DART: Magari pekee yanayoruhusiwa kutumia njia za Mwendokasi

DART: Magari pekee yanayoruhusiwa kutumia njia za Mwendokasi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1663318905556.png
 
Kwahiyo magari ya ulinzi na usalama yakiwa ktk opperation basi yanatakiwa yawe yameombewa kupita kwa DART[emoji28][emoji28].

Kwakweli nimeupenda huu utawala wa sheria,ni mzuri sana ila nasubiri pale wamepata matatizo ya kisheria humo kwenye mradi wanaingiaje polisi kutoa taarifa bila kuwa na kibali cha polisi[emoji23][emoji23]
atawekwa mtu mahabusu asijue kosa lake ni lipi.
 
kwahiyo magari ya ulinzi na usalama yakiwa ktk opperation basi yanatakiwa yawe yameombewa kupita kwa DART[emoji28][emoji28].

kwakweli nimeupenda huu utawala wa sheria,ni mzuri sana ila nasubiri pale wamepata matatizo ya kisheria humo kwenye mradi wanaingiaje polisi kutoa taarifa bila kuwa na kibali cha polisi[emoji23][emoji23]
atawekwa mtu mahabusu asijue kosa lake ni lipi.
Hii sheria mbona iliwekwa kitambo

Na inajulikana

Ova
 
Nchi hii kuna matatizo makubwa sana ya kuondoa umasikini, maradhi na ujinga; sasa kuna panya road wameibuka kama zao la ukosefu wa ajira (shughuli za vijana kufanya wapate mkate wa kila siku);
haya yote hayajapata ufumbuzi, watu wako busy na nani apite kwenye barabara ya mwendo kasi.

Surprisingly, ukitoa magari ya mwendokas yanayopita ambayo yamebeba walalahoi, wanaogombania kupita kwenye barabara na magari yao wengi na wenye mamlaka. Picha zinazosambaa au walio barabarani wanaona nani anaekatiza kinyume cha sheria.

Kuna shida sana nchi, mambo major kama kuhakikisha Dar na Tanzania inakuwa sehemu salama ya kuishi, taasisi za umma zinatunishiana misuli barabarani.

Mawaziri wa kisekta wako wapi kutoa mwelekeo kwa manufaa ya umma wa Watanzania?

Badala ya kuwa na mjadala mkali na huru wa hatua za msingi zifanyike kuongeza magari barabarani kwa lengo la kuboresha usafiri, abiria wake na magari yawe yanaondoka vituoni kwa muda na abiria wote wawe wameketi kwenye viti, story iliyopo ni kama funika kombe mjadala wa kufuta tozo uishe.

Nchi hii, tuna safari ndefu kweli
 
Wajinga sana hao DART, haiwezekani magari ya Polisi na JWTZ kupita lazima wapate kibali mahalum.

Ipo siku miongoni mwao watavamiw na Panya Road alafu wakahitaji msaada wa Askari Polisi wakafika eneo la tukio baada ya lisaa

Ms I we mna rukia vitu.
Soma vizuri, polisi ni kwa kibali maalum!! Pia msemaji wa jeshi la polisi amesha toa tamko na kukemea polisi walio lazimisha kupita
... Polisi wakiwa kwenye magari rasmi ya ofisi sidhani kama ni sahihi kuzuiwa kupita kwenye barabara za mwendo kasi. Wale maboss wenye magari yao binafsi mtu amechelewa kuamka huko anajifanya anawahi hata kama ana uniform marufuku kukatiza.

In short magari ya taasisi zote zenye namba ya dharura (112, etc.) hayapaswi kuzuiwa; ndio maana ikaitwa dharura - Polisi, Fire, Ambulance, (na Tanesco?)
 
Kwakweli nimeupenda huu utawala wa sheria,ni mzuri sana ila nasubiri pale wamepata matatizo ya kisheria humo kwenye mradi wanaingiaje polisi kutoa taarifa bila kuwa na kibali cha polisi
emoji23.png
emoji23.png

atawekwa mtu mahabusu asijue kosa lake ni lipi.
Tunahitaji utekelezaji katika hili #Polisi mara zote huonekana wako juu ya sheria
=
1663322040001.png

==
 
... ila mabasi ya DART yanaruhusiwa kupita katika barabara nyingine bila kibali chochote! Sawa.
Miundombinu ya BRT ni restricted use, lakini yakipita kwenye miundombinu ambayo ni unrestricted ni sawa kisheria.

Mf. Civilian aircraft haiwezi kupita juu ya kambi za JWTZ au IKULU, kwa sababu hayo maeneo ni restricted based on security grounds.
 
Nashindwa kuelewa kwa nini watu wanawatetea polisi hapa, wakati ndio wa kwanza kuvunja sheria.

Polisi watii sheria bila shurti kama wao wanavyotutaka kufanya.
... polisi kuvunja sheria huo ni udhaifu mwingine japo hauondoi ukweli kwamba polisi ni miongoni mwa taasisi chache zenye namba za dharura duniani kote - Polisi, Fire, Ambulance. Hao ni exceptional.
 
Back
Top Bottom