Darwin Nunez na Antony dos Santos ni wachezaji wa paundi milioni ishirini kila mmoja na siyo zaidi ya hapo

Darwin Nunez na Antony dos Santos ni wachezaji wa paundi milioni ishirini kila mmoja na siyo zaidi ya hapo

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Kila nikiwaangalia hawa wachezaji wawili nashindwa kuelewa ilikuwaje wakanunuliwa kwa bei kubwa namna ile.

Hawa ni underdogs wawili waliotumika kufanya utapeli pale Liverpool na Man united. Nunez kweli ulipe Euro 75m na Antony ulipe Euro 95m?

Madrid walimnunua Toni Kroos kwa Euro 25m.
 
Uko sawa sana ndug.
Darwin sio mchezaji wa dau alilolipwa, never
Na pia anatakiwa aendelee kucheza least league na sio hizi elite
He has no impact whether acheze au asicheze
 
Toni mwenyewe ndiye aliweka hicho kipengere kama madrid watamuhitaji...
Kama angesaini man utd/juventus hela ilikua 55mil
Sio kweli. Toni Kroos alitaka mshahara mkubwa kuliko ambao Bayern walikuwa tayari kumpatia kipindi kile ( alitaka kulipwa sawa na Mario Gotze) akiwa amebakiza mkataba wa mwaka mmoja.

Bayern kwa kutaka kuonesha klabu ni kubwa kuliko mchezaji wakaamua kumuuza kwa bei nafuu sokoni ili kutuma ujumbe kwa wachezaji wenzake na pia wakampata Xabi Alonso in exchange.

Ndio maana mpaka leo hii Kroos haelewani na viongozi wa Bayern Munichen
 
Sio kweli. Toni Kroos alitaka mshahara mkubwa kuliko ambao Bayern walikuwa tayari kumpatia kipindi kile ( alitaka kulipwa sawa na Mario Gotze) akiwa amebakiza mkataba wa mwaka mmoja. Bayern kwa kutaka kuonesha klabu ni kubwa kuliko mchezaji wakaamua kumuuza kwa bei nafuu sokoni ili kutuma ujumbe kwa wachezaji wenzake na pia wakampata Xabi Alonso in exchange . Ndio maana mpaka leo hii Kroos haelewani na viongozi wa Bayern Munichen
Hapo point ni kwamba pesa ya juu ilifidiwa na alonso
 
Back
Top Bottom