Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

We acha tu watu Wapo serious wanachokifanya,ukitaka mbinu mzigo unafikaje bila mamlaka kujua address ya anaepokea,,ufundi huo ninao
 
Sasa kama inatumika namba tu kufanya malipo mtandao tuseme Alibaba sasa unaweza kukamatwa je sasa?
 
Uko sahihi..na mbinu nzuri ni watu wanaagizia vitu mtandaoni..halafu vile vitu wanauza..sio kutoa Hela Moja kwa moja
 
Hata ukiweza kuingia..Kuna membership fees kwenye baadhi ya forums..hivo huwez access baadhi ya forum bila malipo😁😁...hivo sio umeshiba zako ubwabwa unataka upate access ya vitu vizito burebure..kingine ..vitu vingi ama information nyingi kuzi access inahitaji uwe na Hela...pia scammers wapo..hivo kabla ya kununua kitu angalia customer reviews
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Aaahh hapo ni noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…