Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Naomba kuuliza swali.

Kwanini nchi yetu iadhibiwe eti kwa kwasababu ya kwenda kinyume na Mungu wakati kuna nchi nyingi zina uovu zaidi yetu?

Tuna uhusiano gani na Mungu, kwanini tufutwe juu ya uso wa dunia, sisi ni wabaya sana kiasi hicho au ni the so called chosen nation?

Naomba majibu mtumishi kwa duku duku langu kama hutojali.

Ahsante na ubarikiwe sana.
SABABU ni zifuatazo,

1. Tanzania ni TAIFA la AGANO.

Ktk vitabu vya unabii, Taifa la agano limeandikwa Kwa CODES, bt siku hizi za mwisho limefunuliwa.

Israeli ni TAIFA la AHADI, Tanzania ni TAIFA la AGANO.

Israeli walipomkataa YESU alichagua Taifa lake ambalo litatumika kama kimbilio la waktisto wote Duniani.

Israel Wana dini Yao ya uyahudi Hadi Leo,Waamini KRISTO Yesu wapo Wachache sana.

Waisraeli kama Taifa Bado wanamsubiri masihi wao, Mpinga kristo atatoka Israeeel tajiri, mtawala ambaye atashirikiama na Romee atakayempa nguvu.

Wote wamwaminio Yesu kama KRISTO pekee lazima waikimbie hiyo vita. Na Mahali pa kukimbilia na kujificha ndo Tanzania, Taifa la NYIKANI.

Jambo Hilo ndo linafanya Mungu atengeneze mifumo yake hapa Ili kuwapokea waktisto Dunia nzima.

Majanga yaja Ili kuwapunguza waovu Ili kuwapokea watu wake Kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kupona ni ubadilike au usubiri kupunguzwa.

Kuna Mapambano ya kimfumo na kiutawala ambapo kiongozi wa juu atawekwa MLAWI kabisa na atatawala Kwa kufuata maelekezo ya Mungu.

Dini zote zitapoungana, Tanzania pekee ndo itagoma na kubaki na Imani ktk Mungu. Issue ya CORONA ikufumbue macho, Dunia nzima iliufyata Kwa mnyama bt Tanzania iligoma. Ndo ujue jinsi Gani Taifa hili ni muhimu Kwa Dunia.

INJILI ya ufalme kuwaleta wote wamwaminio kristo itaanzia Tanzania, INJILI ya TOBA na UAMSHO itaanzia hapa kabla ya unyakuo wa KANISA.

Vita ya TATU ya Dunia ni vita ya kidini, mifumo yote ya kidunia inajitengeneza kupokea utawala wa Mpinga kristo, na DINI moja, Sarafu moja nk.

Tayari wale Malaika wawili wameshuka na soon watawaongoza watumishi kuhubiri INJILI ya Ufalme wa Mungu Kwa Dunia nzima Kutokea Tanzania.

Nabii ELIA na Nabii Musa wale manabii wawili waliotabiriwa wameshakuja Tanzania ktk form ya WANADAMU kabisa ambapo Si Rahisi kuwafahamu Hadi watapoanza KAZI.



2. INAPENDWA SANA,

Israeli imepigwa sana ktk maandiko na kupelekea utumwani mara kadhaa.

Hata mtoto anayependwa huadhibiwa sana Ili akae kwenye mstari.

3. UZINZI.

IBADA juu ya miungu mingine kibiblia ni UZINZI, Taifa ni la Mungu,iweje viongozi waingie maagano na muungu ya moto wa kichawi unaozungushwa Nchi nzima? Kwann wanafanya makafara Ili kuendelea kushikilia watu mateka?

Kuibuka manabii wa uongo wauza chumvi, mafuta, udongo nk wanaowaibia watu baraka zao na kuwapa magonjwa na LAANA.

Nabii FESTO CHINOLO, na manabii kadhaa U-Tube kama uko makini na unaongozwa na Roho MTAKATIFU, wanahubiri ujumbe Ule ule juu ya yajayo ULIMWENGUNI na juu ya Tanzania.

Tunaishi nyakati za kutisha, Uwe macho mwana wa Mungu.

ANGALIZO; Ninaposema MKRISTO namaanisha, mwanadamu yeyote anaamini juu ya Mungu. Njia ni mbili tu tuendako,

1.Wamwaminio Yesu kama KRISTO na Mwana wa Mungu ambaye ndo anakuja kuhukumu Ulimwengu.

2. Wamwaminio SHETANI, Mpinga kristo au Masih jadal.

Dini zote kama mfumo zitachikuliwa na mnyama, so unaejificha ktk dini uare in trouble.

Yesu alikuja Duniani kuwambia WANADAMU wote watubu na kuacha DHAMBI.

Hakuja kuhubiri Dini.

Mfalme wa WAFALME YESU KRISTO, Yoshua Amashia , ISSA bin Mariam anakuja kutawala Duniani.

