DART: Magari pekee yanayoruhusiwa kutumia njia za Mwendokasi

DART: Magari pekee yanayoruhusiwa kutumia njia za Mwendokasi

-sasa kama wanafukuza jambazi halafu wanatumia hiyo njia ya mwendokasi, halafu likatokea basi la mwendokasi linakuja kwa mbele yao tena kwa kasi, na huku police wako kasi,nini kitatokea?
- Essense ya kuomba/kutoa taarifa DART ni kwa hao DART, kuzuia mabasi yasitumie hiyo njia kwa muda kwa sabbu kuna magari ya police ili kuepusha Collision .
-Unakimbiza jambazi halafu hujatoa taarifa DART ili wasimamishe mabasi yao yapaki pembeni na kuCancel safari kwa muda.
Kwa hiyo hao madereva wa DART hawana macho, au ukishaendesha mwendoksi basi wewe ruksa kufumba macho usione chochote kinachokuja mbele......kumbe ndo maana wanagonga bodaboda, tayari wameshajikuta madereva wa treni.​
 
Kwa hiyo hao madereva wa DART hawana macho, au ukishaendesha mwendoksi basi wewe ruksa kufumba macho usione chochote kinachokuja mbele......kumbe ndo maana wanagonga bodaboda, tayari wameshajikuta madereva wa treni.​
- kwa hiyo kuwa na macho kwa madereva wa DART ndio Legal justification kwa makundi mengine kutumia barabara ya Mwendokasi?
 
- kwa hiyo kuwa na macho kwa madereva wa DART ndio Legal justification kwa makundi mengine kutumia barabara ya Mwendokasi?
Legal justifiction ndo hiyo ya magari yenye dharula, au wewe unaonaje? kwa hiyo hapo DART mkipata tatizo la moto itabidi fire wasimamishe gari lao pembeni kabisa wasiguse barabara tukufu ya DART...
 
Legal justifiction ndo hiyo ya magari yenye dharula, au wewe unaonaje? kwa hiyo hapo DART mkipata tatizo la moto itabidi fire wasimamishe gari lao pembeni kabisa wasiguse barabara tukufu ya DART...
-hujui unachoandika,
- Likitokea tatizo la moto hilo ni justifiable, na ni mpaka hilo tatizo litokee, barabara ya mwendokasi sio barabara ya magari ya kawaida ni ya mwendokasi tu
-Ndio maana hata hao DART wametoa excuse kwa baadhi ya magari ya majeshi hususan kwenye emergency kama za uoakoji, na wagonjwa i.e ambulance .
 
Mnachofokeana ni kitu gani? katika huu uzi hata huku ughaibuni sheria ni msumeno kwenye nyia maalum za mabasi hutakuta kijamaa kinajiita sijui kimtu kisichojulikana kinapita Only in Bongo, wazungu wanaheshimu sana sheria, ndiomaana hata wakati wa maandamano wanakaa tu kuangalia lakini hao nduguetu wanaojiona wakiwa na uniforms ni kama miungu bado wana safari ndefu sana. Hakuna aliyejuu ya sheria msamiati huo kwa bongo bado sana believe it.
 
-hujui unachoandika,
- Likitokea tatizo la moto hilo ni justifiable, na ni mpaka hilo tatizo litokee, barabara ya mwendokasi sio barabara ya magari ya kawaida ni ya mwendokasi tu
-Ndio maana hata hao DART wametoa excuse kwa baadhi ya magari ya majeshi hususan kwenye emergency kama za uoakoji, na wagonjwa i.e ambulance .
Sasa kwa nini mliwazuia polisi ambao mazingira yao ya kazi ni ya dharura, mnajikuta nani yaani, au DART ni nchi ndani ya nchi.
 
Sasa kwa nini mliwazuia polisi ambao mazingira yao ya kazi ni ya dharura, mnajikuta nani yaani, au DART ni nchi ndani ya nchi.
-polisi walikuwa kwenye mazingira ya dharura? dharura ipi? (itaje hiyo dharura)
-Kama walikuwa kwenye dharura kwa nini Taarifa ya kutoka makao makuunya jeshi la police tanzania ilikemea kile kitendo cha uvunjifu wa sheria kilichofanywa na police wenzao?
-Kwa nini taarifa ya kamanda Misime(sacp, haikuitaja hiyo dharura kabla ya kukemea kile kitendo cha hovyo?
- Sio kwamba DART wnajikuta nani ndani ya nchi hii, fuata sheria na hata kamanda MISIME kawakemea and impliedly amekiri kwamba Polisi wake walikosea kupita njia ya DART
-DART Ni Dar Rapid Transit inayosimamia Usafiri wa mwendokasi Dar,
 
-kwanza hiyo sio barua, hilo ni chapisho la taarifa
- Kasome RTA intandem with Regulations za DART
Ni kweli sio barua, lakini taarifa isiyokuwa na ukamilifu inakua na maana ndogo sana au haina maana kabisa.
 
Back
Top Bottom