... na ndio maana msimamo wangu ni kwamba taasisi zote za kidharura (Polisi, Fire, Ambulance) waruhusiwe kisheria kupita huko. Dharura haina taarifa na wala haitawasubiri waombe kibali cha kupita huko kutoka DART.akipita huko ni dharura tayari lazima afuatwe
Polisi sio exceptional, nakutana na gari za polisi nyingi sana ambazo zinatumia barabara hiyo ndivyo sivyoExceptionality nayoizungumzia mimi Polisi, Fire, Ambulance waruhusiwe kisheria kupita njia za mwendokasi; simaanishi wavunje au kuwa juu ya sheria.
Mhh umesoma ukaelewa kweli!?? Au ndo wale waleFFU walikua sahihi.
Udart ni usafiri wa kitumwaNchi hii kuna matatizo makubwa sana ya kuondoa umasikini, maradhi na ujinga; sasa kuna panya road wameibuka kama zao la ukosefu wa ajira (shughuli za vijana kufanya wapate mkate wa kila siku);
haya yote hayajapata ufumbuzi, watu wako busy na nani apite kwenye barabara ya mwendo kasi.
Surprisingly, ukitoa magari ya mwendokas yanayopita ambayo yamebeba walalahoi, wanaogombania kupita kwenye barabara na magari yao wengi na wenye mamlaka. Picha zinazosambaa au walio barabarani wanaona nani anaekatiza kinyume cha sheria.
Kuna shida sana nchi, mambo major kama kuhakikisha Dar na Tanzania inakuwa sehemu salama ya kuishi, taasisi za umma zinatunishiana misuli barabarani.
Mawaziri wa kisekta wako wapi kutoa mwelekeo kwa manufaa ya umma wa Watanzania?
Badala ya kuwa na mjadala mkali na huru wa hatua za msingi zifanyike kuongeza magari barabarani kwa lengo la kuboresha usafiri, abiria wake na magari yawe yanaondoka vituoni kwa muda na abiria wote wawe wameketi kwenye viti, story iliyopo ni kama funika kombe mjadala wa kufuta tozo uishe.
Nchi hii, tuna safari ndefu kweli
Kwani kabla ya uwepo WA hiyo barabara walikuwa wanafanyaje KAZI ?Kwahiyo magari ya ulinzi na usalama yakiwa ktk opperation basi yanatakiwa yawe yameombewa kupita kwa DART[emoji28][emoji28].
Kwakweli nimeupenda huu utawala wa sheria,ni mzuri sana ila nasubiri pale wamepata matatizo ya kisheria humo kwenye mradi wanaingiaje polisi kutoa taarifa bila kuwa na kibali cha polisi[emoji23][emoji23]
atawekwa mtu mahabusu asijue kosa lake ni lipi.
umeambiwa magari bodaboda ni gariSafi muwanyooshe bodaboda
Ova
Yeye anaweza kupita njia ya magari, polisi wakafanya timing kwa kutumia advantage ya barabara ya mwendokasi kufanikisha zoezi, umeelewa???huyo mhalifu naye atakuwa anapita kwenye njia ya mwendokasi?
Pakiwa na Jambazi sugu ndani ya Basi la Mwendo Kasi au Gaidi na Polisi wakapata Taarifa za kificho nadhani itabidi waombe ruhusa DART tena Kwa Barua au kukutana na mkurugenzi wa DART kuomba ushirikiano na akikataa basi Jambazi au Gaidi litashindikana kukamwatwa.Kwahiyo magari ya ulinzi na usalama yakiwa ktk opperation basi yanatakiwa yawe yameombewa kupita kwa DART[emoji28][emoji28].
Kwakweli nimeupenda huu utawala wa sheria,ni mzuri sana ila nasubiri pale wamepata matatizo ya kisheria humo kwenye mradi wanaingiaje polisi kutoa taarifa bila kuwa na kibali cha polisi[emoji23][emoji23]
atawekwa mtu mahabusu asijue kosa lake ni lipi.
Wewe ndio ukasome vizuri.Ms I we mna rukia vitu.
Soma vizuri, polisi ni kwa kibali maalum!! Pia msemaji wa jeshi la polisi amesha toa tamko na kukemea polisi walio lazimisha kupita
- hujui sheriaKwahiyo magari ya ulinzi na usalama yakiwa ktk opperation basi yanatakiwa yawe yameombewa kupita kwa DART[emoji28][emoji28].