Ameeen
 
SABABU ni zifuatazo,

1. Tanzania ni TAIFA la AGANO.

Ktk vitabu vya unabii, Taifa la agano limeandikwa Kwa CODES, bt siku hizi za mwisho limefunuliwa.

Israeli ni TAIFA la AHADI, Tanzania ni TAIFA la AGANO.

Israeli walipomkataa YESU alichagua Taifa lake ambalo litatumika kama kimbilio la waktisto wote Duniani.

Israel Wana dini Yao ya uyahudi Hadi Leo,Waamini KRISTO Yesu wapo Wachache sana.

Waisraeli kama Taifa Bado wanamsubiri masihi wao, Mpinga kristo atatoka Israeeel tajiri, mtawala ambaye atashirikiama na Romee atakayempa nguvu.

Wote wamwaminio Yesu kama KRISTO pekee lazima waikimbie hiyo vita. Na Mahali pa kukimbilia na kujificha ndo Tanzania, Taifa la NYIKANI.

Jambo Hilo ndo linafanya Mungu atengeneze mifumo yake hapa Ili kuwapokea waktisto Dunia nzima.

Majanga yaja Ili kuwapunguza waovu Ili kuwapokea watu wake Kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kupona ni ubadilike au usubiri kupunguzwa.

Kuna Mapambano ya kimfumo na kiutawala ambapo kiongozi wa juu atawekwa MLAWI kabisa na atatawala Kwa kufuata maelekezo ya Mungu.

Dini zote zitapoungana, Tanzania pekee ndo itagoma na kubaki na Imani ktk Mungu. Issue ya CORONA ikufumbue macho, Dunia nzima iliufyata Kwa mnyama bt Tanzania iligoma. Ndo ujue jinsi Gani Taifa hili ni muhimu Kwa Dunia.

INJILI ya ufalme kuwaleta wote wamwaminio kristo itaanzia Tanzania, INJILI ya TOBA na UAMSHO itaanzia hapa kabla ya unyakuo wa KANISA.

Vita ya TATU ya Dunia ni vita ya kidini, mifumo yote ya kidunia inajitengeneza kupokea utawala wa Mpinga kristo, na DINI moja, Sarafu moja nk.

Tayari wale Malaika wawili wameshuka na soon watawaongoza watumishi kuhubiri INJILI ya Ufalme wa Mungu Kwa Dunia nzima Kutokea Tanzania.

Nabii ELIA na Nabii Musa wale manabii wawili waliotabiriwa wameshakuja Tanzania ktk form ya WANADAMU kabisa ambapo Si Rahisi kuwafahamu Hadi watapoanza KAZI.



2. INAPENDWA SANA,

Israeli imepigwa sana ktk maandiko na kupelekea utumwani mara kadhaa.

Hata mtoto anayependwa huadhibiwa sana Ili akae kwenye mstari.

3. UZINZI.

IBADA juu ya miungu mingine kibiblia ni UZINZI, Taifa ni la Mungu,iweje viongozi waingie maagano na muungu ya moto wa kichawi unaozungushwa Nchi nzima? Kwann wanafanya makafara Ili kuendelea kushikilia watu mateka?

Kuibuka manabii wa uongo wauza chumvi, mafuta, udongo nk wanaowaibia watu baraka zao na kuwapa magonjwa na LAANA.

Nabii FESTO CHINOLO, na manabii kadhaa U-Tube kama uko makini na unaongozwa na Roho MTAKATIFU, wanahubiri ujumbe Ule ule juu ya yajayo ULIMWENGUNI na juu ya Tanzania.

Tunaishi nyakati za kutisha, Uwe macho mwana wa Mungu.

ANGALIZO; Ninaposema MKRISTO namaanisha, mwanadamu yeyote anaamini juu ya Mungu. Njia ni mbili tu tuendako,

1.Wamwaminio Yesu kama KRISTO na Mwana wa Mungu ambaye ndo anakuja kuhukumu Ulimwengu.

2. Wamwaminio SHETANI, Mpinga kristo au Masih jadal.

Dini zote kama mfumo zitachikuliwa na mnyama, so unaejificha ktk dini uare in trouble.

Yesu alikuja Duniani kuwambia WANADAMU wote watubu na kuacha DHAMBI.

Hakuja kuhubiri Dini.

Mfalme wa WAFALME YESU, Yoshua Amashia , ISSA bin Mariam anakuja kutawala Duniani.

Ameeen
Kwa hiyo huyo ajaye atatoka nje ya Chama dola?
 
I cant imagine the reaction of the old boss when he received the news that the new boss has expired.
 
Kwa hiyo huyo ajaye atatoka nje ya Chama dola?
Mungu ajua.

Bt kuchaguliwa Kwa Tanzania kama Taifa la Agano kuyafanya yote hayo kunatoa nafasi finyu sana Kwa vyama nje ya mfumo ulowekwa tangu kuanzishwa Kwa Nchi .

