Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Ali Mwendo amewataka waandishi wa habari Singida wawasilishe CV zao kwake, Mwenyekiti wa Singida Press Club akamjibu sio sahihi kwani wao sio waajiriwa wa Serikali.
Jambo hili ni geni sana itapendeza Waziri wetu Nape aingilie kati
Jambo hili ni geni sana itapendeza Waziri wetu Nape aingilie kati