Kwakweli nimeupenda huu utawala wa sheria,ni mzuri sana ila nasubiri pale wamepata matatizo ya kisheria humo kwenye mradi wanaingiaje polisi kutoa taarifa bila kuwa na kibali cha polisi[emoji23][emoji23]
atawekwa mtu mahabusu asijue kosa lake ni lipi.
- ww nae hata huelewi kitu.Wewe ndio ukasome vizuri.
Wanaopewa Kibali Maalumu ni magari mengine yote tofauti na hayo yaliyoainishwa hapo!
Yaani magari kama Yale ya majaji, mabalozi na hata ya Kiraia lakini ya Kijeshi hayana kuomba Kibali.
Mfano Polisi wakipata Taarifa kuwa Ndani ya basi la Mwendo Kasi Kuna Gaidi au Jambazi watasubiri Kibali Cha wale jaama waliova vizibao Vya kuoshea magari.
Au kwenye ukanda huu wenye ugaidi Taarifa ikasema Kuna Bomu limetegwa ndani ya Basi la Mwendo Kasi Vikosi Maalumu vya JWTZ vya kutegua mabumu watazuiwa na wapenda sifa wa DART wasipite Barabara badala ya kuifunga hata Kwa Mwezi mzima na kupitisha magari ya JWTZ pekee.?
Amani ipo lakini Bado Kuna uhalifu hivyo tusijifananishe kila kitu na Canada au Sweden au Norway au Denimak. Wenzetu walishanyooshwa na kunyooka na vizazi vyao. Tuviheshimu vyombo vyetu vya Dola. SHERIA imewaruhisu tusiingize siasa tukataka nao waishi kinyonge kama Raia watakaofaidika ni Wahalifu.Kwani wale waliokua wamevaa vizibao Vya sensa wangewaacha FFU wakapita wangepata hadara Gani?
Au hawaoni ni jambo la hatari sana kusukumana na Polisi wakiwa na uniform na silaha kiunoni na wengine mle ndani walikua na silaha kubwa za kivita.
Kule ni Kukosa TU busara
-sasa kama wanafukuza jambazi halafu wanatumia hiyo njia ya mwendokasi, halafu likatokea basi la mwendokasi linakuja kwa mbele yao tena kwa kasi, na huku police wako kasi,nini kitatokea?Hao polishi kama wanafukuzia wahalifu watakuwa na muda wa kuja kuomba kibali hapo DART au watamwambia kaka jambazi asimame kidogo waombe kibali DART waendelee kumfukuza.....
-Waruhusiwe kwa kibali, ili kuepusha Collision, unapita njia ya mwendokasi bila taarifa, halafu at the same time kuna basi la mwendokasi linakuja kwa mbele na kwa nyuma unadhani ni ni kitatokea?Exceptionality nayoizungumzia mimi Polisi, Fire, Ambulance waruhusiwe kisheria kupita njia za mwendokasi; simaanishi wavunje au kuwa juu ya sheria.
-Wakati police wanatumia njia ya mwendokasi, inatokea kwa mbele basi la mwendokasi linakuja kwa kasi unafikiri nini kitatokea?Yeye anaweza kupita njia ya magari, polisi wakafanya timing kwa kutumia advantage ya barabara ya mwendokasi kufanikisha zoezi, umeelewa???
-wapi sheria imesema unatakiwa kuonana na director wa DART? au unajua modality ya kutoa taarifa DART?Pakiwa na Jambazi sugu ndani ya Basi la Mwendo Kasi au Gaidi na Polisi wakapata Taarifa za kificho nadhani itabidi waombe ruhusa DART tena Kwa Barua au kukutana na mkurugenzi wa DART kuomba ushirikiano na akikataa basi Jambazi au Gaidi litashindikana kukamwatwa.
Ajabu sana Kwa kweli halafu na Msemaji wa kuwasemea Polisi naye amekurupuka.
Hatari sanaNadhani polisi wamesikia, bila kibali maalum , hata kama kunadharula ,hakuna kupita huko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao polishi kama wanafukuzia wahalifu watakuwa na muda wa kuja kuomba kibali hapo DART au watamwambia kaka jambazi asimame kidogo waombe kibali DART waendelee kumfukuza.....