Bt tuendelee kuomba, maana with GOD the IMPOSSIBLE are POSSIBLE.

Amen.
 
The new CEO says,

Kuna watu ndani ya Kampuni hawanipendi na ni wateuliwa wa mamlaka ninayoiongoza,

UCEO ni taasisi,

Mamlaka zote zimewekwa na kuruhusiwa na Mungu,

Kama hunipendi mm new CEO, mwogope Mungu aliyeniweka hapa.

May God bless her sababu ni Kweli, Mamlaka yeyote Duniani Imeruhusiwa na Aliye juu bila kujali ni OVU au Yenye HOFU ya Mungu.

Aamen
 
Mungu ajua.

Bt kuchaguliwa Kwa Tanzania kama Taifa la Agano kuyafanya yote hayo kunatoa nafasi finyu sana Kwa vyama nje ya mfumo ulowekwa tangu kuanzishwa Kwa Nchi .

Bt tuendelee kuomba, maana with GOD the IMPOSSIBLE are POSSIBLE.

Amen.
Sasa Mungu wetu si ndiye mkuu na muweza juu ya Mifumo?

Sasa inakuwaje tena vigumu?
Ilihali amesema mwenyewe Kwenye 1Korinto 1:26-31 kwamba anachagua vinyonge ili aviaibishe vyenye Nguvu?
 
Sasa Mungu wetu si ndiye mkuu na muweza juu ya Mifumo?

Sasa inakuwaje tena vigumu?
Ilihali amesema mwenyewe Kwenye 1Korinto 1:26-31 kwamba anachagua vinyonge ili aviaibishe vyenye Nguvu?
Yote yanawezekana tukiomba,

Ulipenda ajaye atoke ndani au nje ya chama Dola ndugu NATURE?
 
Interesting,

RANGI ya Vazi analovaa mtu ktk Ulimwengu wa Roho kimwonekano linatambulisha mamlaka anayoitumikia mtu aliyevaa vazi Hilo.

Red and black ni RANGI za chini.

Malaika wa Nuru huvaa mavazi MEUPE. Ni utambulisho wa kule watokako.

Sometimes shetani naye huyavaa mavazi MEUPE Ili kutuhadaa bt Huwa tunamtambua usoni, Huwa kakunja NDITA sana,

Bt tangu kuumbwa Ulimwengu, Mungu hakuwahi mtuma mjumbe wake Kwa mwanadamu ktk mavazi mekundu au meusi.
Hata macho yake yanaonyesha uovu ukimuangalia vizuri, akitabasamu unaona ni tabasamu fake.
 
SABABU ni zifuatazo,

1. Tanzania ni TAIFA la AGANO.

Ktk vitabu vya unabii, Taifa la agano limeandikwa Kwa CODES, bt siku hizi za mwisho limefunuliwa.

Israeli ni TAIFA la AHADI, Tanzania ni TAIFA la AGANO.

Israeli walipomkataa YESU alichagua Taifa lake ambalo litatumika kama kimbilio la waktisto wote Duniani.

Israel Wana dini Yao ya uyahudi Hadi Leo,Waamini KRISTO Yesu wapo Wachache sana.

Waisraeli kama Taifa Bado wanamsubiri masihi wao, Mpinga kristo atatoka Israeeel tajiri, mtawala ambaye atashirikiama na Romee atakayempa nguvu.

Wote wamwaminio Yesu kama KRISTO pekee lazima waikimbie hiyo vita. Na Mahali pa kukimbilia na kujificha ndo Tanzania, Taifa la NYIKANI.

Jambo Hilo ndo linafanya Mungu atengeneze mifumo yake hapa Ili kuwapokea waktisto Dunia nzima.

Majanga yaja Ili kuwapunguza waovu Ili kuwapokea watu wake Kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kupona ni ubadilike au usubiri kupunguzwa.

Kuna Mapambano ya kimfumo na kiutawala ambapo kiongozi wa juu atawekwa MLAWI kabisa na atatawala Kwa kufuata maelekezo ya Mungu.

Dini zote zitapoungana, Tanzania pekee ndo itagoma na kubaki na Imani ktk Mungu. Issue ya CORONA ikufumbue macho, Dunia nzima iliufyata Kwa mnyama bt Tanzania iligoma. Ndo ujue jinsi Gani Taifa hili ni muhimu Kwa Dunia.

INJILI ya ufalme kuwaleta wote wamwaminio kristo itaanzia Tanzania, INJILI ya TOBA na UAMSHO itaanzia hapa kabla ya unyakuo wa KANISA.

Vita ya TATU ya Dunia ni vita ya kidini, mifumo yote ya kidunia inajitengeneza kupokea utawala wa Mpinga kristo, na DINI moja, Sarafu moja nk.

