mambo ndani ya kampuni yapo shwari kwa Mr. Bon Town na vijana wake.
Tafuta Cha kufanya wewe kwanza.Huu izi bado upo? Yoga ameshaachana nao kitambo sana. Hebu tafuteni ishu zakufanya
March 20 - 2023 aisee.... thank me badae! Nawapenda sana!! [emoji120][emoji123][emoji257]
Yoga akiwa na mzee ni mrembo kwelikweli nimefurahi kukufahamu #simba
Duh! Hii ni nzitoMjomba yaani uanaona kila scene ya Yoga katika dark days zinajirudia kwa wahusika live unahoji tena kilikoni mpaka hapa tulipofikia haujaoanisha hii hadithi na mambo yanayotokea na kuendelea kutokea live nchini? Rudia kuisoma afu angalia nchi yetu tangu mwezi mei mpaka sasa ni matukio mangapi yametokea yanayoshabihana na dark days??? Mi naomba atulie arudi machi 2023 for the next stage ya mission implementation these shits are real nasubiri hatma ya mpanda farasi na Cat nani atakua eliminated na nani wataingia naye kwny nwo hpa EAC.
Usaliti