Tayari wale Malaika wawili wameshuka na soon watawaongoza watumishi kuhubiri INJILI ya Ufalme wa Mungu Kwa Dunia nzima Kutokea Tanzania.

Nabii ELIA na Nabii Musa wale manabii wawili waliotabiriwa wameshakuja Tanzania ktk form ya WANADAMU kabisa ambapo Si Rahisi kuwafahamu Hadi watapoanza KAZI.



2. INAPENDWA SANA,

Israeli imepigwa sana ktk maandiko na kupelekea utumwani mara kadhaa.

Hata mtoto anayependwa huadhibiwa sana Ili akae kwenye mstari.

3. UZINZI.

IBADA juu ya miungu mingine kibiblia ni UZINZI, Taifa ni la Mungu,iweje viongozi waingie maagano na muungu ya moto wa kichawi unaozungushwa Nchi nzima? Kwann wanafanya makafara Ili kuendelea kushikilia watu mateka?

Kuibuka manabii wa uongo wauza chumvi, mafuta, udongo nk wanaowaibia watu baraka zao na kuwapa magonjwa na LAANA.

Nabii FESTO CHINOLO, na manabii kadhaa U-Tube kama uko makini na unaongozwa na Roho MTAKATIFU, wanahubiri ujumbe Ule ule juu ya yajayo ULIMWENGUNI na juu ya Tanzania.

Tunaishi nyakati za kutisha, Uwe macho mwana wa Mungu.

ANGALIZO; Ninaposema MKRISTO namaanisha, mwanadamu yeyote anaamini juu ya Mungu. Njia ni mbili tu tuendako,

1.Wamwaminio Yesu kama KRISTO na Mwana wa Mungu ambaye ndo anakuja kuhukumu Ulimwengu.

2. Wamwaminio SHETANI, Mpinga kristo au Masih jadal.

Dini zote kama mfumo zitachikuliwa na mnyama, so unaejificha ktk dini uare in trouble.

Yesu alikuja Duniani kuwambia WANADAMU wote watubu na kuacha DHAMBI.

Hakuja kuhubiri Dini.

Mfalme wa WAFALME YESU KRISTO, Yoshua Amashia , ISSA bin Mariam anakuja kutawala Duniani.

Ameeen
Nakushukuru sana.Nimepata kitu ngoja niendelee kufuatilia kwa kusoma kitabu cha Daniel,Isaya na Ufunuo wa Yohana maana hawa manabii walizungumzia mambo ya Nyakati zijazo za mbali zaidi yamkini ndio nyakati hizi.
 
SABABU ni zifuatazo,

1. Tanzania ni TAIFA la AGANO.

Ktk vitabu vya unabii, Taifa la agano limeandikwa Kwa CODES, bt siku hizi za mwisho limefunuliwa.

Israeli ni TAIFA la AHADI, Tanzania ni TAIFA la AGANO.

Israeli walipomkataa YESU alichagua Taifa lake ambalo litatumika kama kimbilio la waktisto wote Duniani.

Israel Wana dini Yao ya uyahudi Hadi Leo,Waamini KRISTO Yesu wapo Wachache sana.

Waisraeli kama Taifa Bado wanamsubiri masihi wao, Mpinga kristo atatoka Israeeel tajiri, mtawala ambaye atashirikiama na Romee atakayempa nguvu.

Wote wamwaminio Yesu kama KRISTO pekee lazima waikimbie hiyo vita. Na Mahali pa kukimbilia na kujificha ndo Tanzania, Taifa la NYIKANI.

Jambo Hilo ndo linafanya Mungu atengeneze mifumo yake hapa Ili kuwapokea waktisto Dunia nzima.

Majanga yaja Ili kuwapunguza waovu Ili kuwapokea watu wake Kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kupona ni ubadilike au usubiri kupunguzwa.

Kuna Mapambano ya kimfumo na kiutawala ambapo kiongozi wa juu atawekwa MLAWI kabisa na atatawala Kwa kufuata maelekezo ya Mungu.

Dini zote zitapoungana, Tanzania pekee ndo itagoma na kubaki na Imani ktk Mungu. Issue ya CORONA ikufumbue macho, Dunia nzima iliufyata Kwa mnyama bt Tanzania iligoma. Ndo ujue jinsi Gani Taifa hili ni muhimu Kwa Dunia.

INJILI ya ufalme kuwaleta wote wamwaminio kristo itaanzia Tanzania, INJILI ya TOBA na UAMSHO itaanzia hapa kabla ya unyakuo wa KANISA.

Vita ya TATU ya Dunia ni vita ya kidini, mifumo yote ya kidunia inajitengeneza kupokea utawala wa Mpinga kristo, na DINI moja, Sarafu moja nk.

Tayari wale Malaika wawili wameshuka na soon watawaongoza watumishi kuhubiri INJILI ya Ufalme wa Mungu Kwa Dunia nzima Kutokea Tanzania.

Nabii ELIA na Nabii Musa wale manabii wawili waliotabiriwa wameshakuja Tanzania ktk form ya WANADAMU kabisa ambapo Si Rahisi kuwafahamu Hadi watapoanza KAZI.



2. INAPENDWA SANA,

Israeli imepigwa sana ktk maandiko na kupelekea utumwani mara kadhaa.

Hata mtoto anayependwa huadhibiwa sana Ili akae kwenye mstari.

3. UZINZI.

IBADA juu ya miungu mingine kibiblia ni UZINZI, Taifa ni la Mungu,iweje viongozi waingie maagano na muungu ya moto wa kichawi unaozungushwa Nchi nzima? Kwann wanafanya makafara Ili kuendelea kushikilia watu mateka?

Kuibuka manabii wa uongo wauza chumvi, mafuta, udongo nk wanaowaibia watu baraka zao na kuwapa magonjwa na LAANA.

Nabii FESTO CHINOLO, na manabii kadhaa U-Tube kama uko makini na unaongozwa na Roho MTAKATIFU, wanahubiri ujumbe Ule ule juu ya yajayo ULIMWENGUNI na juu ya Tanzania.

Tunaishi nyakati za kutisha, Uwe macho mwana wa Mungu.

ANGALIZO; Ninaposema MKRISTO namaanisha, mwanadamu yeyote anaamini juu ya Mungu. Njia ni mbili tu tuendako,

1.Wamwaminio Yesu kama KRISTO na Mwana wa Mungu ambaye ndo anakuja kuhukumu Ulimwengu.

2. Wamwaminio SHETANI, Mpinga kristo au Masih jadal.

Dini zote kama mfumo zitachikuliwa na mnyama, so unaejificha ktk dini uare in trouble.

Yesu alikuja Duniani kuwambia WANADAMU wote watubu na kuacha DHAMBI.

Hakuja kuhubiri Dini.

Mfalme wa WAFALME YESU KRISTO, Yoshua Amashia , ISSA bin Mariam anakuja kutawala Duniani.

Ameeen
Na kuna kizazi cha mtumishi wa Mungu hapa Tanzania kitatumika kuongoza Injili na kusudio la Mungu dunia nzima,je kitakuwa miongoni mwa akina Musa na Eliya au hicho kitajitegemea?

Kama ulishafunuliwa katika hili naomba uongee kidogo hapa mtumishi wa Mungu.
 
Na kuna kizazi cha mtumishi wa Mungu hapa Tanzania kitatumika kuongoza Injili na kusudio la Mungu dunia nzima,je kitakuwa miongoni mwa akina Musa na Eliya au hicho kitajitegemea?

Kama ulishafunuliwa katika hili naomba uongee kidogo hapa mtumishi wa Mungu.
BIBLIA imeandika juu ya kurudi Kwa Musa na Eliya kuitengeneza njia ya Yesu kabla hajarudi mara ya pili.

Elia alikuja akavaa mwili akazaliwa na akaitwa Yohana Mbatizaji watu hawakumtambua Hadi Yesu alipomfichua.

Bt ktk Roho Elia alipokatwa KICHWA, alikuja mlimani akiwa na Musa kumtia nguvu Yesu.

Imeandikwa, ktk ufunuo, Kuna Malaika wawili watakuja Duniani kuhubiri hiyo INJILI ya ufalme kabla ya kurudi Kwa Yesu.

Niliwahi kuandika juu ya watu Nusu mtu nusu PEPO hao hutoka kuzimu,

Bt Kuna watu Nusu mtu nusu MALAIKA, hao hutoka juu MBINGUNI na kuvaa mwili wakawa WANADAMU, Yohana Mbatizaji alikuwa mmoja wapo.

Elia tayari yupo Tanzania na Malaika wale wawili wapo Tanzania kama WANADAMU kabisa.

Watafunuliwa watapoanza kuhubiri Kwa mataifa.

Vita saiz imeshahama, zamani tulizoea mapepo na majini kuwatokea watu, bt amini usiamini,

Wapo Malaika Kutoka Mbinguni wamekuja kibinadamu Kwa maelfu Ili kupambana na watu Nusu mtu nusu Pepo Ili kuwaokoa watu wa Mungu ktk majanga yajayo juu ya Dunia.

Ameen.
 
BIBLIA imeandika juu ya kurudi Kwa Musa na Eliya kuitengeneza njia ya Yesu kabla hajarudi mara ya pili.

Elia alikuja akavaa mwili akazaliwa na akaitwa Yohana Mbatizaji watu hawakumtambua Hadi Yesu alipomfichua.

Bt ktk Roho Elia alipokatwa KICHWA, alikuja mlimani akiwa na Musa kumtia nguvu Yesu.

Imeandikwa, ktk ufunuo, Kuna Malaika wawili watakuja Duniani kuhubiri hiyo INJILI ya ufalme kabla ya kurudi Kwa Yesu.

Niliwahi kuandika juu ya watu Nusu mtu nusu PEPO hao hutoka kuzimu,

Bt Kuna watu Nusu mtu nusu MALAIKA, hao hutoka juu na kuvaa mwili wakawa WANADAMU Yohana Mbatizaji alikuwa mmoja wapo.

Elia yayari yupo Tanzania na Malaika wale wawili wapo Tanzania kama WANADAMU kabisa.

Watafunuliwa watapoanza kuhubiri Kwa mataifa.

Vita saiz imeshahama, zamani tulizoea mapepo na majini kuwatokea watu, bt amini usiamini,

Wapo Malaika Kutoka Mbinguni wamekuja kibinadamu Kwa maelfu Ili kupambana na watu Nusu mtu nusu Pepo Ili kuwaokoa watu wa Mungu ktk majanga yajayo juu ya Dunia.

Ameen.
Amen [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu Julias Nyerere kundi kubwa la watu walionekana wakikimbia mara baada ya kuvunja geti, wakawa wanaelekea kwenda kushuhudia mwili wa Rais wao kipenzi ukiingizwa ndani ya ndege tayari kusafirishwa. Licha ya serikali kutoa siku mbili za kuuwaga mwili wa marehemu lakini hazikutusho kuwazuia maelfu wa Watanzania waliojitokeza hadi uwanja wa ndege kumsindikiza huku wakiimba na kulitaja jina la shujaa huyo.

Watu walifika uwanjani hapo walikuwa ni wengi mno, ikiacha idadi kubwa ya Watanzania waliojipanga pembeni ya barabara kutoka uwanja wa mpira wa uhuru hadi kufika uwanja wa ndege bado hawakufikia idada ya hawa waliofulika uwanjani hapo.
Licha ya kuwekwa utaratibu maalumu uwanjani hapo lakini ilikuwa ni ngumu kuwazuia Watanzania hao ambao baadae walivunja geti na kuanza kukimbia wakiingia ndani zaidi ya uwanja wa ndege. Hali hii ilipelekea wengine kuanguka na kuanza kukanyagana. Ilikuwa ni hatari sana hasa kwa wanawake na vijana wadogo walikuwa miongoni mwa waombolezaji hao.

David akiwa mmoja kati ya maelfu ya watu waliofika mahali hapo, alishuhudia kundi kubwa la watu likivunja geti na kuingia ndani ya uwanja wa ndege kwa kasi. David akiwa hatua kadhaa kutoka hapo, alijikuta akitabasamu na kuwaza moyoni.

"Huu ni upendo wa ajabu wanaouonyesha Watanzania kwa Rais wao, haijawahi tokea mahali popote Dunia, hakika walimpenda mno"
Aliwaza David na wakati akiwaza hayo ndipo alipoona tukio lingine la ajabu.

Katikati ya lile kundi kubwa la watu waliokuwa wakikimbia kwa mara nyingine tena alimuona yule binti mwenyewe gauni jekundu. David alitoa macho kwa mshangao baada ya kuona binti huyo akifanya mambo ya ajabu. Si kwamba alikuwa akikimbia kama wengine la hasha, yeye alikuwa bize akiwainua wale watu waliokuwa wakianguka chini kuwazuia wasikanyagwe. Alikuwa akiifanya kazi hiyo kwa kasi sana. Anaenda kushoto anamuinua huyu anarudi kulia, anakwenda mbele anarudi nyuma huku kasi yake ikionekana kutokuwa ya kawaida kabisa.
Yule binti aliendelea kuifanya kazi hiyo katikati ya ule umati mkubwa wa watu. Jambo la ajabu ni kwamba hakuna aliyekuwa akimuona zaidi ya David peke yake.
"Oo..oya mwanangu" Alisema David huku akimgusa begani mwanaume mmoja aliyekuwa amesimama pembeni karibu yake.
"Nambie" aliitika
"Unamuona yule msichana anachokifanya pale?"
"Msichana yupi?"
"Yule pale" David akanyoosha kidole katikati ya ule umati wa watu wanaokimbia
"Sasa watu wote wale nitajua ni mtu gani unamzungumzia" aliuliza yule mwanaume huku akimtazama David usoni kwa mshangao.
"Namaanisha yule Dada amevaa gauni jekundu kwani huoni anavyofanya katikati ya wale watu?"
"Eeh.. we jamaa mi sikuelewi bana" Alisema yule mwanaume huku akimuona David kama mwendawazimu, akazuga kama anapokea simu akaenda zake pembeni.

"Mbona anaonekana kwamba haoni nini pale?" David alijiuliza hukua akiamini kwa mtu mwenye macho yenye afya kamili kama yake asingeshindwa kumuona yule msichana mwenye gauni jekundu.

Wakati David akizidi kutazama mara ghafula akaona tukio lingine la ajabu. Kilishuka kitu cheusi kutoka juu angani kikaanguka chini katikati ya ule umati wa watu na baadae akasimama mtu mmoja aliyevalia mavazi meusi tii kuanzia juu hadi chini. Hata yeye alikuwa na ngozi nyeusi tii kama nguo zake. Alikuwa amevaa koti kubwa jeusi lenye kofia pana kichwani. Koti lake lilikuwa refu mno kiasi cha kugusa chini na kufanya miguu yake isionekane.
Mkononi alikuwa ameshikilia mkuki mrefu, akawa anatembea kumuelekea yule binti anayefanya kazi ya kuinua watu waliodondoka.
Yule mtu mwenye mavazi meusi naye alikuwa akipishana na watu pasipo kuonekana yaani alikuwa ni David pekee ndiye aliyekuwa akiwaona watu hao wa ajabu.
Yule mtu aliendelea kutembea akawa anamueleka yule binti, kwa bahati mbaya yule binti hakuwa amemuona kabisa na alipo mkaribia aliinua mkuki wake juu akiwa amedhamiria kuuzamisha kwenye mgongo wa yule binti aliyekuwa ameinama wakati huo.

David alishuhudia yote haya akiwa kwa mbali asielewe ni nini hasa kilikuwa kinaendelea. Alifumba macho kwa hofu asishuhudie tukio lile la kutisha. Kuna wakati alihisi kama yuko ndotoni lakini kila alipojaribu kuzinduka kutoka usingizini ndipo alipogundua kuwa haikuwa ni ndoto bali kila alichokiona na kukishuhudia kilikuwa ni kweli tupu.

Wakati yule mtu akiushusha kwa nguvu mkuki wake ghafula kufumba na kufumbua wakatokea wanawake wengine watano waliovaa mavazi mekundu sawa na alivyovaa yule binti. Mmoja kati yao akasimama mbele ya yule binti na wakati huo huo yule bwana mwenye mavazi meusi akausindilia mkuki wake kwenye mwili wa yule mwanamke aliyesimama mbele ya binti yule kumkinga, nikama mwanamke yule alikuwa amejitoa muhanga kuzuia mkuki usimpate yule binti na badala yake ukazama kwenye kifua chake na akatokea mgongoni.
David alipokuja kufumbua macho yake kuangalia kwa mara nyingine akakutana na tukio lingine la kutisha, aliona ule mkuki ukiwa umezama kwenye mwili wa mwanamke mwingine ambaye hakujua ametokea wapi huku wale wengine wanne wakiwa wamesimama imara kumzunguuka yule binti. David hakujua watu hawa wamefikaje fikaje mahali hapo na wametoka wapi. Kila alichokiona kilizidi kumchanganya na kumuacha mdomo wazi.
David alishuhudia yule mwanamke aliyechomwa mkuki akipukutika kama mchanga na baadae akawa moshi mweupe uliopotelea hewani. Wakati huo huo wale wanawake wanne waliosalia wakawa bado wamesimama kumzunguuka yule binti ambaye aliacha kufanya kile alichokuwa akikifanya sasa akawa anaelewa kuwa yuko hatarini kushambuliwa na yule mtu mwenye mavazi meusi.
Ajabu ni kwamba licha ya idada ya wale watu wa ajabu kuongezeka lakini bado ni David pekee ndiye aliyekuwa akiwaona. Watu wengine wote walikuwa bize na harakati za msiba wa Mheshimiwa Rais.

Yule binti alikuwa amesimama katikati huku akiwa amezinguukwa na wale wanawake wanne ambao kila mmoja alikuwa na kisu kidogo mkononi mwake kilichofungwa utepe mwekundu. Yule binti alipenya kati kati ya wale wanawake waliomzunguuka akapiga hatua kumsogelea yule mwanaume mwenye mavazi meusi.

"Tafadhali usimsogelee ni hatari" Aliongea mwanamke mmoja kati ya wale wanne.
"Acha niongee naye"
"Hapana Sasha anaweza kukudhuru" Yule mwanamke alisisitiza.
Naam, hilo ndilo jina halisi la binti huyo, aliitwa SASHA.
Wakati yote hayo yakiendelea David alikuwa kwa mbali akishuhudia. Alishangaa ni vipi anaona vitu ambavyo ama kwa hakika ni yeye pekee ndiye alikuwa na uwezo wa kuona lakini watu wengine hawakuelewa lolote. David hakujua ni vipi amepata uwezo huo, lakini mambo yalibadilika tangu pale alipoliokota lile boksi la SASHA akiwa ndani ya uwanja wa uhuru wakati ule wa kuuga mwili wa Mheshimiwa Rais.
Aisee..
 
Yote yanawezekana tukiomba,

Ulipenda ajaye atoke ndani au nje ya chama Dola ndugu NATURE?
Hapo Si mapenzi yangu bali mapenzi yake yeye Aliyeamuru haya yatokee kwenye majira na Nyakati tulizopo...
 
Na kuna kizazi cha mtumishi wa Mungu hapa Tanzania kitatumika kuongoza Injili na kusudio la Mungu dunia nzima,je kitakuwa miongoni mwa akina Musa na Eliya au hicho kitajitegemea?

Kama ulishafunuliwa katika hili naomba uongee kidogo hapa mtumishi wa Mungu.
Mtumishi yupi....kwa maana kuna mmoja anatajwa tajwa huku
 
BIBLIA imeandika juu ya kurudi Kwa Musa na Eliya kuitengeneza njia ya Yesu kabla hajarudi mara ya pili.

Elia alikuja akavaa mwili akazaliwa na akaitwa Yohana Mbatizaji watu hawakumtambua Hadi Yesu alipomfichua.

Bt ktk Roho Elia alipokatwa KICHWA, alikuja mlimani akiwa na Musa kumtia nguvu Yesu.

Imeandikwa, ktk ufunuo, Kuna Malaika wawili watakuja Duniani kuhubiri hiyo INJILI ya ufalme kabla ya kurudi Kwa Yesu.

Niliwahi kuandika juu ya watu Nusu mtu nusu PEPO hao hutoka kuzimu,

Bt Kuna watu Nusu mtu nusu MALAIKA, hao hutoka juu MBINGUNI na kuvaa mwili wakawa WANADAMU, Yohana Mbatizaji alikuwa mmoja wapo.

Elia tayari yupo Tanzania na Malaika wale wawili wapo Tanzania kama WANADAMU kabisa.

Watafunuliwa watapoanza kuhubiri Kwa mataifa.

Vita saiz imeshahama, zamani tulizoea mapepo na majini kuwatokea watu, bt amini usiamini,

Wapo Malaika Kutoka Mbinguni wamekuja kibinadamu Kwa maelfu Ili kupambana na watu Nusu mtu nusu Pepo Ili kuwaokoa watu wa Mungu ktk majanga yajayo juu ya Dunia.

Ameen.
Swali,,,

Ina maana hao watu Nusu Malaika ni kwamba wanaishi kabisa kama raia wa Tanzania?

Yaani wamezaliwa, Kusoma na kulelewa kwenye mazingira yetu ya kawaida kabisa?

Na watu hao wanajitambua kabisa kwamba wao ni Nusu mtu musu malaika?

Wanaujua wajibu wao ipasavyo?
 
BIBLIA imeandika juu ya kurudi Kwa Musa na Eliya kuitengeneza njia ya Yesu kabla hajarudi mara ya pili.

Elia alikuja akavaa mwili akazaliwa na akaitwa Yohana Mbatizaji watu hawakumtambua Hadi Yesu alipomfichua.

Bt ktk Roho Elia alipokatwa KICHWA, alikuja mlimani akiwa na Musa kumtia nguvu Yesu.

Imeandikwa, ktk ufunuo, Kuna Malaika wawili watakuja Duniani kuhubiri hiyo INJILI ya ufalme kabla ya kurudi Kwa Yesu.

Niliwahi kuandika juu ya watu Nusu mtu nusu PEPO hao hutoka kuzimu,

Bt Kuna watu Nusu mtu nusu MALAIKA, hao hutoka juu MBINGUNI na kuvaa mwili wakawa WANADAMU, Yohana Mbatizaji alikuwa mmoja wapo.

Elia tayari yupo Tanzania na Malaika wale wawili wapo Tanzania kama WANADAMU kabisa.

Watafunuliwa watapoanza kuhubiri Kwa mataifa.

Vita saiz imeshahama, zamani tulizoea mapepo na majini kuwatokea watu, bt amini usiamini,

Wapo Malaika Kutoka Mbinguni wamekuja kibinadamu Kwa maelfu Ili kupambana na watu Nusu mtu nusu Pepo Ili kuwaokoa watu wa Mungu ktk majanga yajayo juu ya Dunia.

Ameen.
Nimekuuliza swali hujanijibu mkuu
 
Swali,,,

Ina maana hao watu Nusu Malaika ni kwamba wanaishi kabisa kama raia wa Tanzania?

Yaani wamezaliwa, Kusoma na kulelewa kwenye mazingira yetu ya kawaida kabisa?

Na watu hao wanajitambua kabisa kwamba wao ni Nusu mtu musu malaika?

Wanaujua wajibu wao ipasavyo?
Anapovaa mwili wa mtoto anakuwa chini ya UANGALIZI.

Bt akikua anajua Kila kitu bt hawezi Sema au kufanya chochote bila kupata maelekezo Kutoka mamlaka ilomleta.

Ni majasusi from above, aweza jiattach anywhere.

Hii Dunia Iko hivi ilivyo sababu ya watu wanaoomba Mungu,

Akiachwa huru Ibilisi hata Kwa lisaa, anaiteketeza yote Ili wakae wao.
 
Back
Top Bottom